William Malecela na Ajali za Kisiasa

William Malecela na Ajali za Kisiasa

Ndugu yangu Le Baharia Lemutuz, the Big show, Sauti za Umeme @NY amepata ajali nyingine ya kisiasa pale kigamboni baada ya kuangukia pua katika uchaguzi wa viongozi. Waliopita kidedea ni Ndg. Adriano Richard Haonga na Zulfikar ali Mzige.

Tafadhali ndugu yangu William Usikate tamaa. Kama vipi JK akupe hata ukuu wa wilaya ukisubiria Mtera 2015. umekuwa mtetezi mkubwa sana wa Chama, hata NEPI akupe kazi ya ushauri wake kwenye maswala ya mtandaoni na siasa kwa ujumla. Kumbuka hata shyrose Bhanji naye alipitia haya haya. USHAURI. Punguza kuhudhuria kumbi za starehe na kuzunguka na wadada zetu, pengine watakuona wa maana

Hahahaa...ile mtera kashindwa babake ataweza huyu?kweli?yule kibajaji ni comedian asee..and since ccm huwa hawana sera ya kueleweka,wananchi wanapenda hivyo vichekesho vyake..huyu jamaa akaendelee kubeba box tu.
 
Unajua haya maadili mnayoyasema nashindwa kuelewa nia ya JF au ya Society, ambayo juzi ilijaza uwanja kwa kulipa Shillingi 10,000 kuona hawa wadada niliopiga nao picha hapo juu, sasa unasema uwanja mzima siku ile ulijaa wananchi wasio na maadili kwa sababu wamekuja kuwaona wadada niliopiga nao picha? ha! ha! ha! ha! ha!

Wadada wote ninaopiga nao picha ni wacheza sinema, watangazaji TV an Redio; au unasema hiyo ni industry isiyo na maaadili? Are you serious au unatania?

Ninachoona humu ni kwamba watu wengi hamna maisha ndio maana mnahangaika sana hii ni treni ya Biig Shoow haisimami, imeondoka hiyoo INFACT NAWASHUKURU SANA JF KWA THIS FREE PUBLICITY I CAN LIVE WITH THIS IS WASAP SANA, NAJUA MLITEGEMA NITAINGIA CHADEMA NO NA NEVER!!

BY THE WAY MMEIONA ILE VIDEO YA JUZI SABA SABA SASA SASA IPO YOU TUBE SO NA ZINGINE ZOTE ZITAWKWA SOON SO MSIWE NA WASI WASI, KUHUSU MAISHA YANGU YA KILA SIKU NINAMUIGA RAIS OBAMA KULE FACEBOOK HUWA ANASEMA MAISHA YAKE YA KILA SIKU NA MKEWE PIA, FACEBOOK SIO MAHALI PA SIASA NI PICHA NA MASIHA YA WATU!!

NAJUA WENGI MKO BITTER PIA KWA SABABU NIMEWA-DELETE KULE FACEBOOK NI KWA SABABU YA KUKOSEA ADABU MY FRIENDS KULE, POLENI SANA!!

SALUTE PEOPLE NA LOVE YAH MCUH!!

LE BIIG SHOOW!!

Ulichopewa na wadau wengi ni USHAURI
Ukiona ushauri wao haufai basi usiuchukue ama ukiona unafaa uchukue hata baada ya kuwaponda na kudhani kuwa wanakuandama! Hata kwa majibu yako tu ni udhaifu na umeendelea kujichafua.

USHAURI WANGU:
Unaonekana umezoea maisha flani ya NY.. Ni bora urudi kule ukaendelee na kazi yako ya kufunga box kwa sababu maisha ya u gangster hapo Tanzania hakuna! Kumbuka kikubwa kilichokurudisha kilikuwa ni kugombea ubunge wa EALA ambapo ulibuzura mkia vibaya! Sasa nasikia unataka Mtera. Kwa bahati mbaya sana hilo jimbo unajua alivyonyukwa mzee wako kwenye kura ya maoni.. Usidhani fimbo aliyochapiwa na wapigakura itakuwa imeliwa na mchwa.. La! Utakuta imekauka kwa kuwa kipindi kile ilikuwa mbichi ya kunesa! Jiulize kitakachokukuta.......
 
From his responses hii lazima na KE
Yaani wewe ndio buree kabisa hivi mnafikiri kumzodoa willy ndio mtapata hela ya supu asubuhi baada ya kunywa makonyagi kwa kukosa hela kwenu.sijawahi kuona blogu inayokuwa kama ya Le mutuz the guy is great.
 
Ulichopewa na wadau wengi ni USHAURI
Ukiona ushauri wao haufai basi usiuchukue ama ukiona unafaa uchukue hata baada ya kuwaponda na kudhani kuwa wanakuandama! Hata kwa majibu yako tu ni udhaifu na umeendelea kujichafua.

USHAURI WANGU:
Unaonekana umezoea maisha flani ya NY.. Ni bora urudi kule ukaendelee na kazi yako ya kufunga box kwa sababu maisha ya u gangster hapo Tanzania hakuna! Kumbuka kikubwa kilichokurudisha kilikuwa ni kugombea ubunge wa EALA ambapo ulibuzura mkia vibaya! Sasa nasikia unataka Mtera. Kwa bahati mbaya sana hilo jimbo unajua alivyonyukwa mzee wako kwenye kura ya maoni.. Usidhani fimbo aliyochapiwa na wapigakura itakuwa imeliwa na mchwa.. La! Utakuta imekauka kwa kuwa kipindi kile ilikuwa mbichi ya kunesa! Jiulize kitakachokukuta.......
Hivi na huu ni ushauri au usha- ushuzi hivi kwanini huwezi kuwa positive thinker kwanini huwezi kuinspire nyie ndio wale wa glass half empty forever. Trust me mwisho wa siku wewe hukawii kuwa mchawi au umeshaanza uchawi
 




- Mkuu mleta mada heshima yako sana, kwenye uchaguzi wa juzi niligombea Ujumbe wa CCM Wilaya na kushinda kura 21 against 16, sasa nashangaa haya majungu umeyatoa wapi? Ha! ha! ha! ha! ha! well, nilikuwa Shoppers kwenye Show la Super Designer Khadija Mwanamboka, it was great yaani mitindo ya mavazi ya kiazawa ilikuwa supa sana, sasa hivi naenda Kawe nimealikwa kwenye White Party, nikitoka huko nitakuwa Mafian Lounge Club!! HA! HA! HA! HA! I MEAN THIS IS GREAT YOU KNOW!!

REPECT MUCH!

William John Samwel Malecela: MJUMBE WA WAZAZI MKOA & MJUMBE WA CCM WILAYA ILALA @ KATA KIVUKONI;DSM CITY!!

Kweli CCM inajipoteza kwa kasi mpya nguvu mpya na hari mpya. wewe ni mjumbe wa wazazi mkoa, wewe?
 
wewe ni mtu mjinga sana Le Mutus. IQ yako nadhani ni -20. Tabia zako za mvulana wa form 1 anayejisifia kwa wenzake kuwa babake ana gari, anko ana bar mbili sinza na juzi ametoka marekani kuendesha mtumbwi!

Pambaf sana weye mzee kijana!!
:iamwithstupid:
 
Ha ha ha haaaaa....Willy Unapenda kukasirisha watu sana mkuu!

Najua wakuu wengi hapo kimoyo moyo wanatoa macho na silent compliment zinapita mioyoni mwao huwezi kosa one of these complements kama
. . .fertile, glorious, honorable, imperial, joyful, knowledgeable, loyal, melodic, noble, open minded, posh, quintessential, resourceful, stunning, tasty, understanding, voluptuous,wonderful, . . . .

Ila usikasirishe watu kihivyo mkuu!
Duh! Nimecheka kweli

Edit uongezee na hii Pathetic.
 
Hahahaa...ile mtera kashindwa babake ataweza huyu?kweli?yule kibajaji ni comedian asee..and since ccm huwa hawana sera ya kueleweka,wananchi wanapenda hivyo vichekesho vyake..huyu jamaa akaendelee kubeba box tu.

Wewe mbona huamini katika positive change hivi unajiaminisha kwamba sisi watanzania tunataka comedian bungeni shame on you. Acha njaa wewe fikiria nnje ya box
 
- Kwanza Mungu alitakiwa kukuepusha na balaa lako mwenyewe, miaka 50 Ughaibuni unaogopa nini kurudi bongo, wanaume wanarudi unaanza kulia lia njoo huku kama mwanaume kweli, wewe tulia huko kula hizo za huyo fisadi mlizoachiwa, sisi huku bongo tunajenga taifa letu, na pia tunakula bata za kibongo bongo kama mwanaume kweli njoo huku uone kama hukuchekesha, kaa huko tengeneza majungu maana unafahamika sana kwa kutengenezea watu majungu!!

- Huku bongo tuachie wanaume wa kazi, tuliokaa baharini tukaishi Ughaibuni na sasa tumerudi kujenga taifa, tumeingia EAC, tukarudi Kata, Wilaya na Mkoa na sasa tunaangalia Taifa, wewe endelea na majungu majungu huko Ughaibuni ya mwanaume mzima kwenda kuchunguza Rais kaja na ujumbe wa watu wangapi, na wamekula nini na wapi na walikuwa na masanduku mangapi, mwanaume mzima, badala ya kuja bongo kusaidia kujenga taifa lako!! ha! ha! ha! ha!

- kazi kujiiingiza na yasiyokuhusu na ubalozi wetu huko na kuleta majungu na hao watu wa huo ubalozi nawaonea huruma sana maana habari zako na hao wapuuuzi zipo sana huku, mnafikiri mna akili sana kuihujumu CCM, lakini za kwenu zipo jikoni zinaiva!!

- sO MUOMBE mUNGU AKUEPUSHE NA BALAA LAKO MWENYEWE SI UNAJUA WEWE MWENYEWE NI BALAAA!!

BIIG SHOOW!!

hii inaitwa rap katuni nimeipenda.!!! Inaonekana wewe mkali wa vina.!!
 
view
 
- Brother read my lips, JF na Facebook haichaguia kiongozi wa Tanzania, never!! you are destroying your self to think you have that you dont have to decide who should be a leader and who should not, you are advise is simply childsh and absolutely nonsense!! ha! ha! ha!

Le mutuz!!


W. J. Malecela

Kuingalia JF na Facebook ki-rahisi kama unavyo fanya ndo vinazidi kukuweka pabaya...ebu angalia vijana wanasiasa makini wenzako ni vip wan-behave in social networking, mathalani linganisha J Makamba, Zitto Kabwe comments in social networking na madudu unayopost wewe. kweli sikio la kufa halisikii dawa
 
- Maadili nonsense kama yako hutolewa kwenye thread ya majungu na imaginations kama hii ndio maana siwezi kusikiliza coz ni simply nonsense!!

Le Biig Shoow!!

Iweje Willium unanitolea maneno ya kuudhi.It is like u re trying to say i wrote nonense.well!
Inadaiwa una miaka 50.Kama hilo ni kweli, basi ,elewa mimi nipo below 30 years.
So una umri karibu sawa na baba yangu!!Katika mila na desturi za kiafrika si jammbo jema kutoleana maneno ya kashfa na mtu mzima kama wewe.
Nadhani wana CCM wenzako ,sasa wanaelewa kwa nini vijana hawakiungi mkono chama chenu.
Ni kama unajaribu kutueleza kuwa una maisha yako na usifutiliwe..Nakueleza NO!!
Ukitaka kuwa kiongozi lazima uishi kama kiongozi, utende kama kiongozi,uvae kama kiongozi ujibizane na usiokubaliana nao kihoja kama kiongozi..
Kiufupi uwe mfano wa kuigwa na ukubali ukweli kuwa huwezi kukwepa maisha yako kuwa subject to public scrutiny!!
Vinginevyo usijitambulishe kama kiongozi..
 
iweje willium unanitolea maneno ya kuudhi.it is like u re trying to say i wrote nonense.well!
Inadaiwa una miaka 50.kama hilo ni kweli, basi ,elewa mimi nipo below 30 years.
So una umri karibu sawa na baba yangu!!katika mila na desturi za kiafrika si jammbo jema kutoleana maneno ya kashfa na mtu mzima kama wewe.
Nadhani wana ccm wenzako ,sasa wanaelewa kwa nini vijana hawakiungi mkono chama chenu.
Ni kama unajaribu kutueleza kuwa una maisha yako na usifutiliwe..nakueleza no!!
Ukitaka kuwa kiongozi lazima uishi kama kiongozi, utende kama kiongozi,uvae kama kiongozi ujibizane na usiokubaliana nao kihoja kama kiongozi..
Kiufupi uwe mfano wa kuigwa na ukubali ukweli kuwa huwezi kukwepa maisha yako kuwa subject to public scrutiny!!
Vinginevyo usijitambulishe kama kiongozi..

- nipo huku osterbay ninaongoza fundraising ya kuaidia watoto wa yatima dodoma, vipi na wewe utakuja au utakalia maneno maneno tu hapa na majungu!!

Karibu sana ni kenyatta road, karibu na chole rd!!

Biig shoow!!
 
w. J. Malecela

kuingalia jf na facebook ki-rahisi kama unavyo fanya ndo vinazidi kukuweka pabaya...ebu angalia vijana wanasiasa makini wenzako ni vip wan-behave in social networking, mathalani linganisha j makamba, zitto kabwe comments in social networking na madudu unayopost wewe. Kweli sikio la kufa halisikii dawa

- ni kweli sana bro jf na facebook vinaniweka pabaya sana ndio maana nikchaguliwa hizo nafasi za uongozi wa mkoa, wilaya na kata, sawa sawa vinaniweka pabaya sana ila wewe nikikusikiliza ndio utaniweka vizuri, my foot!!

Le biig shoow!!
 
Uyu Pepe Kale ajui ata anataka nini kwa sasa,amepanic zaidi baada ya ucjhaguzi wa EALA..yani wenzake wamemgeuza kituko na wala ajistukii..
 
  • Thanks
Reactions: Taz
Le Muutz Big Show sauti ya umeme..Seamelah mzee jahazi Malio puzo...ha ha ha ha...leo usiku tukutane Masaki kwenye mishikaki ya samaki...wape hi babys Sinta, Wema,
 
Back
Top Bottom