Earthmover
JF-Expert Member
- Sep 28, 2012
- 24,977
- 23,799
Kimeeeenda.....
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Safi sana...tukiunganisha nguvu huyu mzanzibari pamoja na walamba asali wake na lichama chakavu wanapumzishwa
Nguvu zifuatazo zikiunganishwa hakuna cha kutushinda:
Wamasai in particular jumlisha kanda ya kaskazini yote jumlisha wasukuma in particular jumlisha kanda ya ziwa yote jumlisha Mbeya (kwa akina wakili Mwakabusi) jumlisha watanganyika wazalendo wote jumlisha nakadhalika nakadhalika.
Enzi Za JK Kilitaka Kumfia Akambana Mno Ikawa Chupu ChupuKife kabisa.
Tena kimfie huyu chotara wa kike aliyekosa uchungu kwa rasilimali za Tanganyika, ili akumbukwe kwenye historia daima kuwa chama chakavu kiliangushwa na wananchi katika utawala wake.
Ujumbe upi huo mkuuHii trend iendelezwe Watanzania wote kwa maelfu waikatae CCM.
Leo nimeusoma ujumbe wa Balozi wa Marekani inawatia wananchi faraja sana.
Ingia Swahili Villa utauona.Ujumbe upi huo mkuu
Umetumia kipimo gani?Acheni uzushi, CCM sasaivi iko strong kuliko wakati wowote ule
Numbers hazidanganyi, ccm imeongeza wanachama wengi mno tokea Samia aingie. Hizo kadi zinazorudishwa ni maigizo ya wanachademaUmetumia kipimo gani?
Kwahiyo alimtumbua mtu kwa maigizo ya Chadema?Numbers hazidanganyi, ccm imeongeza wanachama wengi mno tokea Samia aingie. Hizo kadi zinazorudishwa ni maigizo ya wanachadema
Leo Wagonjwa Hakuna Paka Amechukua Hatam
katika makundi yote uliyoyataja hapo, la kijinga zaidi ni Mapolisi, maana maisha yao tunayajua jinsi yalivyo ya dhiki. wanatumika kijinga sana!!!!CCM bila polisi, tume ya uchaguzi na wasimamizi wa chaguzi ni wepesi mno.
watie kiberitiKama kadi zimeshimdwa komboa maisha Yao wazirejeshe tu kwa wenyewe
Mali ya chama unawarejeshea tuwatie kiberiti
JESUS IS LORD
Kumiliki kadi ya CCM ni kijipa mikosi ya kudumu katika maisha, na hata milele Amina.