Wimbi la wahudumu wa baa kuhudumia huku wamebeba watoto mgongoni limekithiri. Watoto vichanga wanaathiriwa ma muziki mzito

Wimbi la wahudumu wa baa kuhudumia huku wamebeba watoto mgongoni limekithiri. Watoto vichanga wanaathiriwa ma muziki mzito

Muuza Kangala

JF-Expert Member
Joined
Jul 21, 2021
Posts
1,242
Reaction score
4,813
Kila mara nikimaliza kuuza kangala na kupiga soga na walimu ambao ni wateja wangu. Ambao nao wanakasumba ya kubugia kangala huku wanapapasa matablet waliogawiwa na rais Samia huwa naenda baa kupiga lager mbili tatu.

Cha ajabu huwa nakuta wahudumu wakiwa baa na watoto mgongoni huku mziki mnene ukitwangwa.

Watoto wanaumia bado wachanga.
 
Back
Top Bottom