Wimbi la vitabu vya kijasusi

Wimbi la vitabu vya kijasusi

Evarist Chahari ni afisa usalama wa taifa wa muda mrefu japokuwa kwa sasa anafanya shughuli zake nchini Scotland,kwahiyo ni mtu mwenye uelewa mkubwa katika fani hiyo. Uandishi wa kile unachokijua ni tofauti na mwandishi anayeandika kwa kufanya research ambapo anaweza kujikuta yuko bias kwa suala moja au jingine
 
Nashukuru mkuu, nitafanya hivyo
Fanya haraka JamiiForums ni mtandao wa jamii-tajika kiulimwengu na ni ''stepping stone'' ya wadau kutanua fursa zao ikiwemo waandishi wa riwaya, makampuni, wajasiriamali (kuuza parachichi /matunda nje na ndani) n.k
 
Najiuliza kwamba hivi vitabu vitaeleza kila kitu kama vilivyo au ndo zile hints
 
Hapana mkuu mimi sio balaa, ni mkusanyo wa yale niliyoyafanyia utafiti na yale niliyoyasoma katika vitabu vya wajuvu na machapisho yahusuyo ujasusi
Hongera Mkuu kwa kuandika kitabu, sijajua ndani kina nini but i tell one thing
Wazungu wanasema "Dont judge the book by its Cover" but my friend it does.. cover linabeba ubora wa kitabu kwa asilimia nyingi...

kwa nini nimekwambia hivyo.
cover la kitabu chako haliendani
kabisa na context ya kitabu (ukitazama title) vitabu vya kiintelijensia kuna namna cover zake zinakua.. mf. angalia macover ya hao watu wawili hapo ( kwenye hii thread)

Mapungufu ya cover lako:
- Lina rangi nyingi sana
- Urembo urembo umezidi (Intelijensia na urembo wapi na wapi)
- Picha nazo ni nyingi, mpaka na ramani umeweka
-Liko wazi sana, kila kitu kwenye cover kinaonekana wazi (Sijui nielezee vipi hili). Mambo ya Kiintelijensia huwa hayanaga uwazi (yamejificha ficha) so hata cover lako linapaswa liwe lina reflect hvyo.. ona la hao jamaa hapo picha zao ni za vivuli vivuli, watu hawaonekani moja kwa moja.

kwa kuliangalia cover lako na hilo jingine hapo watu watanunua hicho kitabu kingine

ni hayo tu mkuu
 
Wiki mbili hizi naona kuna VITABU vya kijajusi vimezinduliwa au vitaingizwa DUKANI,binafsi napenda kusoma vitabu hivi,ila najiuliza watu hawa wanaotoa vitabu hivi wanauelewa mkubwa juu ya hayo mambo?
Kwa hapa nyumbani sifahamu. Ila ukienda nchi zilizoendelea, kama US, baadhi ya filamu na vitabu kuhusu mambo ya kijasusi huandikwa na watu ambao wameshawahi kufanya kazi kwenye mashirika ya kijasusi kama CIA na FBI. Wengi wao huandika vitabu / scripts za movie baada ya kustaafu
 
Huyo Chahali Ni Kweli Anajua Hizo Mambo Mana Alikuwepo Na Yeye Na Sasa Anaongeza Elimu Yake Huko Uskochi, Kuhusu Yericko Nyerere Sijui
 
Ni matapeli tu hao kama matapeli wengine hasa huyo Nyerere.
Huo ni uvivu wa kujifunza. Usiweke visingizio. Ulishawahi kuona kitabu mwandishi malaika??kama mwandishi ni mwanadamu basi hapana shaka wama mapungufu yao (ukiwemo na wewe una mapungufu kibao tu)
 
Nakitafuta sana kitabu kinaitwa Mbio Za Jasusi. Nilikisoma kitambo nikiwa shule ya msingi miaka ya 90...kwa mara ya kwanza nilipata habari za visiwa vya Roben, NISS, CIA, vyuo vya kijasusi Cuba na Yugoslavia..
 
Back
Top Bottom