game over
JF-Expert Member
- Jan 1, 2016
- 10,727
- 24,840
Baada ya kutoelewana kwa muda Mrefu kati ya Rais wa Kenya Uhuru Kenya na Makamu wake Wiliam Ruto hali iliyotokana na uhuru kuonesha wazi wazi kutomuunga mkono Ruto kujinyakulia urais 2022 na badala yake kuungana na RAO wa Upinzani kupitia Handshake, (Hand cheque) na BBI.
sasa Bwana Ruto ameona kama Mbwai na iwe Mbwai, Mambo yasiwe mengi, ameamua kujitenga na kuendeleza Hustler Movement kivyake kwa Kuanzisha Chama Kipya, (United Democratic Aliance-UDA).
Ikumbukwe Bila ya Ruto Uhuru asingekuwa Rais wa Kenya. Kwa Sasa Ruto ni ameshajilimbikizia pesa nyingi ambayo itamfanya afadhili kampeni zake na shughuli mbalimbali za Chama chake Kipya ikiwemo Hustler na Wheelbarrow movements.
William Ruto ameonesha wazi kutounga mkono BBI, (BBI Nonsense kama Wakenya wanavyosema)
Ikumbukwe kila awanu ya uchaguzi nchini Kenya Vyama vipya huzaliwa na Kufa awamu inayofuatia.
Tangu Kenya imepata uhuru ni Wakikuyu na Wakelenjini pekee ndio wameiongoza kwa nafasi za juu. Wiliam Ruto pia anatoka kabila hilo na kwa Ukubwa wa kabila lake basi ni wazi ana nafasi kubwa ya kuwa Rais wa Kenya, hii ni kwa sababu Kenya uchaguzi hufanyika kwa misingi ya Kikabila.
sasa Bwana Ruto ameona kama Mbwai na iwe Mbwai, Mambo yasiwe mengi, ameamua kujitenga na kuendeleza Hustler Movement kivyake kwa Kuanzisha Chama Kipya, (United Democratic Aliance-UDA).
Ikumbukwe Bila ya Ruto Uhuru asingekuwa Rais wa Kenya. Kwa Sasa Ruto ni ameshajilimbikizia pesa nyingi ambayo itamfanya afadhili kampeni zake na shughuli mbalimbali za Chama chake Kipya ikiwemo Hustler na Wheelbarrow movements.
William Ruto ameonesha wazi kutounga mkono BBI, (BBI Nonsense kama Wakenya wanavyosema)
Ikumbukwe kila awanu ya uchaguzi nchini Kenya Vyama vipya huzaliwa na Kufa awamu inayofuatia.
Tangu Kenya imepata uhuru ni Wakikuyu na Wakelenjini pekee ndio wameiongoza kwa nafasi za juu. Wiliam Ruto pia anatoka kabila hilo na kwa Ukubwa wa kabila lake basi ni wazi ana nafasi kubwa ya kuwa Rais wa Kenya, hii ni kwa sababu Kenya uchaguzi hufanyika kwa misingi ya Kikabila.