Fanya haraka JamiiForums ni mtandao wa jamii-tajika kiulimwengu na ni ''stepping stone'' ya wadau kutanua fursa zao ikiwemo waandishi wa riwaya, makampuni, wajasiriamali (kuuza parachichi /matunda nje na ndani) n.kNashukuru mkuu, nitafanya hivyo
Hapana mkuu mimi sio balaa, ni mkusanyo wa yale niliyoyafanyia utafiti na yale niliyoyasoma katika vitabu vya wajuvu na machapisho yahusuyo ujasusi
Nitafanya hivyo soonFanya haraka JamiiForums ni mtandao wa jamii-tajika kiulimwengu na ni ''stepping stone'' ya wadau kutanua fursa zao ikiwemo waandishi wa riwaya, makampuni, wajasiriamali (kuuza parachichi /matunda nje na ndani) n.k
Ntapata vp hivo vitabu maana navijitaji sanaHapana mkuu mimi sio balaa, ni mkusanyo wa yale niliyoyafanyia utafiti na yale niliyoyasoma katika vitabu vya wajuvu na machapisho yahusuyo ujasusi
Hongera Mkuu kwa kuandika kitabu, sijajua ndani kina nini but i tell one thingHapana mkuu mimi sio balaa, ni mkusanyo wa yale niliyoyafanyia utafiti na yale niliyoyasoma katika vitabu vya wajuvu na machapisho yahusuyo ujasusi
Nitakipata wapi hicho kitabuNitafanya hivyo soon
Kwa hapa nyumbani sifahamu. Ila ukienda nchi zilizoendelea, kama US, baadhi ya filamu na vitabu kuhusu mambo ya kijasusi huandikwa na watu ambao wameshawahi kufanya kazi kwenye mashirika ya kijasusi kama CIA na FBI. Wengi wao huandika vitabu / scripts za movie baada ya kustaafuWiki mbili hizi naona kuna VITABU vya kijajusi vimezinduliwa au vitaingizwa DUKANI,binafsi napenda kusoma vitabu hivi,ila najiuliza watu hawa wanaotoa vitabu hivi wanauelewa mkubwa juu ya hayo mambo?
Huenda ni mutu ya system, pitia nyuzi zake utagundua ana uelewa wa hayo mambo.
Huo ni uvivu wa kujifunza. Usiweke visingizio. Ulishawahi kuona kitabu mwandishi malaika??kama mwandishi ni mwanadamu basi hapana shaka wama mapungufu yao (ukiwemo na wewe una mapungufu kibao tu)Ni matapeli tu hao kama matapeli wengine hasa huyo Nyerere.
Ili ufukue makaburi ya kisiasa?Mkuu Yericko Nyerere fungua Profile/Id yako ili mtu aweze kusoma thread na topic zako ulizo anzisha humu Jf
Ili ufukue makaburi ya kisiasa?
hahahaa umeruka mtegoIli ufukue makaburi ya kisiasa?
Wiki mbili hizi naona kuna VITABU vya kijajusi vimezinduliwa au vitaingizwa DUKANI,binafsi napenda kusoma vitabu hivi,ila najiuliza watu hawa wanaotoa vitabu hivi wanauelewa mkubwa juu ya hayo mambo?
Nashukuru mkuu, nitafanya hivyo