syllae
JF-Expert Member
- May 29, 2015
- 1,793
- 1,919
Ha ha ha ,ivi novida bado IPO??Sijawahi tumia mkuu
Mirinda nyeusi au novida nitafurahi sana
Sawa ukitoka ofisin tu sema nikalipe popot utakapoenda kunywa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ha ha ha ,ivi novida bado IPO??Sijawahi tumia mkuu
Mirinda nyeusi au novida nitafurahi sana
Hahahahahahah zipo mkuuHa ha ha ,ivi novida bado IPO??
Sawa ukitoka ofisin tu sema nikalipe popot utakapoenda kunywa
Nasubir iyo bili ila isizidi sh 1000/= (pesa halali kwa malipo ya Tanzania)Hahahahahahah zipo mkuu
Sawa nitakwambia
Leo ni Jumapili.!!!!!
Usijali mkuu novida take away ni buku tu na inanitosha.Nasubir iyo bili ila isizidi sh 1000/= (pesa halali kwa malipo ya Tanzania)
Binadamu hampendi kuambiwa ukweli endeleeni basi kushikishana ukuta na mtaingia mbinguni msijaliNasubiri kuona vifungu vya biblia vya Sodoma na Gommorah; vipi, mbona kimya sana?? ! Wako wapi wale walokole uchwara?
Mchungaji Harris kapiga unategemea nini?Nasubiri kuona vifungu vya biblia vya Sodoma na Gommorah; vipi, mbona kimya sana?? ! Wako wapi wale walokole uchwara?
Hivyo vyote vipo kwenye historia sio jambo jipya.Hizi ni dalili za nyakati za mwisho.
1. Manabii na mitume wa uongo
2. Vita
3. Sodoma na gomora
4. Magonjwa
5. Njaa
Kaeni mguu pande
Nasubiri kuona vifungu vya biblia vya Sodoma na Gommorah; vipi, mbona kimya sana?? ! Wako wapi wale walokole uchwara?
Fahamu zilivorudi?kwani mlikua mmezimia ama??Kama mimi kuna mmoja alivyokolea akawa ananiambia "utanifila et eeeh" halafu mtu mwenyewe mlokole wa kushinda kanisani jamani.
Fahamu zilivyorudi nikamuuliza" unafirana? Akakataaa kishenzi nikaona isiwe shida mimi nikaendelea zangu kumchimba kama ilivyoelekezwa na Mungu.
Kila laheri mwamba..kondom muhim lakinaisee, subiri nizichange nije daslam
[emoji13][emoji13]Ni kama button flan hivii..
naonaga hizo interest zake huyo jamaa
Hhaha bila shaka...naonaga hizo interest zake huyo jamaa
Una maana kwamba baadhi ya jinsia ya kike ikitamkiwa ahadi ya ndoa tuu wanatoa hadi kitufe??
Afadhali ww umeelewa😂