Willian anasema Ronaldinho ni kiboko kuliko Messi, unakubaliana nae?

Acheni ungese. Mimi ni pro Messi ila jamani acheni ukuda watoto wadogo Gaucho anajua jamani. Pumbafu zake hakua na discipline tu. Kuna hawa watu watatu Messi, Di Lima na Gaucho acha kabisa.
 
Naam jamaa yuko sahihi kabisa. Messi na Cristiano Ronaldo ni media zinawapaisha tu, pia haya makampuni makubwa kama Adidas yanawatumia kuingiza pesa ndefu mno lakini hakuna kitu
kwahiyo mkuu adidas na Nike walikuwa wanamsaidia messi kutandaza kandanda Jana...acheni masihara mjue
 
kwahiyo mkuu adidas na Nike walikuwa wanamsaidia messi kutandaza kandanda Jana...acheni masihara mjue
Kwahiyo ww na akili zako hizo nzuri unataka kudai kuwa Messi ni bora kuliko Ronaldinho.???! Messi ndio anakipaji lakin hawezi mfikia Ronaldinho ata robo japo alikuwa mchezaji bora wa dunia kwa mara moja. Hizo tuzo wanazo pewa si kwama wao ni bora kuliko wengine tusiende bali hapa hapa bongo siku ukipata mda uje nikuonyeshe kuna vijana wanakuzwa jirani na ninapo ishi ata huyo Messi wenu anaweza funikwa. Aya kuna siku lipita kule Shinyanga nikakuta game ya kijiji aisee kuna wachezaji wazuri tu sema ndio hivyo hawaonekani. Kinacho wafanya Messi na Cristiano Ronaldo kuwa juu ni sababu ya media wanapaishwa tofauti na uwezo wao. Rudi nyuma kombe la dunia lililo pita Messi anakuwa mchezaji bora wa washindano hayo kwa lipi hasa??? Hapo ndio unaona nguvu za haya makampuni Adidas na Nike yapo kiushindani. Yanatoa pesa nyingi ili kuonyesha vifaa vyao ni bora.
 
hahaaaaa mkuu kwakuwa nakupenda sana nakukuheshimu naomba mimi niishie hapa aiseee ....daaahhh ile umenichekesha mnooo daahh like seriously!??
 
Hahahaa mi pia nakupenda mkuu, tafuta mda uje nikuonyeshe hawa vijana wanavyosakata kabumbu. Uje ununue na hisa kabisa maana mwaka kesho tunatafuta usajili.
hahaaaaa mkuu kwakuwa nakupenda sana nakukuheshimu naomba mimi niishie hapa aiseee ....daaahhh ile umenichekesha mnooo daahh like seriously!??
 
Hahahaa mi pia nakupenda mkuu, tafuta mda uje nikuonyeshe hawa vijana wanavyosakata kabumbu. Uje ununue na hisa kabisa maana mwaka kesho tunatafuta usajili.
haya boss ...asante kwa kunipa fursaa...nitakuja Mungu ajaalie
 
Naam jamaa yuko sahihi kabisa. Messi na Cristiano Ronaldo ni media zinawapaisha tu, pia haya makampuni makubwa kama Adidas yanawatumia kuingiza pesa ndefu mno lakini hakuna kitu
Mkuu kama Nakufahamu [emoji12] [emoji12] [emoji12] , DAKAR
 
For entertaiment football, ronaldinho ni mzuri sana zaidi ya messi. So mimi nakubariana nae. Ila messi ni mzuri katika kutafuta ushindi.
 
For entertaiment football, ronaldinho ni mzuri sana zaidi ya messi. So mimi nakubariana nae. Ila messi ni mzuri katika kutafuta ushindi.

Gaucho hajafikia uwezo wa Messi hata kidogo. Dogo analeta utaifa wake hapa...wabrazili waninafsi sana.
 
Analeta utaifa huyo, mbona haihitaji shule kuielewa status yake, ni sawa kusema samatta ni bora kuliko salah. Mwambie amulize gaucho mwenyewe atampa jibu sahihi kwamba who iz lapulga??? Asituletee ujinga wake hapa,anamsifia kwakuwa fellow brazilian lakini Messi ni noma no one like him under the sun. Gaucho ni mtoto sana tu kwa Messi. Level yake akina iniesta aguero and ibrahimovic.
 
kwahiyo mkuu adidas na Nike walikuwa wanamsaidia messi kutandaza kandanda Jana...acheni masihara mjue
inashangaza sana aisee...kusema adiddas ndio walisababisha jana kipa wa chelsea awe anapigwa matobo na messi!! watu wanajua sana kusingizia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…