Nahitaji vitabu hivi nambie kiasi gan nitakipata vipi? ntk viwili vyote ivo vya juu..... npe taratbu au vema ntumie PM
Wapi naweza kupata hii kutuMkuu tafuta na hiki.View attachment 325324
Ww magwepande panakuhusuHongera Mkuu kwa kuandika kitabu, sijajua ndani kina nini but i tell one thing
Wazungu wanasema "Dont judge the book by its Cover" but my friend it does.. cover linabeba ubora wa kitabu kwa asilimia nyingi...
kwa nini nimekwambia hivyo.
cover la kitabu chako haliendani
kabisa na context ya kitabu (ukitazama title) vitabu vya kiintelijensia kuna namna cover zake zinakua.. mf. angalia macover ya hao watu wawili hapo ( kwenye hii thread)
Mapungufu ya cover lako:
- Lina rangi nyingi sana
- Urembo urembo umezidi (Intelijensia na urembo wapi na wapi)
- Picha nazo ni nyingi, mpaka na ramani umeweka
-Liko wazi sana, kila kitu kwenye cover kinaonekana wazi (Sijui nielezee vipi hili). Mambo ya Kiintelijensia huwa hayanaga uwazi (yamejificha ficha) so hata cover lako linapaswa liwe lina reflect hvyo.. ona la hao jamaa hapo picha zao ni za vivuli vivuli, watu hawaonekani moja kwa moja.
kwa kuliangalia cover lako na hilo jingine hapo watu watanunua hicho kitabu kingine
ni hayo tu mkuu
Kitabu chake kinapata vumbi AmazonNi matapeli tu hao kama matapeli wengine hasa huyo Nyerere.
In case kama umesahau au ulikuwa hujui, Mshindi wa Tuzo 3 za Mwandishi Bora wa Vitabu Barani AFRIKA kwa miaka miwili mfululizo (back to back) Tuzo ya Zambia 2023, Tuzo ya Afrika Kusini 2024 na Tuzo ya Nigeria 2024 ni YERICKO YOHANESY NYERERE kutoka TANZANIA.Kitabu chake kinapata vumbi Amazon
Best Sellers Rank 5928993
Kwa maoni yangu ni vizuri kuwa na mtazamo chanya na mawasilisho haya na ikiwa mtu ana mapenzi na maadiko kama hayo bila shaka atajifunza jambo hata kama aliyeandika ni darasa la saba au mwalimu wa chuo kikuu. Mtu anayeandika ni kwamba ameamua kuuweka ujinga wake wazi ili watu wengine waweze kuusoma na kupitia maoni ya namna zote (Chanya na hasi) yumkini atajifunza na kuongeza maarifa yake. Binafsi napongeza jitihada za watu kuwa waandishi wa vitabu kwani si kazi rahisi, inahitaji kujitoa hasa.Wiki mbili hizi naona kuna VITABU vya kijajusi vimezinduliwa au vitaingizwa DUKANI,binafsi napenda kusoma vitabu hivi,ila najiuliza watu hawa wanaotoa vitabu hivi wanauelewa mkubwa juu ya hayo mambo?
Hongera Yericko, wengi wetu tutabeza jitihada na mafanikio yako kwa sababu ya wivu, chuki na kutopenda vya kwetu. You're showing the way, keep goingIn case kama umesahau au ulikuwa hujui, Mshindi wa Tuzo 3 za Mwandishi Bora wa Vitabu Barani AFRIKA kwa miaka miwili mfululizo (back to back) Tuzo ya Zambia 2023, Tuzo ya Afrika Kusini 2024 na Tuzo ya Nigeria 2024 ni YERICKO YOHANESY NYERERE kutoka TANZANIA.
Sifa na heshima ni za Watanzania!
Idumu Mizimu!
PATA VITABU BORA AFRIKA.
1. Kitabu cha UJASUSI kwa bei halisi ya 80,000/= tu.
Kurasa 776
Marejeo 330
2. Kitabu cha “MOSCOW: Oparesheni Ukraine” kwa bei ya 150,000/= tu
Kurasa 1,400
Sura 1-14,
Marejeo 389
Nunua kwa:
LIPA NAMBA TIGO 7489022
LIPA NAMBA VODA 5352627
TIGOPESA kawaida 0715865544
CRDB BANK AC No 0152241955000 (YERICKO YOHANESY NYERERE).
Kwa Dar ni free delivery
Nje ya Dar nauli 8,000/=
View attachment 3101175
View attachment 3101176
View attachment 3101177
Hongera sana Mtanzania mwenzangu najivunia mafanikio Yako.Nitafanya hivyo soon
Sijawahi kusoma vitabu vyake na wala sijawahi kupinga talent ya mtu au kujaribu kwake ingawa kama kuna mtu msomaji na anatoa pesa yake kununua au bundle lake kuiba kazi ya mtu na anatumia muda wake kusoma basi ana kila haki ya kupinga au ku criticize kazi ya mtu.., sababu haimaanishi kama mtu hajui kuandika basi pia hajui kusoma na ukishajiweka kwamba wewe ni muandishi haupo pale kujaribu bali kutoa kazi nzuri..., kama ikiwa pumba pasi uwe tayari kupokea criticismYerico Nyerere apewe heshima yake,amejaribu na ameweza.
Hata mbuyu ulianza kama mchicha.
Huyu ni tunu ya Taifa.
Mnaompinga na kumdharau leteni vitabu vyenu tuvisome.