William Malecella aandaa miss Ilala!


Hivi wale watoto kule mbeya ambao ulikuwa unawajibu kwa kiburi na wasivokufahamu basi wakajua wewe ni mtu wa maana kumbe just a zero brain wakiona post zako huku jf watakuchukuliaje........hebu jiheshimu man get a life......umri na umbo lako haviendani na unayoyafanya umepigwa ban mara nyingi lakini bado naona huelewi.......walimu wako walipata tabu sana I guess......
 
Yaani jamaa na uzee wote lakini bado mtoto wa mama! Ama kweli kichwa sio akili!
 
Haya bana hawa ndo watoto mashavuni, pamoja nakutengenezewa mazingira lakini bado akili kidonge

Sent from my BlackBerry 9380 using JamiiForums
 
Wazazi wengine bora wangezaa ushuzi wakatengeneza gesi.
 
Hana lolote huyu jamaa umri wote huo anaomba nauli kwa baba yake

- Kumbe kuomba nauli kwa baba yako mzazi ni a Crime? ha! ha! ha! ha! ha! Sure mkuu na hata hizi Millions nilizotumia kuandaa Miss Redds Ilala 2013 nimeomba kwa baba yangu si ndio? ha1 ha! ha! ha! ha! the mburulazzzz!!

Le Mutuz
 

- Nilidhani ni Topic ya Miss Ilala, kumbe kuna mengine? ha1 ha! ha! kwa nini usiyafungulie Topic yake Mkuu maana hapa unachanganya u know!! ha1 ha! ha!

Le Mutuz
 
Yaani jamaa na uzee wote lakini bado mtoto wa mama! Ama kweli kichwa sio akili!

- HA! ha! ha! ha! ha! Kumbe Uzee ni A Crime? So Dr. Slaa mwenye Miaka 75 inakuwaje na hii theory ya Uzee as a Crime? ha! ha! ha1 na kuwa mtoto wa mama ni makosa? so wewe ulizaliwa na baba yako tu? ha1 ha! ha1 the mburulazzzz!!!

Le Mutuz
 
ukizipitia hizi post na kuzichunguza kwa makini unaweza kujua kitu

- ha! ha! ha! ha! ha! ha! ha! ha! ha!

Le Mutuz


Are you lifting the veil now Smile that you are also W. J. Malecela?

am his super mbabe !!!ha ! ha! ha! ha!cc Nyani Ngabu Superman
 
Last edited by a moderator:

Ahsanteee hapo sawa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…