William Malecela na Ajali za Kisiasa

William Malecela na Ajali za Kisiasa

Ndugu yangu Le Baharia Lemutuz, the Big show, Sauti za Umeme @NY amepata ajali nyingine ya kisiasa pale kigamboni baada ya kuangukia pua katika uchaguzi wa viongozi. Waliopita kidedea ni Ndg. Adriano Richard Haonga na Zulfikar ali Mzige.

Tafadhali ndugu yangu William Usikate tamaa. Kama vipi JK akupe hata ukuu wa wilaya ukisubiria Mtera 2015. umekuwa mtetezi mkubwa sana wa Chama, hata NEPI akupe kazi ya ushauri wake kwenye maswala ya mtandaoni na siasa kwa ujumla. Kumbuka hata shyrose Bhanji naye alipitia haya haya. USHAURI. Punguza kuhudhuria kumbi za starehe na kuzunguka na wadada zetu, pengine watakuona wa maana

Mkuu nakubaliana na wewe kimsingi, labda sikubaliani na wording yako. Adui ya William Malecela yuko kwake mwenyewe, anachokionesha kinakatisha tamaa baadhi ya watu, kinaweza kisiwe na maana yoyote lakini kwa wingine kinaweza kuwa sababu. Malecela open your ears, jitahidi usiwe kikwazo chako mwenyewe. Dar es salaam is not New York.
 
- Tumia akili kabla ya kuongea pumba, uchaguzi wa CCM kama uliofanyika juzi hauna anything to na Wazazi wala UWT kila chaguzi ni huru, Nimegombea CCM juzi na kushinda kwa kura 21 against 16, 4 ziliharibika!!

- Hao uliowataja hawana anything to do na nilichogombea, uzuri the media was there, na infact kuna mpaka Interview yangu kule mlimani TV so nenda ujipange upya, nashangaa thread yenye umbea na majungu kama hii inaruhusiwa kusimama hapa JF, sure it is good for my publicity lakini inashusha hadhi ya forums, mmeenda na kuchukua majina ya niliochaguliwa nao ili muonekane mna hoja na ukweli, majungu na umbea mtupu ninataka kuamini mlioandika hii kitu ni wanawake, maana kama sio then sijui wasap!!

Biig Shoow!!

William nilikuwa nakutetea toka kwa hawa watu na it wa rare for me to do that; lakini naona una chuki na MIMI

na kuanza kuniambia nina majungu; I tried to be fair when needed nilikuwa nampinga huyu aliyeweka hiyo hoja kuwa

Umepata ajali ya kisiasa... so if i was wrong haukushinda hivyo viti nilivyovitaja then OK; lakini usisema ni Majungu

Majungu gani nikuwekee wewe? na kwa nini?
 


Mkuu nakubaliana na wewe kimsingi, labda sikubaliani na wording yako. Adui ya William Malecela yuko kwake mwenyewe, anachokionesha kinakatisha tamaa baadhi ya watu, kinaweza kisiwe na maana yoyote lakini kwa wingine kinaweza kuwa sababu. Malecela open your ears, jitahidi usiwe kikwazo chako mwenyewe. Dar es salaam is not New York.

- Wivu, Chuki, Majungu kwa mwanaume hayakufai ndio maana ulipokuja likizo majuzi nilikuwa ninakukwepa bro!, maana nilishakushitukia siku nyingi kwamba ni nothing but mnafiki mkubwa sana!! Ndio maana hata maendeleo hakuna kuhangika tu huko Ughaibuni!!

Biig Shoow!!!
 
William nilikuwa nakutetea toka kwa hawa watu na it wa rare for me to do that; lakini naona una chuki na MIMI

na kuanza kuniambia nina majungu; I tried to be fair when needed nilikuwa nampinga huyu aliyeweka hiyo hoja kuwa

Umepata ajali ya kisiasa... so if i was wrong haukushinda hivyo viti nilivyovitaja then OK; lakini usisema ni Majungu

Majungu gani nikuwekee wewe? na kwa nini?



Duh wewe unanitetea? Toka lini na ile kazi yako ya kuchukua post zangu Facebook na kuja kuzitungia majungu hapa ndio unaita kunitetea? Halafu bahati mbaya sana uliyonayo hujui kudanganya tukikutana unajisema mwenye kwamba ni nani, mimi huwa ninakuangalia tu na kukucheka kimoyo moyo!! Sijawahi kuomba kutetewa na anybody kwenye maisha yangu so sihitaji anyhting from you bro, I am a big boy can handle my self!!

Biig Shoow!!
 
Huyu jamaa(le mutuz) huwa simuelewi. Kaziyake ni kutujulisha amekula wapi leo na alikuwa na nani na anaenda wapi kujirusha anapiga picha na vidada vikiwa nusu uchi.

Anaweza kufika mbali zaidi ya hapo akatuambia 'amepiga vingapi', hahahahahahaaaaaaaa, LeMutuzi siyo mchezo. Asipobadilika mtashangaa anaanza kuokota makopo jalalani.
 



- Mkuu mleta mada heshima yako sana, kwenye uchaguzi wa juzi niligombea Ujumbe wa CCM Wilaya na kushinda kura 21 against 16, sasa nashangaa haya majungu umeyatoa wapi? Ha! ha! ha! ha! ha! well, nilikuwa Shoppers kwenye Show la Super Designer Khadija Mwanamboka, it was great yaani mitindo ya mavazi ya kiazawa ilikuwa supa sana, sasa hivi naenda Kawe nimealikwa kwenye White Party, nikitoka huko nitakuwa Mafian Lounge Club!! HA! HA! HA! HA! I MEAN THIS IS GREAT YOU KNOW!!

REPECT MUCH!

William John Samwel Malecela: MJUMBE WA WAZAZI MKOA & MJUMBE WA CCM WILAYA ILALA @ KATA KIVUKONI;DSM CITY!!

kweli wewe nyangema. hivi una miaka 25 au una mika 50?
 




- Wivu, Chuki, Majungu kwa mwanaume hayakufai ndio maana ulipokuja likizo majuzi nilikuwa ninakukwepa bro!, maana nilishakushitukia siku nyingi kwamba ni nothing but mnafiki mkubwa sana!! Ndio maana hata maendeleo hakuna kuhangika tu huko Ughaibuni!!

Biig Shoow!!!

si utoke na mkeo? au anzisha harakati za KANUMBA tuelewe moja
 
Mkuu nakubaliana na wewe kimsingi, labda sikubaliani na wording yako. Adui ya William Malecela yuko kwake mwenyewe, anachokionesha kinakatisha tamaa baadhi ya watu, kinaweza kisiwe na maana yoyote lakini kwa wingine kinaweza kuwa sababu. Malecela open your ears, jitahidi usiwe kikwazo chako mwenyewe. Dar es salaam is not New York.

Watu mna roho ngumu kweli kweli, mtashauri mpaka akifikisha 100 ndo atasikia
 
- Kwanza Mungu alitakiwa kukuepusha na balaa lako mwenyewe, miaka 50 Ughaibuni unaogopa nini kurudi bongo, wanaume wanarudi unaanza kulia lia njoo huku kama mwanaume kweli, wewe tulia huko kula hizo za huyo fisadi mlizoachiwa, sisi huku bongo tunajenga taifa letu, na pia tunakula bata za kibongo bongo kama mwanaume kweli njoo huku uone kama hukuchekesha, kaa huko tengeneza majungu maana unafahamika sana kwa kutengenezea watu majungu!!

- Huku bongo tuachie wanaume wa kazi, tuliokaa baharini tukaishi Ughaibuni na sasa tumerudi kujenga taifa, tumeingia EAC, tukarudi Kata, Wilaya na Mkoa na sasa tunaangalia Taifa, wewe endelea na majungu majungu huko Ughaibuni ya mwanaume mzima kwenda kuchunguza Rais kaja na ujumbe wa watu wangapi, na wamekula nini na wapi na walikuwa na masanduku mangapi, mwanaume mzima, badala ya kuja bongo kusaidia kujenga taifa lako!! ha! ha! ha! ha!

- kazi kujiiingiza na yasiyokuhusu na ubalozi wetu huko na kuleta majungu na hao watu wa huo ubalozi nawaonea huruma sana maana habari zako na hao wapuuuzi zipo sana huku, mnafikiri mna akili sana kuihujumu CCM, lakini za kwenu zipo jikoni zinaiva!!

- sO MUOMBE mUNGU AKUEPUSHE NA BALAA LAKO MWENYEWE SI UNAJUA WEWE MWENYEWE NI BALAAA!!

BIIG SHOOW!!

Nimegundua kumbe unawajua wanao leta habari, sasa mbona una hangaika sana.
 

Vizuri Kijana lakini Angalia Sana... Viongozi wa CCM wanakuangalia Hekima yako; Watoto wa Wakubwa kama Wewe

Hawana pilika pilika kama wewe; Sijaona January, Nape, Mwinyi, Nchimbi, Kawawa wakiruka ruka na watoto wa Mjini

Unajua Mzee Malecela ndie aliyekuwa anafahamika kwa na IQ kubwa kwenye Baraza la Mawaziri wa Nyerere?

Kila mtu wanamuonea Wivu, Sasa wewe Unafuata kwingine... Ni TOTOZ na Bongo Flava Toyz... wakati sasa Ungekuwa

Labda Mkuu wa Mkoa... Una chance kwa sababu ya JINA sisi hatuna hayo kama ningekuwa na JINA ningekuwa mbali
 
Vizuri Kijana lakini Angalia Sana... Viongozi wa CCM wanakuangalia Hekima yako; Watoto wa Wakubwa kama Wewe

Hawana pilika pilika kama wewe; Sijaona January, Nape, Mwinyi, Nchimbi, Kawawa wakiruka ruka na watoto wa Mjini

Unajua Mzee Malecela ndie aliyekuwa anafahamika kwa na IQ kubwa kwenye Baraza la Mawaziri wa Nyerere?

Kila mtu wanamuonea Wivu, Sasa wewe Unafuata kwingine... Ni TOTOZ na Bongo Flava Toyz... wakati sasa Ungekuwa

Labda Mkuu wa Mkoa... Una chance kwa sababu ya JINA sisi hatuna hayo kama ningekuwa na JINA ningekuwa mbali


I am having fun with my life but very responsibly na ndio maana kesho nimewakusanya hawa Celebs wote kuja kuchangia watoto wa yatima Dodoma, I hope hao viongozi wako wa CCM ambao unasema hwana kazi ila kuniangalia mimi wataliona hilo, Great Thinker na mifano kama ya watoto wa Viongozi wengine wa CCM ni dalili ya kufilisika ideas, unajua unapoongozwa na Chuki, Wivu na majungu huwezi kufanikiwa hata siku moja ndio utaishia kama hapo ulipo!!, I am very fine na msiha yangu na right on track na maleno yangu, sijui wewe na yako, I mean by the way unajua ni muhimu sana kujua level ya uongozi ya unayejadili naye, mkuu mimi sasa ni Kiongozi wa level ya mkoa wewe je ni kiongozi wa nini na level gani?

Biig Shooow!!
 
- Kwanza Mungu alitakiwa kukuepusha na balaa lako mwenyewe, miaka 50 Ughaibuni unaogopa nini kurudi bongo, wanaume wanarudi unaanza kulia lia njoo huku kama mwanaume kweli, wewe tulia huko kula hizo za huyo fisadi mlizoachiwa, sisi huku bongo tunajenga taifa letu, na pia tunakula bata za kibongo bongo kama mwanaume kweli njoo huku uone kama hukuchekesha, kaa huko tengeneza majungu maana unafahamika sana kwa kutengenezea watu majungu!!

- Huku bongo tuachie wanaume wa kazi, tuliokaa baharini tukaishi Ughaibuni na sasa tumerudi kujenga taifa, tumeingia EAC, tukarudi Kata, Wilaya na Mkoa na sasa tunaangalia Taifa, wewe endelea na majungu majungu huko Ughaibuni ya mwanaume mzima kwenda kuchunguza Rais kaja na ujumbe wa watu wangapi, na wamekula nini na wapi na walikuwa na masanduku mangapi, mwanaume mzima, badala ya kuja bongo kusaidia kujenga taifa lako!! ha! ha! ha! ha!

- kazi kujiiingiza na yasiyokuhusu na ubalozi wetu huko na kuleta majungu na hao watu wa huo ubalozi nawaonea huruma sana maana habari zako na hao wapuuuzi zipo sana huku, mnafikiri mna akili sana kuihujumu CCM, lakini za kwenu zipo jikoni zinaiva!!

- sO MUOMBE mUNGU AKUEPUSHE NA BALAA LAKO MWENYEWE SI UNAJUA WEWE MWENYEWE NI BALAAA!!

BIIG SHOOW!!

Mungu wangu,,,,,, acha kuniongopea mimi siko us for 50yrs, I am 27yrs old, I am just advising u cz naona unakoenda siko, mbona starehe huku ndo za kumwga na hukuwa hivo, kimekupata nini huko tz?
 


Oh yeah that's better... Let's HOPE U WILL BRING your father IQ to the table and convince CCM members to vote

You in to NEC... Good luck You may encounter many defeats, but you must not be defeated.
 
Oh yeah that's better... Let's HOPE U WILL BRING your father IQ to the table and convince CCM members to vote

You in to NEC... Good luck You may encounter many defeats, but you must not be defeated.

The right to be heard does not automatically include the right to be taken seriously ~ Hubert H. Humphrey
 
Kwa mtazamo wangu, watu wamempa William ushauri wa msingi sana pasipo kujali wametumia lugha kali ama lah.
 
Nimegundua kumbe unawajua wanao leta habari, sasa mbona una hangaika sana.

- This is a free media publicity so I ahve to use to the best of my knowledge for my benefit and that is what I do, but because you cant think and see it right you have to come with that shallow conclusion!!

Biig Shoow!!
 
The right to be heard does not automatically include the right to be taken seriously ~ Hubert H. Humphrey

Smashing Verdict... uh the problem is we are disproportionately represented in welfare statistics showing the otherwise...
 
Back
Top Bottom