William Ruto aunda chama chake kipya cha siasa kwa ajili ya Uchaguzi Mkuu Kenya 2022

Politics za kenya hazijawa institutionalized zipo Tribalized ndio maana mtu haangalii ideology wala manifesto za Chama fulani, wao ni kabila tu basi, Tanzania hata mtu akubalike vipi hawezi kuwa mkubwa zaidi ya Chama
 
Ccm washukuru wananchi wa Tanzania Ni WAVUMILIVU.
Ila sio Kama wanakubalika
CCM ndio chama pekee chenye uzoefu na utulivu ukanda huu, ni muda sasa kaka Mkubwa kuwapa darasa hawa Wakenya namna gani ya kucheza figisu pasi ya kumwaga damu au kuunda vyama vipya kila uchao.
 

Lazima UDA litazoa watu nyomi.
πŸ˜†πŸ˜πŸ˜€
 
Politics za kenya hazijawa institutionalized zipo Tribalized ndio maana mtu haangalii ideology wala manifesto za Chama fulani, wao ni kabila tu basi, Tanzania hata mtu akubalike vipi hawezi kuwa mkubwa zaidi ya Chama
Inashangaza baadhi ya watu wanasemaga wanataka taasisi zenye nguvu wakati taasisi (CCM) teyari ipo mbele ya macho yao.

Naukiangalia utendaji wa CCM unaona unafanana na ule wa chama cha kikomunisti cha China, yaani hakuna aliye juu ya chama. Hata kama unapesa, ukikosea unanyongwa tuu.
 
Kwnz ndani ya CCM kuna demokrasia kubwa sn, nani alijua mtu km Magufuli ambaye hakuwa na nguvu yyte ndani ya chama angeiwakilisha CCM ktk kinyang'anyiro cha urais.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…