Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wacha wauwane tu [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Hawachelewi kuchapana tena hawa majamaa[emoji1783]
Unforgetable
Magu hana mda huo atawaacha wauwane yeye yuko busy na SGR, wakishamaliza kuchinjana watakuta tunawatawala kwa kuwapelekea misaada ya kila kitu kuanzia chakula mpk dawa [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]CCM ijiandae tena kutuma wapatanishi 2022.
Hawana faida hawa watu so hakuna haja ya kuwaombea umoja wa kitaifa.Inabidi Tanzania tupenyeze kiongozi atakaeleta umoja wa kitaifa nchini Kenya. We need to work on this.
Sahihi.CCM ijiandae tena kutuma wapatanishi 2022.
CCM ndio chama pekee chenye uzoefu na utulivu ukanda huu, ni muda sasa kaka Mkubwa kuwapa darasa hawa Wakenya namna gani ya kucheza figisu pasi ya kumwaga damu au kuunda vyama vipya kila uchao.
CCM hawahawa wawe wapatanishi?CCM ijiandae tena kutuma wapatanishi 2022.
mbona kama unaandika kiuogo uoga... fungua roho dada, jimwae mwae
Dadambona kama unaandika kiuogo uoga... fungua roho dada, jimwae mwae
Baada ya kutoelewana kwa muda Mrefu kati ya Rais wa Kenya Uhuru Kenya na Makamu wake Wiliam Ruto hali iliyotokana na uhuru kuonesha wazi wazi kutomuunga mkono Ruto kujinyakulia urais 2022 na badala yake kuungana na RAO wa Upinzani kupitia Handshake, (Hand cheque) na BBI.
sasa Bwana Ruto ameona kama Mbwai na iwe Mbwai, Mambo yasiwe mengi, ameamua kujitenga na kuendeleza Hustler Movement kivyake kwa Kuanzisha Chama Kipya, (United Democratic Aliance-UDA).
Ikumbukwe Bila ya Ruto Uhuru asingekuwa Rais wa Kenya. Kwa Sasa Ruto ni ameshajilimbikizia pesa nyingi ambayo itamfanya afadhili kampeni zake na shughuli mbalimbali za Chama chake Kipya ikiwemo Hustler na Wheelbarrow movements.
William Ruto ameonesha wazi kutounga mkono BBI, (BBI Nonsense kama Wakenya wanavyosema)
Ikumbukwe kila awanu ya uchaguzi nchini Kenya Vyama vipya huzaliwa na Kufa awamu inayofuatia.
Tangu Kenya imepata uhuru ni Wakikuyu na Wakelenjini pekee ndio wameiongoza kwa nafasi za juu. Wiliam Ruto pia anatoka kabila hilo na kwa Ukubwa wa kabila lake basi ni wazi ana nafasi kubwa ya kuwa Rais wa Kenya, hii ni kwa sababu Kenya uchaguzi hufanyika kwa misingi ya Kikabila.
Inashangaza baadhi ya watu wanasemaga wanataka taasisi zenye nguvu wakati taasisi (CCM) teyari ipo mbele ya macho yao.Politics za kenya hazijawa institutionalized zipo Tribalized ndio maana mtu haangalii ideology wala manifesto za Chama fulani, wao ni kabila tu basi, Tanzania hata mtu akubalike vipi hawezi kuwa mkubwa zaidi ya Chama
Kwnz ndani ya CCM kuna demokrasia kubwa sn, nani alijua mtu km Magufuli ambaye hakuwa na nguvu yyte ndani ya chama angeiwakilisha CCM ktk kinyang'anyiro cha urais.Inashangaza baadhi ya watu wanasemaga wanataka taasisi zenye nguvu wakati taasisi (CCM) teyari ipo mbele ya macho yao.
Naukiangalia utendaji wa CCM unaona unafanana na ule wa chama cha kikomunisti cha China, yaani hakuna aliye juu ya chama. Hata kama unapesa, ukikosea unanyongwa tuu.
😳😳🤣🤣Inabidi Tanzania tupenyeze kiongozi atakaeleta umoja wa kitaifa nchini Kenya. We need to work on this.
😳😳Ila Kenya ni nchi ya kipuuzi sana.. Sidhani kama nitawahi kwenda huko kenya