makaveli10
JF-Expert Member
- Mar 27, 2013
- 31,583
- 92,670
Mie nawe hatuna uhakika alipewa maelezo gani na kocha.Mzee ukifanikiwa kuumiliki mchezo u atakiwa kupooza mchezo,ndio yakikuwa maelekezo ya mwalimu,sa ukitaka acheze mbeke pake ake akati wenzie wanacheza kweny eneo lao.Au mpira uliutazama wasafi fm
Na wydad ni wadigo?Kisa kuwafunga wadigo?
Sasa pale si ilikuwa kulwa na doto wanacheza tu?
Akili tu ,hatumii nguvuHuyu Onana ana kipaji kizuri sana. For sure anaweza kutupa raha sana kama timu itarudi kwenye utamu wake. Au mnasemaje wadau?
Al Ahly nae mdigo?Kisa kuwafunga wadigo?
Sasa pale si ilikuwa kulwa na doto wanacheza tu?
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Ashukuriwe Eto'o
Hahahahaha..dahKwani wanaofadhili yanga si ndio haohao wafadhili wa coastal
Yupo Ilula analima vitunguuNahodha wetu Bocco yuko wapi?
Fact kbs.Onana ni mchezaji mzuri lakini ana utoto mwingi sana na anapenda sifa. Baada ya kufunga tu goli moja basi akanza upuuzi wake wa kutembea na mpira wakati wenzake wanasubiri mpira mbele.
Na benchi la ufundi la Simba likumbushwe ili liwe linakemea wachezaji wake maana Simba wakiwa mbele kwa tofauti ya goli moja tu basi wachezaji wote wanaanza upuuzi wa pasi fupi fupi mara visigino badala ya kutafuta tofauti ya magoli mawili na kuendelea. Goli moja halina "cover" maana yake hata sekunde moja ikibaki linaweza kurudi. Na juzi kama Ajibu angetulia wakati ameshamchungulia Ayoub yupo mbele kidogo ya mstari wa goli nafikiri "week end" ingekuwa mbaya sana kuanzia kwa wachezaji, benchi la ufundi, viongozi, wanachama na mashabiki wa Simba. Wakiendelea na huo upuuzi ipo siku hawataamini kitakachotokea.