Wimbi la vijana kuwa changamoto ya afya ya akili

Wimbi la vijana kuwa changamoto ya afya ya akili

Ugumu wa MAISHA.... Tazama Machizi wengi Dar ni Wanaume.
1.Kila siku wanapokea matatizo ya Familia, wayatatue na pesa hawana Mwishoe wanaanza kuongea Barabarani( Uchizi)
2. Lawama za Familia, wanawake walio Wengi wanalalamika wanataka kuhudumiwa, na mwanaume pesa Hana lazima Ata Data Tu.
3.Mfumo wa kimaisha hauna usawa kwa Mwanaume Kila Kitu kipo kwa mwanume kukipambania, sasa usipokua makini na kukubaliana na Muundo wa Maisha ndo unapomkuta mtu Fail zimepandana anakua Chizi ameshindwa kuhimili anayoletewa.
4.Kingine hata kama unaumwa hoi kumbuka Familia, haitambui kuumwa kwako wao wanataka mahitaji yao tu, hilo swala la kuumwa utalijua wewe,
Ukifika asubuhi mke anataka Pesa ya Matumizi lazima Ufe mapema.
5.Mwanaume Hana pakupunguzia mawazo, ndomana vichwa vinapata shida ya Uchizi.
 
Ugumu wa MAISHA.... Tazama Machizi wengi Dar ni Wanaume.
1.Kila siku wanapokea matatizo ya Familia, wayatatue na pesa hawana Mwishoe wanaanza kuongea Barabarani( Uchizi)
2. Lawama za Familia, wanawake walio Wengi wanalalamika wanataka kuhudumiwa, na mwanaume pesa Hana lazima Ata Data Tu.
3.Mfumo wa kimaisha hauna usawa kwa Mwanaume Kila Kitu kipo kwa mwanume kukipambania, sasa usipokua makini na kukubaliana na Muundo wa Maisha ndo unapomkuta mtu Fail zimepandana anakua Chizi ameshindwa kuhimili anayoletewa.
4.Kingine hata kama unaumwa hoi kumbuka Familia, haitambui kuumwa kwako wao wanataka mahitaji yao tu, hilo swala la kuumwa utalijua wewe,
Ukifika asubuhi mke anataka Pesa ya Matumizi lazima Ufe mapema.
5.Mwanaume Hana pakupunguzia mawazo, ndomana vichwa vinapata shida ya

Ugumu wa MAISHA.... Tazama Machizi wengi Dar ni Wanaume.
1.Kila siku wanapokea matatizo ya Familia, wayatatue na pesa hawana Mwishoe wanaanza kuongea Barabarani( Uchizi)
2. Lawama za Familia, wanawake walio Wengi wanalalamika wanataka kuhudumiwa, na mwanaume pesa Hana lazima Ata Data Tu.
3.Mfumo wa kimaisha hauna usawa kwa Mwanaume Kila Kitu kipo kwa mwanume kukipambania, sasa usipokua makini na kukubaliana na Muundo wa Maisha ndo unapomkuta mtu Fail zimepandana anakua Chizi ameshindwa kuhimili anayoletewa.
4.Kingine hata kama unaumwa hoi kumbuka Familia, haitambui kuumwa kwako wao wanataka mahitaji yao tu, hilo swala la kuumwa utalijua wewe,
Ukifika asubuhi mke anataka Pesa ya Matumizi lazima Ufe mapema.
5.Mwanaume Hana pakupunguzia mawazo, ndomana vichwa vinapata shida ya Uchizi.
Hapo lazima Dish liyumbe tuu
 
Habari za Jioni naona wimbi la vijana miaka 35- ndio wengi wanakuwa Vichaa au Changamoto ya Afya Akili Shida hasa ni nini
Afya ya akili ni pamoja na kufikiri, kuwaza, kuamua, kusema na kutenda mambo ambayo yanakuathiri wewe mwenyewe...

mathalani,
hii chai unaona kabisa ni ya moto but unaifakamia hivyo hivyo na moto wake. Anaeumia na kuathirika ni nani?

Mtu timamu anawaza na kuasses faida na hasara za matokeo ya maamuzi ya fikra zake kwa haraka sana na kuopt mambo yenye faida na kuepuka hasara.


Ni muhimu zaidi kua makini na kutunza afya zetu 🐒
 
Habari za Jioni naona wimbi la vijana miaka 35- ndio wengi wanakuwa Vichaa au Changamoto ya Afya Akili Shida hasa ni nini
Social media zimechangia pakubwa.!
Kuna baadhi Wana ujasiri wa kupost na kujipiga picha mostly doctored (edited) wakijionesha wamebeba mabulungutu ya hela, wako mbel6ya ma Mansions na ma super car, Sasa Kwa wenzangu na mie tunaopambania ajira rasmi ili kuokoa familia na ukoo tunapata frustrations kwamba timefeli maisha na wenzetu wametoboa na "wanawaringishia hadi wazazi wetu waliojinyima na kutulipia ada kwamba wao wametusua na Sisi bado tuko HOHEHAHE" Sasa hayo masimango,LAZIMA Msongo wa mawazo utembee na wewe, ili kupoteza mawazo unageukia ulevi wa pombe kali kupitiliza, uraibu wa kamali kwa ndoto za kutusua OVERNIGHT, Na tabia ZOTE za hovyo,AKL THESE COMBINED, Hauwezi kubaki salama.
SOMETHING NEED TO BE DONE.
 
Social media zimechangia pakubwa.!
Kuna baadhi Wana ujasiri wa kupost na kujipiga picha mostly doctored (edited) wakijionesha wamebeba mabulungutu ya hela, wako mbel6ya ma Mansions na ma super car, Sasa Kwa wenzangu na mie tunaopambania ajira rasmi ili kuokoa familia na ukoo tunapata frustrations kwamba timefeli maisha na wenzetu wametoboa na "wanawaringishia hadi wazazi wetu waliojinyima na kutulipia ada kwamba wao wametusua na Sisi bado tuko HOHEHAHE" Sasa hayo masimango,LAZIMA Msongo wa mawazo utembee na wewe, ili kupoteza mawazo unageukia ulevi wa pombe kali kupitiliza, uraibu wa kamali kwa ndoto za kutusua OVERNIGHT, Na tabia ZOTE za hovyo,AKL THESE COMBINED, Hauwezi kubaki salama.
SOMETHING NEED TO BE DONE.
Sasa kama yule jamaa anasema anampa Mke 5 Million kila week duuh
 
Back
Top Bottom