Wimbi kubwa la wasomi walioajiriwa kukimbilia biashara za nguo na viatu mitandaoni

Wimbi kubwa la wasomi walioajiriwa kukimbilia biashara za nguo na viatu mitandaoni

mchepuko

JF-Expert Member
Joined
Feb 14, 2014
Posts
1,192
Reaction score
1,415
Wakuu salama?

Kitambo sijapost hapa ila nimeona leo tuangalie upande wa pili wa shilingi; tuna idadi kubwa sana ya vijana wetu wasomi tena ambao wapo kwenye ajira iliyo rasmi lakini wakati huo huo wanafanya ujasiriamali mdogomdogo.

Sioni tatizo kufanya biashara ila shida inakuja pale ambapo inafikia hadi kutaka kuharibu kazi yako, kazi za mwajiri zimebaki kufanyika bila ubunifu wowote, wasomi wamekua brainwashed wao ni mitandanaoni tu kuwaangalia mastaa wana jambo gani.

Hili jambo linnaifikirisha sana kwanini wasomi wetu wenye kazi rasmi hawatumii maarifa yao ndani ya hizo field zao kujiongeza?
 
Kwa hakika na masikito huu ni mfano wa SIMBA👹 Mnyama badala ya kwenda mawindoni yupo anababaishwa na vipepeo na nzi ....🦋🦟🦋🦟
Very sad for the Nation
 
Wakuu salama?

Kitambo sijapost hapa ila nimeona leo tuangalie upande wa pili wa shilingi; tuna idadi kubwa sana ya vijana wetu wasomi tena ambao wapo kwenye ajira iliyo rasmi lakini wakati huo huo wanafanya ujasiriamali mdogomdogo.

Sioni tatizo kufanya biashara ila shida inakuja pale ambapo inafikia hadi kutaka kuharibu kazi yako, kazi za mwajiri zimebaki kufanyika bila ubunifu wowote, wasomi wamekua brainwashed wao ni mitandanaoni tu kuwaangalia mastaa wana jambo gani.

Hili jambo linnaifikirisha sana kwanini wasomi wetu wenye kazi rasmi hawatumii maarifa yao ndani ya hizo field zao kujiongeza?
chama kushika hatamu ni hatari sana
 
Haya yote ni matokeo ya elimu bora inayotolewa na serikali ya ccm
 
Back
Top Bottom