William Malecela vs Flora Lyimo (Mbuta Nanga)


- Mjinga hapa utakuwa ni wewe maana huna ahata clue ya unachokiongea nyamaza tu mburulazzzz, nimeweka picha yangu asubuhi na wewe weka yako kama vipi nenda na njia yako that is how I make my money kwenye mitandao na that is how I command respect ya followers Millioni 11 online, get this right huyu kizee anacheza my game and I love it ila wewe hujui unachocheza hapa zaidi ya kujivua nguo maana you are in the game you have no clkue how it is played so nyamaza!!, ha! ha! ha! ha!

Le Mutuz
 
Makubwaaaaaaaaaaa u know

- Na wwewe nyamaza mnafiki mkubwa huna lolote unalolijuya kazi kuandika umbeya mbeya tu sisi tunafanya busness hapa sio kujishausa shaua le mburulazzz please keep quite!! ha1 ha! ha1

Le Mutuz Big Show
 
Aiseee nimecheka sana daa Wily una vituko sana kumbe hayo malumbano yenu yana kunufaisha? Daaaa Hahahaha
 

kubali we mtu mzima na uliruka stage ndo mana uzeeni unasumbua eti unajaza page tano hahaaaa...watu tunakuchora tu we mbabu tu na umri haurudi ng'ooo..!huo umaarufu kunuka babu!
 
kubali we mtu mzima na uliruka stage ndo mana uzeeni unasumbua eti unajaza page tano hahaaaa...watu tunakuchora tu we mbabu tu na umri haurudi ng'ooo..!huo umaarufu kunuka babu!

- Pole sana umri umekuruka wewe mimi nipo sawa sawa nimewekeza kwenye Social Media so no mater what wewe unacheza ngoma yangu tu as long ni hii mitandao siku utaishia kucheza ngoma yangu tu, kwa sababu uwezo wako wa kufikiri na kuona ni mdogo sana so unakuja kujichafua hapa na wajinga kama wewe mnaungana mkono this is Capitalism haijalishi unapataje hela cha muhimu ni kupata pesa mradi hauvunji sheria, mnajipa ukiranja wa maisha ya watu as if wewe ndiye mwenye akili sana wewe unafikiri hii mitandao imetenegenezwa kuongelaa UKAWA tu, sometimes muwe mnatumia akili kidogo some of us tupo kibiashara zaidi sasa mkuu iweje kila nikitajwa hapa page kama 5 viewers 5000 unamamana wote hao ni wajinga? na wewe unakuja kutafuta nini kwa thread ya mtu asiye na akili?

- man keep quite yaani huna akili kabisa mburulazzzz

Le Mutuz
 
- Na wwewe nyamaza mnafiki mkubwa huna lolote unalolijuya kazi kuandika umbeya mbeya tu sisi tunafanya busness hapa sio kujishausa shaua le mburulazzz please keep quite!! ha1 ha! ha1

Le Mutuz Big Show

Eeee eeeeeeeeee mburulaz ni wewe yaan ulifaa uwe mwanamke huutumii vizuri uanamme wako, ulitaka nisiwe mnafiki ili iwejee,we mwenyewe mbeyaa ndio unaropoka kwa kutumia makalio badala ya akilii,achana na mimii wewe bogus mxxxxxiuuuuu toka uanze kutengeneza hizo pesa mbona upo hivyo hivyo nyooooooo libaba zima hovyoooooooo kelebu kenge wewe manena zakooo
Le mutuzii nyoko show
 
Last edited by a moderator:
- Na wwewe nyamaza mnafiki mkubwa huna lolote unalolijuya kazi kuandika umbeya mbeya tu sisi tunafanya busness hapa sio kujishausa shaua le mburulazzz please keep quite!! ha1 ha! ha1

Le Mutuz Big Show

Le Billionaire siyo,wacha tuone hili bifu litakuingizia bilioni ngapi.
 
kubali we mtu mzima na uliruka stage ndo mana uzeeni unasumbua eti unajaza page tano hahaaaa...watu tunakuchora tu we mbabu tu na umri haurudi ng'ooo..!huo umaarufu kunuka babu!

Huyo ni bwabwaa kabakiza kuvaa madera tu achana naeeeee
 
Aiseee nimecheka sana daa Wily una vituko sana kumbe hayo malumbano yenu yana kunufaisha? Daaaa Hahahaha

- Kaka 50% ya mapato yangu kimaisha yanatokea kwenye mitandao na this is one of them sasa huyu mburulazazz na wenziwe wanasema nini? They have no brain ya kufikiri mbali sana halafu wana maneno ya maadili nonsense wabaki nayo maadili yao sisi tutaendelea kucheza na Social Media mpaka kieleweke I could care less wewe mtumzima na akili timamua anakuja kuandika mawazo yake kwenye thread inayozungumzia mtu asiye na akili sasa yeye anakuwaje kama sio mburulazzzz anakata mti alioukalia mwenyewe,

- Yanajafanya hapa wewe Le Mutuz huna akili nikikutana nayo mitaani yanaanza kuniomba picha na kujitambulisha yenyewe mimi ni yule wa JF comeon man yajifunze kufikiria kuliko yanavyoweza kabla ya kuandika foolishness!

Le Mutuz
 
- Na wwewe nyamaza mnafiki mkubwa huna lolote unalolijuya kazi kuandika umbeya mbeya tu sisi tunafanya busness hapa sio kujishausa shaua le mburulazzz please keep quite!! ha1 ha! ha1

Le Mutuz Big Show
Mgogo keshavurugwa.
 

- ha! ha! ha! ha! yaani sASA UNAONYESHA NI le mburulazzzz kabisa ha1 ha! ha! ona unaandika pumba tupu!! Omg!1

Le Mutuz
 
le mutuz promoter la kitanzania libilionea ambalo linakadiriwa kuwa na utajiri wa 20 billion shillings huku nusu ya hiyo ikiwa imetokana na social media..eeh you know.
 
Le Billionaire siyo,wacha tuone hili bifu litakuingizia bilioni ngapi.

- Between juzi na jana imeniongezea Insta 1000 blog visitors 20,000 it mean maengezeko ya mapato atleast kwa 3% sasa how do you make money kwenye Social media bila ku-create crisis? Yaaani humu imejaa mijitu mingi akili ndogo sana!!

Le Mutuz
 
- ha! ha! ha! ha! yaani sASA UNAONYESHA NI le mburulazzzz kabisa ha1 ha! ha! ona unaandika pumba tupu!! Omg!1

Le Mutuz

Ama kweli ukijibizana na chiz na we utakuaa chizii,we kama sio shoga basi unaelekea huko mburulaz wazazi wako waliokunyaaa we kinyesiu
 
le mutuz promoter la kitanzania libilionea ambalo linakadiriwa kuwa na utajiri wa 20 billion shillings huku nusu ya hiyo ikiwa imetokana na social media..eeh you know.

- Look here mamen sijawa na mapesa mengi kiasi hicho ila sina njaa I am ok kwa msiaha ya bongo, nina Apartment 3 bedrooms, nina gari, ninaweza kula mara 3 kwa siku ninaweza kusaifiri kwa ndege, ninaweza kutoa misadaa kwa wengine wasio na uwezo, sasa unataka niwe na nini kwenye maisha? I mean ongea kwa kutumia akili kwa sababu with me you are playing na big mind U know, nenda google utafute watu kama Howard Stern, Raush Limbaugh, Mark Levine, hawa ndio role model wangu they look stupid mbele ya wajinga alikini they moake tons of money na ujinga wao ambao unauzika kwa jamii and I am doing exactly the same here mimi sijawahi kumataja kwa jina huyu mama kizee kwa sababu kwa kufanya hivyo nitampa ujiko wa kutengeneza pesa kwa kutumia jina langu, lakini kwa vile ni mjinga sana ametumbukia mtego wa kunitaja sasa understand kwamba kila anayesoma ujinga wake lazima aende google kuweka Le Mutuz automatically wanakuja kwenye my blog and that is all I could ask for, sijawa na hizo hela lakini niamini soon nitakuwa nazo tu maana nipo kwenye the right track!!

Le Mutuz
 
Ama kweli ukijibizana na chiz na we utakuaa chizii,we kama sio shoga basi unaelekea huko mburulaz wazazi wako waliokunyaaa we kinyesiu

- Yaaani the more you talk ni the more unajisema mambo yako duh!1 huzuni sana mimi nilidhani una akili kumbe ukiwa provoked ndio hivi akili mgando hivi? duh!1

Le Mutuz
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…