Tresor Mandala
JF-Expert Member
- Aug 20, 2010
- 40,905
- 86,203
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Inaonyesha hivo vitabu vizuri sana vipi kwa watu ambao tupo mikoani tunaweza kuvipata vipi na bei yake inakuwa sh. Ngapi..wiki mbili hizi naona kuna VITABU vya kijajusi vimezinduliwa au vitaingizwa DUKANI,binafsi napenda kusoma vitabu hivi,ila najiuliza watu hawa wanaotoa vitabu hivi wanauelewa mkubwa juu ya hayo mambo?
Huenda ni mutu ya system, pitia nyuzi zake utagundua ana uelewa wa hayo mambo.KITabu kimeandikwa na yericko nyerere?
hihihihihi hohohohoho hahaha hii teheNi matapeli tu hao kama matapeli wengine hasa huyo Nyerere.
hizo softcopy unadownload bure au unalipia?Nani apoteze hela kununua hardcopy saa hii tunadownload tu
Hmm!...Wiki mbili hizi naona kuna VITABU vya kijajusi vimezinduliwa au vitaingizwa DUKANI,binafsi napenda kusoma vitabu hivi,ila najiuliza watu hawa wanaotoa vitabu hivi wanauelewa mkubwa juu ya hayo mambo?
Haha inabidi hao jamaa walio andika hivyo vitabu wangekutafuta uwasaidie kudesign cover ya vitabu vyao ,Mkuu tafuta na hiki.View attachment 325324
Haha inabidi hao jamaa walio andika hivyo vitabu wangekutafuta uwasaidie kudesign cover ya vitabu vyao ,
Hii design yako inavutia ,kingekua kitabu basi ningeshawishika kununua hiki chako
Wiki mbili hizi naona kuna VITABU vya kijajusi vimezinduliwa au vitaingizwa DUKANI,binafsi napenda kusoma vitabu hivi,ila najiuliza watu hawa wanaotoa vitabu hivi wanauelewa mkubwa juu ya hayo mambo?
Hapana mkuu mimi sio balaa, ni mkusanyo wa yale niliyoyafanyia utafiti na yale niliyoyasoma katika vitabu vya wajuvu na machapisho yahusuyo ujasusiHuyo YN ndio balaa kwenye mambo ya Esps.Ha! ha! ha!
Hapana mkuu mimi sio balaa, ni mkusanyo wa yale niliyoyafanyia utafiti na yale niliyoyasoma katika vitabu vya wajuvu na machapisho yahusuyo ujasusi
Nashukuru mkuu, nitafanya hivyoMkubwa,
Naona jina lako Yeriko Nyerere, basi tupatie summary review kidogo kama inavyoonekana ktk cover ya nyuma ya kitabu pamoja na publisher ni nani Mkuki na Nyota etc. Pia mwandishi mwingine Evarist Chahali angefanya hivyo hivyo ili kutambulisha waandishi wa riwaya wa ki-Tanzania.
Hii itakufanya utambulike nje ya mipaka ya Tanzania na huwezi jua Amazon na wengine wakajiunga kukupigia debe au hata kutafsiri tungo zako kwa lugha zingine za kimataifa.