Wimbi la Wafanyabiashara kufunga maduka yao kwa sababu ya kutofautiana na Serikali lashika kasi

Wimbi la Wafanyabiashara kufunga maduka yao kwa sababu ya kutofautiana na Serikali lashika kasi

Tanzania ni yetu sote na wewe , denooJ, ukiwemo( vinginevyo useme kabisa hapa kuwa wewe si mtanzania). Kwa hiyo, changamoto zinazomkabili mtanzania wa Songea, Mafinga ,Tanga, Sirali na hata Chakechake tunapaswa kuzitafutia ufumbuzi kwa kila mtanzania kwa nafasi aliyonayo.

Ufumbuzi unaweza kuwa wa kutoa mawazo chanya ama mali ama nguvu kazi kutatua changamoto hiyo. Huo ndiyo muhimili wa roho ya utaifa unaotuleta pamoja kama watanzania. Wasiotutakia mema wako nashughuli nyingi kwa nia ovu ya kuvunja muhimili wetu huu wa utaifa! (Sijasema wewe ni mmojawao).

Kitendo cha baadhi ya watu tena bila aibu kutoka hadharani hasa mitandaoni kushangilia changamoto zinazowakabili wenzetu badala ya kutafuta ufumbuzi, kukebehi juhudi za wanaojaribu kutatua changamoto hizo badala ya kuungana nao kuleta mawazo chanya kupata ufumbuzi nakadhalika nakadhalika, ni kitendo cha ovyo kufanywa na watu tena wanaojinasibu wana akili kubwa!

Nawasihii watanzania wenzangu tuwe na roho ya utaifa na tuionyeshe kwa kuungana pamoja kwa amani na upendo kukabiliana na changamoto zinazotukabili kwa mtanzania mmoja mmoja, kundi ama taifa.

Asanteni kwa kusoma bandiko langu hili.

Hakuna umoja wa kitaifa na majizi ya kura. Anayesababisha haya ni jiwe na approach zake mbovu katika uchumi.
 
Basi mambo kama haya, ukinzani yanavyoyashikilia bango ni hatari!
Hawaandiki mazuri wala yaliowasaidia kimaisha sababu ya Ilani ya CCM!
Wao kuandika mabaya tu kama siyo raia wa TZ!
 
Viongozi wengi wa awamu hii hawana uelewa wowote juu ya leadership, wanategemea zaidi nguvu.

Nyati, pamoja na nguvu zote, huliwa na simba ambaye ukubwa wake haufikii hata theluthi moja ya ukubwa wa nyati.

Nchi hii haiwezi kutika popote kwa kutegemea zaidi viongozi wanaotumia zaidi nguvu kuliko akili na weledi.
 
Siku hizi ukitaka kupata fremu ya kufanyia biashara hapa kariakoo hauna haja ya kumtafuta dalali tena maana mafremu yamejaa kibao.
Hahah Sio Mtaa wa Kongo wala mitaa iliyochangamka labda kule Bondeni kwa Zungu.

Kilemba kinachezea 20M-45 M
 
Viongozi wengi wa awamu hii hawana uelewa wowote juu ya leadership, wanategemea zaidi nguvu.

Nyati, pamoja na nguvu zote, huliwa na simba ambaye ukubwa wake haufikii hata theluthi moja ya ukubwa wa nyati.

Nchi hii haiwezi kutika popote kwa kutegemea zaidi viongozi wanaotumia zaidi nguvu kuliko akili na weledi.
Mmmmmmhmn ndugu..... Yaani unasema simba hamfikii nyati hata kwa theluthi?!
 
Tanzania ni yetu sote na wewe , denooJ, ukiwemo( vinginevyo useme kabisa hapa kuwa wewe si mtanzania). Kwa hiyo, changamoto zinazomkabili mtanzania wa Songea, Mafinga ,Tanga, Sirali na hata Chakechake tunapaswa kuzitafutia ufumbuzi kwa kila mtanzania kwa nafasi aliyonayo.

Ufumbuzi unaweza kuwa wa kutoa mawazo chanya ama mali ama nguvu kazi kutatua changamoto hiyo. Huo ndiyo muhimili wa roho ya utaifa unaotuleta pamoja kama watanzania. Wasiotutakia mema wako nashughuli nyingi kwa nia ovu ya kuvunja muhimili wetu huu wa utaifa! (Sijasema wewe ni mmojawao).

Kitendo cha baadhi ya watu tena bila aibu kutoka hadharani hasa mitandaoni kushangilia changamoto zinazowakabili wenzetu badala ya kutafuta ufumbuzi, kukebehi juhudi za wanaojaribu kutatua changamoto hizo badala ya kuungana nao kuleta mawazo chanya kupata ufumbuzi nakadhalika nakadhalika, ni kitendo cha ovyo kufanywa na watu tena wanaojinasibu wana akili kubwa!

Nawasihii watanzania wenzangu tuwe na roho ya utaifa na tuionyeshe kwa kuungana pamoja kwa amani na upendo kukabiliana na changamoto zinazotukabili kwa mtanzania mmoja mmoja, kundi ama taifa.

Asanteni kwa kusoma bandiko langu hili.
Kama mnadhani mna akili kushinda aliyewaumba maoni yetu mtayapokea ?
 
Basi mambo kama haya, ukinzani yanavyoyashikilia bango ni hatari!
Hawaandiki mazuri wala yaliowasaidia kimaisha sababu ya Ilani ya CCM!
Wao kuandika mabaya tu kama siyo raia wa TZ!
Mazuri ndio haya ya kuvunja halmashauri ya Jiji la DSM ?
 
Watu kusema ukweli wa machungu wanayokutana nayo kwenye biashara zao unaita "mbinu" panueni bongo zenu mjue namna ya kumkwamua mtanzania toka kwenye hali ngumu aliyonayo, acheni utani, kama hilo limewashinda ondokeni ikulu.
Uchumi usimame hamuoni fly ova na mibarabara ya nguvu

NDUKIIIIIIIII

ova
 
Back
Top Bottom