Wimbi la wadada kwenda ughaibuni biashara ya ngono laibuka tena

Wimbi la wadada kwenda ughaibuni biashara ya ngono laibuka tena

BONGOLALA

JF-Expert Member
Joined
Sep 14, 2009
Posts
16,508
Reaction score
11,897
Siku za hivi karibuni kumekuwepo na wimbi kubwa la Mabinti kuomba pass katika ofisi za uhamiaji Dar es salaam.

Ukweli ni ule mtandao wa kuwauza mabinti ughaibuni kwa kisingizio cha kwenda kufanya kazi za ndani Uarabuni, Ulaya na India bila kufuata taratibu umerejea tena baada ya serikali kupiga marufuku miaka kadhaa iliyopita.
 
Siku za hivi karibuni kumekuwepo na wimbi kubwa la vi binti kuomba pass katika ofisi za uhamiaji dsm.
Ukweli ni ule mtandao wa kuwauza mabinti ughaibuni kwa kisingizio cha kwenda kufanya kazi za ndani uarabuni ulaya na india bila kufuata taratibu , umerejea tena baada ya serikali kupiga marufuku miaka kadhaai iliyo
Hatari kubwa

Sent from my SM-T355Y using Tapatalk
 
Hii yaweza kuwa dalili ya uchumi mbovu and poor functioning of the government and society.
 
Ndio maana Uhamiaji huwa wagumu kutoa passport kwa watu ambao safari zao hazieleweki
Ujinga mtupu kazi za uhamiaji sio kumuuliza mtu anaenda nchi Fulani kufanya Nini.Hiyo Ni kazi ya ubalozi wa nchi husika inayotoa visa.

Uhamiaji wamejipachika kazi isiyokuwa ya kwao.Wao kazi yao kutoa passport hayo ya kumhoji mtu unaenda Marekani mfano kufanya Nini hiyo aachiwe balozi wa Marekani mtoa Visa
 
Ujinga mtupu kazi za uhamiaji sio kumuuliza mtu anaenda nchi Fulani kufanya Nini.Hiyo Ni kazi ya ubalozi wa nchi husika inayotoa visa.Uhamiaji wamejipachika kazi isiyokuwa ya kwao.Wao kazi yao kutoa passport hayo ya kumhoji mtu unaenda Marekani mfano kufanya Nini hiyo aachiwe balozi wa Marekani mtoa Visa
Ila akienda huko bila kufuata taratibu serikali ndio inaingia gharama kuwarudisha.
 
Ujinga mtupu kazi za uhamiaji sio kumuuliza mtu anaenda nchi Fulani kufanya Nini.Hiyo Ni kazi ya ubalozi wa nchi husika inayotoa visa.Uhamiaji wamejipachika kazi isiyokuwa ya kwao.Wao kazi yao kutoa passport hayo ya kumhoji mtu unaenda Marekani mfano kufanya Nini hiyo aachiwe balozi wa Marekani mtoa Visa
Ni wajinga hamna taasisi naichukia nchi hii kama uhamiaji, unajua huyu ni mtanzania badala ya kumpa passport eti unauliza unaenda kufanya nini?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Siku za hivi karibuni kumekuwepo na wimbi kubwa la Mabinti kuomba pass katika ofisi za uhamiaji Dar es salaam.

Ukweli ni ule mtandao wa kuwauza mabinti ughaibuni kwa kisingizio cha kwenda kufanya kazi za ndani Uarabuni, Ulaya na India bila kufuata taratibu umerejea tena baada ya serikali kupiga marufuku miaka kadhaa iliyopita.

Wewe pambana na hali yako. Wacha kila mtu apambane na Maisha yake. Yeye kwenda ughaibuni inakuhsu nini? Kama mtoa visa ameridhika wewe ni nani uhoji safari za watu? UHAMIAJI jukumu lao ni kutoa passport. Ni wajibu wao si hisani kwa waTanzania.
 
Ila akienda huko bila kufuata taratibu serikali ndio inaingia gharama kuwarudisha.
Sio kweli ingekuwa inawarudisha bure isingwewadai warudishiwe hela na faini juu na kuwapeleka jela wakishindwa kulipa
 
Siku za hivi karibuni kumekuwepo na wimbi kubwa la Mabinti kuomba pass katika ofisi za uhamiaji Dar es salaam.

Ukweli ni ule mtandao wa kuwauza mabinti ughaibuni kwa kisingizio cha kwenda kufanya kazi za ndani Uarabuni, Ulaya na India bila kufuata taratibu umerejea tena baada ya serikali kupiga marufuku miaka kadhaa iliyopita.
Wakitoka Karatu kuja Dar kwa shughuli hiyo hiyo ni sawa eeh?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom