William Malecela vs Flora Lyimo (Mbuta Nanga)

LE ZUZU anashindanisha sura yake na shostito Mbutananga?

Hapa kweli Mzee Chigweyemisi dume analo.....:A S thumbs_down:
 
Ivi Huyu Le Mutuz Mbona Umri Wake Hauendani Na Akili Yake, Ni Libaba Lizima Ila Ana Akili Za Kitoto, Huyo Mbuta Nanga Wala Simfahamu Ndo Nimemwona Leo, Ila Hanaonekana Azimtoshi Ata Kidogo, Sio Mtu Wa Kubishana Nae Tena Kwenye Mtandao, Alafu Umri Wote Huo Alionao Bado Ni Wakujisifia Yeye Ni Mzuri, Mmmh Bora Ukose Mali Upewe Akili.
 
silence could be his better weapon, kuandika aliyo andika ni kudhalilisha hizo degree 3 alizo nazo,
#au ndo ule msemo kuwa thermometer yenyewe ina degree 100 lakin inafanya kazi kwenye kwapa#

hahahahaaa... du hii ndo naisikia leo,,mkuu umetisha
 
ukiwa na mtoto km wily bora ubadilishane na kuku ule supu!
 
Ina maana Le Mutuz ambaye ni mwanaume ameamua kujishindanisha uzuri na huyo Mbuta Nanga ambaye ni mwanamke?

R.I.P Me.......🙁
 
Hahahaaaa, wafanye tu waoane.....wanaendana sanaaa
Watu wazima hovyoo.
 
Le mutus nikiangakia pics zake na maneno yake namuweka kwenye kundi ambalo sitaki hata kulitaja...

Halafu hana kazi mpaka anashindana na flora? Flora mwenyewe keshajitoa fahamu...
BADILI TABIA unajua kama mtu mwenye akili timu akiwekwa sehemu moja na kichaa kitu kimoja kitakacho mtofautisha mwenye akili timamu na mzima ni kuto lumbana na huyo kichaa.

Huyo lyimo toka zamani ana julikana ni kichaa kabisa haina ubishi hivyo mtu anapo anza kulumbana nae namshangaa sana tena sana!

Yani mtu mzima anapiga picha asubuhi na mapema ili kushindana na huyo lyimo serious! Hivi utofauti wao uko wapi?

Kwakweli kuna watu wana vituko Hapa duniani lakini huyo lyimo ana uchizi uliopitiliza Daaa nikiangalia hiyo picha yake na cheka sana.........
 
Last edited by a moderator:
Anajihita King of Blogs Tanzania...Le Mutuuz tisha sana kwa Mabebieez...
 

Hehehehe nikiona yale mapicha ya flora na michupi ile kama bukta nabaki hoi.... hapo ana eye shadow ya kijani...


Ila kwa upande wa le mutuz ni kuwa ana mteremko wa maisha ndio maana hana kazi ya kufanya
 
Last edited by a moderator:
"kwa sababu hakuna binadam mwenye akili timamu anaweza vaa yale machupi kinavaa."

hahahaha...
ukwel mchungu huo
 
Yani Huyu Le Mutuz Nikicheki Hiyo Picha Yake Nacheka Vibaya, Yani Mbaba Mzima Kaamka Zake Asubuhi Kajifotoa Tena Anatabasamu Eti Yeye Mzuri Kuliko Huyo Demu, A a a a a a a a a a Le Tahira.
 
silence could be his better weapon, kuandika aliyo andika ni kudhalilisha hizo degree 3 alizo nazo,
#au ndo ule msemo kuwa thermometer yenyewe ina degree 100 lakin inafanya kazi kwenye kwapa#

- Hakuna silence hapa I am business man Social Media nimewekeza sana toka hii kitu ianze juzi imeniongezea Followers 1000 instagram na Visitors 20,000 kwenye blog that is how I get paid, na besides ninaamini in jino kwa jino ukinochokoza nitakujibu i do not care what heshima yako kaa nayo siihitaji keep it, ok!!

Le Mutuz Big Show
 
ukiwa na mtoto km wily bora ubadilishane na kuku ule supu!

- Kubali I am big Celebrity ndio maana kila siku thread zangu hapa kwenye Celebrity na unajua mwenye thread zangu hapa huwa zinaanza na page 5 kwenda mbele, maana yake ni Super Star Big Celebrity The King of All Bongo Network Social Meida ok get that straight!!

Le Mutuz
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…