William Malecella aandaa miss Ilala!

ccccc@Kiranga
Mburulas with no education no life just dead people, how can you waste your valiable time discussing by using fake names? Ha! Ha! Ha! Ha! I am flying to mwanza now for ccm works, not sitting doing nothing discussing people who are educated than i am we call that mburulas!! Ha! Ha! Ha! You all mbuirulas can kiss my behind!! Ha! Ha! Ha! All mabebs wa bongo love you more babes!! Kisss mwaaaaaah!!CCCCCC Nyani Ngabu Superman The Boss
 
Na W. J. Malecela ni mtu wa kawaida sana tu mpaka magazeti yanamwandika!
Mburulas with no education no life just dead people, how can you waste your valiable time discussing by using fake names? Ha! Ha! Ha! Ha! I am flying to mwanza now for ccm works, not sitting doing nothing discussing people who are educated than i am we call that mburulas!! Ha! Ha! Ha! You all mbuirulas can kiss my behind!! Ha! Ha! Ha! All mabebs wa bongo love you more babes!! Kisss mwaaaaaah!!CCCCCC Nyani Ngabu Superman The Boss
 

Are you lifting the veil now Smile that you are also W. J. Malecela?
 
Hivi ulipokuwa kijana ulifanya vitu gani kama kijana? Unakuwa kama umetoka jela ya muda mrefu bana.....be your age man!

- Wivu na Chuki, huna mvuto kwa mabebs wala sio handsome so lazima uwe na Chuki na Wivu kwa mtu kama mimi, ndio unaamua kujipa ukiranja wa kuingilia maisha ya watu wasiokuhusu na kuzana kutoa maushauri shauri ambayo hujaombwa cause umedata, you have no life so unataka kila mtu awe kama wewe with no life at all, pole sana life goes on uzee mwisho ni Chalinze, huku mjini wote mababy, so unataka niwe kama age yako ya kutokuwa na maisha, get life man!! ha! ha! ha! kama yamekushinda kaa pembeni tuachie tunaoyaweza mtuwanguzz!!

LE Mutuz
 

Mzee Malecela naamini bado yuko town na sio Chalinze........je na yeye ni mababy?
Wewe ndio huna maisha......mke kakukimbia watoto wako kwa mama.......wewe bado unalala sebulani kwa baba yako!

 

What a sad, fat , pitifull loner.. hao ma bebs ndio waliokudanganya weye ni handsome.. ??
 
wakuache miaka mia le mutuz ...sisi mabebs na wewe ni full show
 
Mzee Malecela naamini bado yuko town na sio Chalinze........je na yeye ni mababy?
Wewe ndio huna maisha......mke kakukimbia watoto wako kwa mama.......wewe bado unalala sebulani kwa baba yako!


- HA! ha! ha! ha! mtaimba hizo nyimbo mpaka mwisho wa Dunia ila sina mpango wa kumrudia ndugu yenu, haya maneno mtayasema kwenye mitandao mpaka mchoke my life goes on! Huwa siangalii nyuma naangalia mbelezzz!! Kulala kwa baba kama ni kweli haijavunjwa Sheria ya Jamhuri, toka lini kulala sebuleni kwa baba yako mzazi likawa ni tatizo? ha! ha! ha! ha!

- Baba yangu anaishi Dodoma, so hayo maneno yako ya Chalinze ni waste of time na besides Uzee mwisho ni Chalinze huku mjini wote ni Mababy kama hutaji jinyonge, huna maisha wewe na huyo ndugu yako wote lifeless, sasa kaeni pembeni muangalie The Big Show! na kulia lia huku kwenye Mitandao labda one day Mungu wa Mitandao atawasikiliza kilio chenu! ha! ha!

- Sasa hivi naelekea kufungua Radio Station na TV Station, nyie endeleeni kulia kulia huku kwenye Mitandao, get life mtuwanguz!! ha! ha1 ha!

Le Mutuz
 
What a sad, fat , pitifull loner.. hao ma bebs ndio waliokudanganya weye ni handsome.. ??

- A Loner? ha! ha! ha! Loner kazi yao ni kuja kulia lia huku kwenye mitandao kuhusu maisha ya Watu kama Le Big Show, kwanza unayafuatilia sana maisha yangu proving you have no life of your own, na pili una wivu cause huwezi kufikia mambo yangu makubwa mno na super, okeee! mwendo ni ule ule maana ukiona wanalia lia ujue wanaisoma vizuri namba na rangi zakezzzz!!! I looove it!!!

Le Big Show
 

Duh kweli nyie wazee wa siku izi kazi kweli kweli. Ndio ulikuwa mgombea wa ubunge wew?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…