William Saliba ni moja kati ya mabeki wa kati bora zaidi duniani

William Saliba ni moja kati ya mabeki wa kati bora zaidi duniani

Aymeric laporte,Ruben dias,toby. Alderweireld Jan verntoghen,van dijk ,soyuncu Kuna kipindi waliwahi kukiwasha sana ila baada ya muda wakata moto kabisa ww mchezaji wako hajacheza game za champions league,hajacheza msimu mzima akamaliza ushaaza kumsifu eti moja kati ya mabeki Bora wa Dunia kuwa serious kidogo Kwa hizo mechi na Cardiff city na Norwich subir acheze mechi nying za kutosha ndio urudi apa kumpa promo huyo beki wako hafiki Ata nusu ya uwezo wa beki kamJese gimenez ,bado hujawataja kina Antonio Rudiger,bado hujamtaja Romeo wa spurs
Soyuncu ni kitasa haswa sema saiv cjui kalogwa
 
Back
Top Bottom