pingli-nywee
JF-Expert Member
- Sep 16, 2015
- 11,923
- 13,350
Wewe ni naibu rais wa nchi gani? Kutoka kwenye biashara ya kuchuuza kuku kwenye stendi ya mabasi Eldoret hadi kwenye kiti cha naibu rais. Wewe unadhani kwanini huwa anaitwa Hustler? Hizo ni 'personal achievements' za Dr. William Samoei Kipchirchir Arap Ruto. Kwenye uongozi alikuwa 'best 'performer kama waziri wa kilimo na pia kwenye wizara ya masomo ya juu. Jamaa ana potential sana ila chorus ya uchaguzi wa 2022 imekuwa kilevi kwake.Hivi achievement ya Ruto ni nini?
Boss, picha na jina la Ruto lilikuwa kwenye karatasi ya kupigia kura 2013 na 2017 pia. Alipigiwa kura na wakenya wengi, kampeni zikianza rasmi tutasikiza hoja zake. Kumbuka kwamba kwenye uchaguzi mfumo huwa ni wa 'one man, one vote'.Sasa na kaurais mumkumbuke.
And all those Presidents run failed states categorised as LDCs. Right?But has produced Presidents in 2 in Tanzania, 1 in DRC , 1 in South Sudan, 1 in Uganda n some of Africa's competent senior diplomats, lawyers, chief judges, attorney generals n politicians! The funny thing is ur UON has not produce a single President till today.
Monduli military college has produced Kagame too!
The states that feed hunger infested prosperous Kunyaland! BTW aside UDSM there were other institutions like Solomon Mahanglu and African Liberation committee that hosted the leaders of Mozambique, Zimbabwe,Angola, Namibia and South Africa.And all those Presidents run failed states categorised as LDCs. Right?
And all those Presidents run failed states categorised as LDCs. Right?
Moi just like Kenyatta Snr didn't see a university chalk!
Ushabiki wa Kisiasa umekupofusha.Wewe ni naibu rais wa nchi gani? Kutoka kwenye biashara ya kuchuuza kuku kwenye stendi ya mabasi Eldoret hadi kwenye kiti cha naibu rais. Wewe unadhani kwanini huwa anaitwa Hustler? Hizo ni 'personal achievements' za Dr. William Samoei Kipchirchir Arap Ruto. Kwenye uongozi alikuwa 'best 'performer kama waziri wa kilimo na pia kwenye wizara ya masomo ya juu. Jamaa ana potential sana ila chorus ya uchaguzi wa 2022 imekuwa kilevi kwake.
Sijakuelewa, mimi sio shabiki wa siasa za William Ruto. Uchaguzi ungekuwa leo hii singempa kura yangu. Ila sina mazoea ya kuweka chini na kudharau mafanikio ya wenzangu, jikite kwenye kujifunza kutoka kwa wengine. Wanasiasa wote ni ovyo, na wale ninaowakubali huwa ni kwasababu ya kujituma kwao.Ushabiki wa Kisiasa umekupofusha.
Wanasiasa wengi katika Nchi za Kiafrika wametoka maisha ya chini sana na wakafanya juhudi nyingi kufika hapo walipo.
Unapoangalia achievement kwa maana ya kustahili kutambuliwa kama ilivyofanywa na Museveni ni lazima uwe na outstanding/extrodinary achievement inayoelezeka si kuuza kuku na kuwa Makamu Rais. kabebwa na Moi kuwa Waziri, mbunge. Changanya kuiba na kuwa janja janja akapata utajiri (refer Weston Hotel and other scandals). Hapo kwa Mtu kama huyo kuwa kuwa DPK kwa Nchi za Kiafrika si jambo extrodinary ambalo 'kumtambua'. kiamini nafasi ya Ruto kuwa PORK ni kubwa hence 'kumpata patner' mapema.
In the list of best universities in Africa, UoN is 6th while UDSM is in position 44
Sent using Jamii Forums mobile app
YouWho knows Rutto apart from people from Failed state by the name" Kunyaland".
Sent using Jamii Forums mobile app