Its Pancho
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 15,966
- 26,404
Umeandika ukiwa umekalia kitu kigumu chenye ncha butuTuliposema simba pananuka umaskini muwe mnaelewa.
Yule striker hatari kutoka vipers fc Cesar manzoki ambaye simba walikuwa wanamfukuzia ameamua kuwapiga chini na kurudi uganda ..
Taarifa zinadai alikuja mpaka bongo ila viongozi wa simba wakampa hela ya mboga ambayo ni sawa na dharau kwa mchezaji huyo,
Akawatupia karatasi usoni huyo akaamsha zake..
Je ukubwa wa simba wanaojinasibu uko wapi ikiwa wanashindwa kuchukua mchezaji hata hapo Uganda??
Nahitimisha yanga kuchukue ubingwa tena
Kuendelea kuishi kwa dadako kunafubaza ubongo wako wewe umeshindwa hata kupanga kachumba kamoja ujitegemee unazungumzia umaskini wa Simba. Ngoja siku shemeji yako akugeuzie kibao ndiyo utatia akiliTuliposema simba pananuka umaskini muwe mnaelewa.
Yule striker hatari kutoka vipers fc Cesar manzoki ambaye simba walikuwa wanamfukuzia ameamua kuwapiga chini na kurudi uganda ..
Taarifa zinadai alikuja mpaka bongo ila viongozi wa simba wakampa hela ya mboga ambayo ni sawa na dharau kwa mchezaji huyo,
Akawatupia karatasi usoni huyo akaamsha zake..
Je ukubwa wa simba wanaojinasibu uko wapi ikiwa wanashindwa kuchukua mchezaji hata hapo Uganda??
Nahitimisha yanga kuchukue ubingwa tena
Akili chakavu kama jengo lenu
ππππAkili chakavu kama jengo lenu
Umbea na ujinga ni sifa ya kwanza ya kuwa mwanautopoloNa yule andunje wa kujiita sakho naye za chini chini huyooo kasepa zake