William Oduol, mgombeaji wa Ugavana Siaya, ampa mkewe kibano cha kutisha...picha zinasikitisha!

Mwanamke apigwi makonde, anapigwa na Vits au Nadia au anaongezewa mwenzake

Mkuu N-handsome hapo kwenye red tu! umenikosha roho yangu maana nilkua na hasira na hilo jibaba, hiyo ya kuongeza mwenzake si dawa maana huyu tayari lakini bado anapiga tu!
 

Uliyoyanena yana ukweli sipingi lakini kumbuka kuna wakina mama nao wanawapa kibano kama iko upande wa waume zao pia isitoshe huyu jamaa hakumtendea haki huyp dada lakini nazidi kujiuliza chanzo nini mpaka wakafikia hapo
Jioni njema wana Beijing wote
 
Mkuu tuko pamoja kwa kuweka wazi kwamba siku hizi hata mi-dume nao hula kibano nyuma ya milango ya nyumba zao lakini kwa sasa macho ya Afrika Mashariki mote ni kwa ukatili wa huyu Oduol kwa mwana mama huyu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…