Kenya 2022 William Ruto ahofia kuibiwa kura, amweleza Balozi Wa Umoja Wa Ulaya

Kenya 2022 William Ruto ahofia kuibiwa kura, amweleza Balozi Wa Umoja Wa Ulaya

Kenya 2022 General Election

chotera

JF-Expert Member
Joined
May 19, 2016
Posts
6,560
Reaction score
15,864
Kenya! Kenya!

Nawakumbusha tu hatutaki mtuletee shida, hatutaki Raia wateseke, Wakenya wanahitaji amani na utulivu waendelee kuchapa kazi zao.

Naona Ruto kaanza mara ataibiwa kura na kasema deep state hawatompa kiti maana tume ya uchaguzi IEBC wameondoa orodha ya wapiga kura kwenye daftari la kura kwenye ngome za UDA.

Tulitarajia katiba mpya iwe mwarobaini sasa mbona katiba mnayo na mnaanza tena lawama ninyi namna gani bana?

Vinginevo tuwatakie uchaguzi mwema majirani zetu wakushinda ashinde kihalali na wakushindwa ashindwe kihalali maana kwa ukanda wa mashariki tunawaangalia mno kama mfano wa kuigwa kwenyedemokrasia hivo onesheni mfano mwema.
 
IMG_0031.jpg
 
[mention]MK254 [/mention] unatoa maoni gani?
 
Hitaji lako ni kupinga Katiba hayo mengine ya Luto umeyaleta kama changamoto tu.
Then uko Kenya Rais ndiye analia si wapinzani wich means he can not lig the election in any way that why he cries out.

Haujaona makamo wa Rais leo ameanza kulialia
 
Kenya! Kenya!

Nawakumbusha tu hatutaki mtuletee shida, hatutaki Raia wateseke, Wakenya wanahitaji amani na utulivu waendelee kuchapa kazi zao.

Naona Ruto kaanza mara ataibiwa kura na kasema deep state hawatompa kiti maana tume ya uchaguzi IEBC wameondoa orodha ya wapiga kura kwenye daftari la kura kwenye ngome za UDA.

Tulitarajia katiba mpya iwe mwarobaini sasa mbona katiba mnayo na mnaanza tena lawama ninyi namna gani bana?

Vinginevo tuwatakie uchaguzi mwema majirani zetu wakushinda ashinde kihalali na wakushindwa ashindwe kihalali maana kwa ukanda wa mashariki tunawaangalia mno kama mfano wa kuigwa kwenyedemokrasia hivo onesheni mfano mwema.
asiibiwe yeye ni nani kwani
 
Ruto ni makamu wa Rais na ni sehemu ya utawaka, so inamaanisha katiba mpya uleta USAWA hivyo Kenya kutokana na usawa, mtawala na mpinzani wako sawa.
Inamaana serekali hawana ubavu wa kutumia madaraka dhidi ya mpinzani na anaelia huyo Ruto ni Makamu wa Rais
 
Kenya! Kenya!

Nawakumbusha tu hatutaki mtuletee shida, hatutaki Raia wateseke, Wakenya wanahitaji amani na utulivu waendelee kuchapa kazi zao.

Naona Ruto kaanza mara ataibiwa kura na kasema deep state hawatompa kiti maana tume ya uchaguzi IEBC wameondoa orodha ya wapiga kura kwenye daftari la kura kwenye ngome za UDA.

Tulitarajia katiba mpya iwe mwarobaini sasa mbona katiba mnayo na mnaanza tena lawama ninyi namna gani bana?

Vinginevo tuwatakie uchaguzi mwema majirani zetu wakushinda ashinde kihalali na wakushindwa ashindwe kihalali maana kwa ukanda wa mashariki tunawaangalia mno kama mfano wa kuigwa kwenyedemokrasia hivo onesheni mfano mwema.
Kuiba Kura Sio Rahisi Kenya. koti za Kenya ziko huru kuchunguza na Hata kutupilia mbali matokeo kama kutakua na Shida. Ikiwa Ruto au Raila atashinda Kwa Kura zaidi ya milioni tatu basi itakua vigumu Sana kuiba Kura. Lakini wakikaribiana ama kuwe na Re-Run basi IEBC na Serekali wanaweza kucheza na matokeo kiasi.
 
Kwamba Ruto ndiye 'The New Raila'? 😀 Maanake vilio vya aina hii ndio utamaduni wake RAO, kila mara kabla ya uchaguzi. Ila najua kwa uhakika kwamba ni maigizo tu. Kama 'Hustler' angekuwa serious kuhusu suala hili, tayari wapambe wake wangekuwa wamewasilisha hoja bungeni ya kuwatimua makamishna wa tume huru ya uchaguzi, IEBC.

Anao wabunge wakutosha bungeni, ambo wanamuunga mkono. Itabidi atulie tu, Raila alishamjibu tayari na akamueleza wazi kwamba hana haja ya kuiba kura, kwasababu anajua kwamba kura zote ni zake. 😀
 
Kwamba Ruto ndiye 'The New Raila'? [emoji3] Maanake vilio vya aina hii ndio utamaduni wake RAO, kila mara kabla ya uchaguzi. Ila najua kwa uhakika kwamba ni maigizo tu. Kama 'Hustler' angekuwa serious kuhusu suala hili, tayari wapambe wake wangekuwa wamewasilisha hoja bungeni ya kuwatimua makamishna wa tume huru ya uchaguzi, IEBC.

Anao wabunge wakutosha bungeni, ambo wanamuunga mkono. Itabidi atulie tu, Raila alishamjibu tayari na akamueleza wazi kwamba hana haja ya kuiba kura, kwasababu anajua kwamba kura zote ni zake. [emoji3]

RUTO mwenyewe hiyo deep state au system anaonekana kuiogopa sana japo ni Naibu wa Rais
 
Back
Top Bottom