Wimbi la Ujambazi: Waziri Mkuu asema ni jukumu la kila Mtanzania kushiriki kwenye ulinzi

Wimbi la Ujambazi: Waziri Mkuu asema ni jukumu la kila Mtanzania kushiriki kwenye ulinzi

Replica

JF-Expert Member
Joined
Aug 28, 2017
Posts
1,681
Reaction score
8,887
Mbunge wa Makete, Festo Sanga amesema siku za hivi karibuni kumekuwa na changamoto ya wimbi la ujambazi hususan Mikoa ya Dar es Salaam, Dodoma, Mbeya, Mwanza na Arusha.

Akiwa Bungeni, amesema matukio hayo yamekuwa yakihatarisha usalama wa Wafanyabiashara, wananchi kwa ujumla pamoja na mali.

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa amesema Vyombo vya Ulinzi na Usalama vimeagizwa kuchukua hatua kali dhidi ya wanaosababisha madhara ya kiusalama. Pia ameeleza, mara kadhaa Watanzania wameombwa kushiriki kwenye ulinzi wa Nchi.

 
Ni vizuri kuwa na silaha yeyote hata ya kutishia unaposhiriki ulinzi.
 
Kama jeshi la polisi pamoja na intelejensia yake licha ya kuwa na silaha za kivita na mbinu za mapambano, lakini bado linapata changamoto kubwa katika kukabiliana na tatizo la ujambazi, basi IGP mpya ateuliwe toka Jeshi la Wananchi ili kutoa msaada wa kimkakati unao stahili kufanyika.
 
Kama jeshi la polisi pamoja na intelejensia yake licha ya kuwa na silaha za kivita na mbinu za mapambano, lakini bado linapata changamoto kubwa katika kukabiliana na tatizo la ujambazi, basi IGP mpya ateuliwe toka Jeshi la Wananchi ili kutoa msaada wa kimkakati unao stahili kufanyika.
Mkuu wa wilaya za ilala , temeke na kinondoni WATEULIWE kutoka JWTZ. Na wakati huo huo, wilaya za kipolisi za ilala, temeke na kinondoni zifutwe.pia ufungaji wa CCTV camera jiji la Dsm uzingatiwe.
 
Mi huwa nawashangaa sana, mtu ukitaka kumiliki silaha unapewa masharti na kuzungushwa mpaka unakata tamaa, yaani it almost impossible.

Alafu wanataka tujilinde dhidi ya Majambazi ambao wanavamia na silaha na sisi tuna visu tu, basi waorganize free training za uninja.
 
Kipindi cha Magufuli mbona hatukuwa tunalinda na maisha yalikuwa powa?
 
Acheni mihemko kama hii. IGP huyu amejitahidi sana nadhani kuliko wote waliowahi kuwepo hapo nyuma.

Mwanajeshi umpeleke afanye kazi ya upolisi? Hujui hizi ni taaluma?
Kama jeshi la polisi pamoja na intelejensia yake licha ya kuwa na silaha za kivita na mbinu za mapambano, lakini bado linapata changamoto kubwa katika kukabiliana na tatizo la ujambazi, basi IGP mpya ateuliwe toka Jeshi la Wananchi ili kutoa msaada wa kimkakati unao stahili kufanyika.
 
Back
Top Bottom