William Malecela na Ajali za Kisiasa

Hili dubwana jitu kubwa lakini jinga kweli kweli. Lina mambo ya kitoto, na umri wote huo wa kuitwa babu!! Ulikulia wapi wewe william? Kijijini? Limbukeni weye!!

Yaani nabii hakubaliki nyumbani hihi wewe choko no pokola kwanini hutumii jina lako kwanini 1. Hujiamini 2.hujikubali 3.umekata tamaa, pole sana Le Mutuz sio type yako
 

- kWANZA SINA UNDUGU WOWOTE NA WEWE, KUUDHIKA? who? MIMI YUO KIDDING ME? SAAHIZI NAELEKEA MAFIAN LOUNGE CLUB KAMA KAWAIDA NAKUOMBA ONE THING, HUU USHAURI WAKO KEEP IT TO YOURSELF, LEO NIMESAINI MIKATABA MITATU YA NEW ADS KWENYE BLOG YANGU NI KWA SABABU YA KELELE ZENU HAPA JF, RATINGS ZIMEENDA JUU MNO!!

- BY THE WAY NEXT WEEK NIMEALIKWA KUONGEA KWENYE MKUTANO WA MAKANISA KULE UBUNGO, KARIBU SANA TUBADILISHANE MAWAZO MAANA ITAKUWA THE BIGGEST OF MY LIFE!!

RESPECT MUCH ON THE WAY TO MAFIAN LOUNGE CLUB!!

BIIG SHOOW!!
 
hili dubwana jitu kubwa lakini jinga kweli kweli. Lina mambo ya kitoto, na umri wote huo wa kuitwa babu!! Ulikulia wapi wewe william? Kijijini? Limbukeni weye!!

- ha! Ha! Ha! Mkuu naomba unisamehe nimekosa sana nisamehe!!1 ha! Ha! Ha! Nisamehe my foot!! Limbukeni? Baharia looong time bro!! 90% ya dunia mfukoni hapa relax enjoy the biig shoow, kumbuka starring hauwawi!! Ha! Ha! Ha!

Le mutuz!!!
 

- ok sasa nimefika mafian loung club naomba jamani nipumzike nile bataz kidogo, later people!!

Biig shoow!!
 

Yaani wewe ndio wale watoto walio bemendwa
 
Hahaha! Aisee wewe kiboko!
U ar in a league of ur own, refa wewe, mchezaji wewe, mshangiliaji wewe!
 
- ok sasa nimefika mafian loung club naomba jamani nipumzike nile bataz kidogo, later people!!

Biig shoow!!
Nimeamini something wrong with person. Mzee Malecela na Mzee Lusinde tunaahamu kuwa wana undugu hivyo Livingstone na William wana vinasaba vinavyoshabihiana.
 
- ok sasa nimefika mafian loung club naomba jamani nipumzike nile bataz kidogo, later people!!

Biig shoow!!

Kaka kama ungekuwa unagonga vya dunia ningekuambia kunywa bia tatu hapo lakini you are dedicated to your spirit you don't do alcohol. Much respect bro give damn shit on looser kaka. Mfano kama watu kumi wako kwenye shimo na wewe peke yako uko njee usi warushie kamba watakuzamisha loosers kaka blogu ni ajira keep it up
 

hukujibu lile swali langu, ni KE au ME??
 
Its very strange, and happens very rarely for the people of my kind to drop the inputs in thread of this like.
Lakini nina maneno kadhaa ya plus ushauri, you either leave Willy alone or join him. Kila wakati attacks zinapoanzishwa dhidi yake, the first thing akifanyacho ni kujidhihirisha kwa hoja.
He has always been what he is, and has no plans to stop being the one. Anafahamu namna ya kuwaekeni kona na kuwadharirisheni mara mnapomuanza. Kama ni malumbano he is beyond your level. Let him live his life jamani.
 

Yeye kapita kama Mjumbe wa Kata na Pia Mjumbe wa Wazazi wa Kata

Kwahiyo kapita kwa Kofia Mbili za Ujumbe; Hakugombea hizo Nafasi Nyeti
 
​shush william
 

@W. J. Malecela

Hapo tu ndo nakuona kama mtu mwepesi sana wa kusrespond ovyo tofauti na unavyotakiwa kuwa, plz jifunze kusema na media especially social networking like JF, otherwise you are destroying yourself
 
​ndio maana mzee john malecela hajawahi kumtambulisha huyu william kwa jamii alijua ni kituko
 
Vox populi vox Dei ukiona hivyo jua jamaa hafai. Kumbe mwanangu Zulfikar Mzige naye ameanza kuamka!
 
Nimewasoma kwa umakini DaudiMchambuzi na CCM- Mama.
Nasikitika sana Willium amepuuza busara na hekima zao.
Hata hivyo mawazo na fikra zao,kuhusu maadili ya uongozi wa umma zinaweza kutumiwa na yeyote anayetamani kuongoza watu.
 
BREAKING NEWS...
William S. Malecela hakuwepo white Party kama alivyojishaua.

To be continua
 
BREAKING NEWS...
William S. Malecela hakuwepo white Party kama alivyojishaua.

To be continua

- Hapana I changed the plan na kubaki Mafian Lounge na marafiki zangu mabebs wa ukwee toka US, picha zinakuja soon as soon as nikifika home, so fasten your belt!! kina Super Sintah, Super Kidoti na Star Johnson walitaka kunipitia lakini nikaawaambia Kawe kwa leo noma nabaki na hawa mabebs Mafian, so!

ha! ha! ha! ha!

Le Mutuz!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…