Odhiambo cairo
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 15,989
- 22,078
Wanawakomoa nani?! Bila shaka nchi. Na history itawahukumu lazima.Katika Ilani ya uchaguzi ya CCM inayonadiwa wakati huu Katiba mpya siyo kipaumbele chake. Ata CDM na ACT wote Katiba mpya siyo kipaumbele chao.
Yani mkuu hawa jamaa wanachokitafuta watakipata mwaka huu hatutaki ujinga tutawanyoosha.Vituo 80150×500= 40,075,000
Wapiga kura = 29,000,000
Difference = 11,000,000 voters
Equivalent na excess ya vituo= 22000..
Mbona namba hazitally ?
Hivi vituo 22,000 wapinzani ambao hata kuwaapisha mawakala ni kaz vinafikika VIP?
Hoja za kuwaengua wagombea wa upinzani umezijibu kwa haraka kama unavozungumiza hilo gar?
Huku wakiwa wamewaengua mamia ya wagombea wa upinzani na kuwapitisha mamia ya Ccm bila kupingwa!! Mbaya zaidi wakiwa wanafanya figisu za kutowaapisha mawakala wa Chadema.
Anatuona watanzania wajinga sana huyu mzee , sasa tutamuonesha wiki ijayo!!
Huyu Magufuli anafikiri Watz wote Ni wajinga, wapuuzi na hawajui chochote kinachoendelea....!!!
Haiwezekani kwa Hali yoyote ile kwamba CCM iwe na Wagombea ambao ni ANGELS, they never do mistakes during filling of their application forms or during their campaign activities. Never!
Hakuna kitu Kama hicho DUNIANI.
Kwamba hakuna hata mgombea 1 wa CCM hata awe wa Udiwani, Ubunge wala Urais.
Makosa yote ni kwa Wapinzani tu maana wao ndio hawakwenda shule..........!! Ule msemo wa Kumwaga Mboga sisi tunamwafa Ugali ni hapo 28 Okt, 2020!
Arguing with a fool shows that there are two.. so, I'll abstainAcha uzushi weka ushahidi wa uharamia wao ili tukujue kwamba wewe siyo mnafiki, mpayukaji, mchumia tumbo, hopeless. Let's ushahidi.
Bring the evidence. Hiyo sheria inajieleza vizuri tu, tuache majungu na upotoshaji.Kosa langu ni kuuliza Kwanini WALIOENGULIWA NI WAPINZANI TU? NIAMBIE JIMBO GANI AU KATA GANI AMBAKO KUNA MGOMBEA WA CCM KAENGULIWA?
No research no right to speak.....!!!
Kampeni zote Mwanzo mwisho walopatikana ATI NA MAKOSA NA KUSIMAMISHWA NI WAGOMBEA WA UPINZANI TU....!!!!
Kama unafikiri makosa ya JINAI NI KWA AJILI YA WAPINZANI umedanganyika!!! One day you gonna pay the price! What comes around goes around!!!
Wale majaji wote pale NEC lazima waunganishweImevuja:Fatou benSouda apokea faili linalosemekana ni la Wilson Mahera
Wamejitahidi kujitekenya wenyewe halafu wanacheka, unatengeneza wall ya uongo unajichatisha na kujijibu mwenyewe, unascreenshot unatuma mitandaoni kuonesha umeweza "kuhack" mawasiliano ya wapinzani kumbe maveeeee, mahera na lile para lake bichwa kubwa kumbe ndani lina ugaliMahera ameshitukiwa hana hamu na mitandao !
Wasitafute mchawi, wachawi ni wao. Wameshindwa kutenda haki. Wao ndiyo wanaochafua mchakato wote wa uchaguzi.Mkurugenzi wa Uchaguzi wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi, Dkt. Wilson Mahera Charles, leo Oktoba 23, 2020 amezungumza na Vyombo vya Habari kutoa rai kwa Watanzania, kuvipuuza vikundi au Viongozi wa Vyama vya Siasa ambao wamejipanga kuharibu taswira ya Uchaguzi Mkuu utakaofanyika tarehe 28 Oktoba, 2020.
View attachment 1609827View attachment 1609828View attachment 1609829View attachment 1609830
Kwani ndiyo huu?Huyu bwana hata simuelewi anahangaika
Numbers do not lie. NEC and Mahera are cheating.Vituo 80150×500= 40,075,000
Wapiga kura = 29,000,000
Difference = 11,000,000 voters
Equivalent na excess ya vituo= 22000..
Mbona namba hazitally ?
Hivi vituo 22,000 wapinzani ambao hata kuwaapisha mawakala ni kaz vinafikika VIP?
Hoja za kuwaengua wagombea wa upinzani umezijibu kwa haraka kama unavozungumiza hilo gar?...
28 ni siku ya kuikomboa nchi yetu toka Mali ya ukoo na kuwa Mali ya watzNaiona Tanzania Mpya ingawa yawezekana kukawepo na watakaoumia nikiwa mmoja wao lkn Ukombozi ni lazima.