Wimbi la vitabu vya kijasusi

Wimbi la vitabu vya kijasusi

Tresor Mandala

JF-Expert Member
Joined
Aug 20, 2010
Posts
40,905
Reaction score
86,203
Wiki mbili hizi naona kuna VITABU vya kijajusi vimezinduliwa au vitaingizwa DUKANI,binafsi napenda kusoma vitabu hivi,ila najiuliza watu hawa wanaotoa vitabu hivi wanauelewa mkubwa juu ya hayo mambo?
 

Attachments

  • jasusi 1.jpg
    jasusi 1.jpg
    62.7 KB · Views: 540
  • jasusi 2.jpg
    jasusi 2.jpg
    24.7 KB · Views: 512
..wiki mbili hizi naona kuna VITABU vya kijajusi vimezinduliwa au vitaingizwa DUKANI,binafsi napenda kusoma vitabu hivi,ila najiuliza watu hawa wanaotoa vitabu hivi wanauelewa mkubwa juu ya hayo mambo?
Inaonyesha hivo vitabu vizuri sana vipi kwa watu ambao tupo mikoani tunaweza kuvipata vipi na bei yake inakuwa sh. Ngapi
 
Wiki mbili hizi naona kuna VITABU vya kijajusi vimezinduliwa au vitaingizwa DUKANI,binafsi napenda kusoma vitabu hivi,ila najiuliza watu hawa wanaotoa vitabu hivi wanauelewa mkubwa juu ya hayo mambo?
Hmm!...
 
Haha inabidi hao jamaa walio andika hivyo vitabu wangekutafuta uwasaidie kudesign cover ya vitabu vyao ,
Hii design yako inavutia ,kingekua kitabu basi ningeshawishika kununua hiki chako

😀😀😀😀😀😀😀😉
 
Hapana mkuu mimi sio balaa, ni mkusanyo wa yale niliyoyafanyia utafiti na yale niliyoyasoma katika vitabu vya wajuvu na machapisho yahusuyo ujasusi

Mkubwa,
Naona jina lako Yeriko Nyerere, basi tupatie summary review kidogo kama inavyoonekana ktk cover ya nyuma ya kitabu pamoja na publisher ni nani Mkuki na Nyota etc. Pia mwandishi mwingine Evarist Chahali angefanya hivyo hivyo ili kutambulisha waandishi wa riwaya wa ki-Tanzania.

Hii itakufanya utambulike nje ya mipaka ya Tanzania na huwezi jua Amazon na wengine wakajiunga kukupigia debe au hata kutafsiri tungo zako kwa lugha zingine za kimataifa.
 
Mkubwa,
Naona jina lako Yeriko Nyerere, basi tupatie summary review kidogo kama inavyoonekana ktk cover ya nyuma ya kitabu pamoja na publisher ni nani Mkuki na Nyota etc. Pia mwandishi mwingine Evarist Chahali angefanya hivyo hivyo ili kutambulisha waandishi wa riwaya wa ki-Tanzania.

Hii itakufanya utambulike nje ya mipaka ya Tanzania na huwezi jua Amazon na wengine wakajiunga kukupigia debe au hata kutafsiri tungo zako kwa lugha zingine za kimataifa.
Nashukuru mkuu, nitafanya hivyo
 
Back
Top Bottom