Wimbi la vijana kuwa changamoto ya afya ya akili

Wimbi la vijana kuwa changamoto ya afya ya akili

Weka picha tukuone

ac02a8241f08b0dfe3e348756a34a021.jpg
 
Expectations vs reality 😪 na hizi social media mmnhh! Ndio zinazidi kukoleza uwendawazimu
 
Visungura/ double kiki
Ugoro
Banging
Kamali
Gongo
Fegi
Hivi vyote kwenye akili moja lazima udare
 
Sijajua mpaka sasa kama kuna members wapo humu JF na wazazi wao hasa mama zao. Unakuta watu wamepishana hoja basi anatukanwa mama yake mtu. Unawaza huyu mama yake yupo humu?

Why mgombane ninyi then umtukane mama yake mgomvi wako? Tatizo la afya ya akili. Yaani kuna watu wana msongo wa mawazo mpaka wanachukia mama zao na kuwachukia mama wa wenzao kwa kuwazaa wao. Unashangaa why hali hii? Ni mateso ya kiakili wanayokuwa nayo yanayowapelekea kuwa na msongo wa mawazo na chuki kwa wazazi wa wenzao.
 
Ndiyo maana mara kadhaa mimi hufungua nyuzi zenye kufariji na kufurahisha kiasi cha kufanye wote walio na msongo kusahau shida zao, kurusha mikono juu na kubanjuka.
 
Sijajua mpaka sasa kama kuna members wapo humu JF na wazazi wao hasa mama zao. Unakuta watu wamepishana hoja basi anatukanwa mama yake mtu. Unawaza huyu mama yake yupo humu?

Why mgombane ninyi then umtukane mama yake mgomvi wako? Tatizo la afya ya akili. Yaani kuna watu wana msongo wa mawazo mpaka wanachukia mama zao na kuwachukia mama wa wenzao kwa kuwazaa wao. Unashangaa why hali hii? Ni mateso ya kiakili wanayokuwa nayo yanayowapelekea kuwa na msongo wa mawazo na chuki kwa wazazi wa wenzao.
Unaweza leta uzi alafu mtu akaanza kukushambulia na matusi mengi bila hata sababu ya msingi
Ukweli ni kwamba watanzania wengi hawana furaha
 
Hata umasikini pia unachangia mkuu, ukiwa Huna Hela hasira na matusi huwa ni nje nje 🥴🥴🥴🥴🥴🥴
 
Binafsi nakubali kuna tatizo kubwa la afya ya akili nchini, Ila kitendo cha kuchukulia maoni ya JF serious naona pia ni kama dalili za matatizo ya afya ya akili.
Mtu anaibuka tu na kuanza kukuporomeshea matusi wewe na wazazi wako kana kwamba anakuja lazima umshangae haina uhusiano na kuwa au kutokua serious
 
Unaweza leta uzi alafu mtu akaanza kukushambulia na matusi mengi bila hata sababu ya msingi
Ukweli ni kwamba watanzania wengi hawana furaha
Ni kweli. Wana matatizo ,chuki na hasira utashangaa tu mtu anakuwa na hasira na matusi bila sababu. Ndo unagundua afya yake haipo sawa kiakili.
 
Back
Top Bottom