Kenya 2022 William Ruto ahofia kuibiwa kura, amweleza Balozi Wa Umoja Wa Ulaya

Kenya 2022 William Ruto ahofia kuibiwa kura, amweleza Balozi Wa Umoja Wa Ulaya

Kenya 2022 General Election
RUTO mwenyewe hiyo deep state au system anaonekana kuiogopa sana japo ni Naibu wa Rais
Longolongo tu hizo, za kawaida kwa wanasiasa. Ruto mwenyewe ni NAIBU rais, sio makamu, hadi sasa hivi. Tena hapo mwanzoni alikuwa amepewa uhuru wa kuteua, karibia nusu ya mawaziri na viongozi wengine wa ngazi za juu serikalini. Itakuwaje eti yeye mwenyewe awe sio mmoja wa hao anaowaita Deep State, au iwe kwamba hana ushawishi ndani ya hiyo 'clique'?
 
Longolongo tu hizo, za kawaida kwa wanasiasa. Ruto mwenyewe ni NAIBU rais, sio makamu, hadi sasa hivi. Tena hapo mwanzoni alikuwa amepewa uhuru wa kuteua, karibia nusu ya mawaziri na viongozi wengine wa ngazi za juu serikalini. Itakuwaje eti yeye mwenyewe awe sio mmoja wa hao anaowaita Deep State, au iwe kwamba hana ushawishi ndani ya hiyo 'clique'?

Siasa ya mwaka huu sijaielewa japo nampenda RAO lakini UHURU sijui anataka kumfanyaje yule Mzee, ngoja tuone itakuaje
 
Siasa ya mwaka huu sijaielewa japo nampenda RAO lakini UHURU sijui anataka kumfanyaje yule Mzee, ngoja tuone itakuaje
RAO ni fighter wa kweli, mvua ya tear gas na vikosi vya askari vilishidwa kumzuia kwenda hadi uhuru park Miguna Miguna kumuapisha "Urais wa Kenya".
 
RUTO mwenyewe hiyo deep state au system anaonekana kuiogopa sana japo ni Naibu wa Rais
Kawaida deep state,, huwa ni system ya marais na viongozi wastaafu ambao huondoka wakiwa wameacha system madhubuti ya kusafeguard interest zao,, vinginevyo wakiacha madaraka wanaweza pata tabu sana,,
So rais mgeni huwa inabidi awe makini sana kutoingilia interests za deep state[emoji23][emoji23]
 
Kenya! Kenya!

Nawakumbusha tu hatutaki mtuletee shida, hatutaki Raia wateseke, Wakenya wanahitaji amani na utulivu waendelee kuchapa kazi zao.

Naona Ruto kaanza mara ataibiwa kura na kasema deep state hawatompa kiti maana tume ya uchaguzi IEBC wameondoa orodha ya wapiga kura kwenye daftari la kura kwenye ngome za UDA.

Tulitarajia katiba mpya iwe mwarobaini sasa mbona katiba mnayo na mnaanza tena lawama ninyi namna gani bana?

Vinginevo tuwatakie uchaguzi mwema majirani zetu wakushinda ashinde kihalali na wakushindwa ashindwe kihalali maana kwa ukanda wa mashariki tunawaangalia mno kama mfano wa kuigwa kwenyedemokrasia hivo onesheni mfano mwema.
Raila ndio chaguo la Deep State kwahiyo Kenya hakuta kuwa na uchaguzi wa haki pamoja na katiba mpya. Inawezekanaje National Intelligence itoe taarifa kuwa Raila atashinda kwa asilimia 60
Kenya! Kenya!

Nawakumbusha tu hatutaki mtuletee shida, hatutaki Raia wateseke, Wakenya wanahitaji amani na utulivu waendelee kuchapa kazi zao.

Naona Ruto kaanza mara ataibiwa kura na kasema deep state hawatompa kiti maana tume ya uchaguzi IEBC wameondoa orodha ya wapiga kura kwenye daftari la kura kwenye ngome za UDA.

Tulitarajia katiba mpya iwe mwarobaini sasa mbona katiba mnayo na mnaanza tena lawama ninyi namna gani bana?

Vinginevo tuwatakie uchaguzi mwema majirani zetu wakushinda ashinde kihalali na wakushindwa ashindwe kihalali maana kwa ukanda wa mashariki tunawaangalia mno kama mfano wa kuigwa kwenyedemokrasia hivo onesheni mfano mwema.
 
Huyu hawezi shinda uraisi aende akachunge mifugo. Raisi ni Amolo Odinga wakubwa wa dunia washapanga tunzeni huu ushahidi, na Ruto akitaka leta fujo atapelekwa the hague, aache janja janja ya kusema ataibiwa kura, piga kura usipige kura lakini tayari vatican wanajua raisi ni Amolo Odinga. Washapanga, Kenyatta anaijua Siri hii thus ameamua kumsapoti Odinga.
 
Baba did it again-upped the pace. Kamba nation yote ndani ya nyumba.
1654249915377.png
 
Longolongo tu hizo, za kawaida kwa wanasiasa. Ruto mwenyewe ni NAIBU rais, sio makamu, hadi sasa hivi. Tena hapo mwanzoni alikuwa amepewa uhuru wa kuteua, karibia nusu ya mawaziri na viongozi wengine wa ngazi za juu serikalini. Itakuwaje eti yeye mwenyewe awe sio mmoja wa hao anaowaita Deep State, au iwe kwamba hana ushawishi ndani ya hiyo 'clique'?
nilidhani labda hio 'deepstate' ni mama ngina¿?
 
Back
Top Bottom