Wimbi la kuibuka watu JF wenye mitaji mikubwa kulikoni wenzetu?

Huwa ni maneno tu, hakuna uhalisia wowote......sawa sawa na maswali ya chemsha bongo.
 
Humu kila mtu tajiri so be careful huyo mwenye million 700 ukute hata million moja hajawahi kushika, wenye hela ndefu wanajua au wanabiashara tayari, huwezi kuwa na hyo hela hujua chakufanya huo uwendawazimu na ndoto
Mkuu kuna watu wanauza nyumba za urithi. Hawa ndyo wanakimbilia humu. Tena asilimia kubwa ni watoto wa mjini hata shule unakuta walikacha. Bhati unakuta wazee wao ndyo walikuwa na tuvibanda mijini hasa zile nyumba tunazoitaga za uswahilini. Sasa hivi ukiangalima miji mingi, hizi nyumba zinavunjwa baada ya mwaka unakuta umenyanyukiwa gorofa ya hatari. Viwanja unakuta bei sio chin ya 1b.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…