Ile video ni ya ug, binti umbo analo tatizo mikatiko aliijulia wapiKuna clip moja nmeiona mwanafunzi wa kike under 18
Anakatika,anatingisha kalio linatikisika,show shuleni
Wapo walimu,wanafunzi hapo
Sasa kwa style hyo miuno yake kwann wasimmleeee
Ova
Kazi iendelee....Nimeona rais Samia akiwa huko ziarani akieleza ni namna gani ameshangazwa na kukuta wamama wazazi (watoto) wodini.
"Nilipokwenda kwenye wodi ya kinamama, na hasa watoto ambao hawajatimia,nimekuta mmoja tu ndio mpevu...lakini wengine wote ni kutoka miaka 15-19, niombe sana, wapeni nafasi watoto wakue kidogo...waacheni waende shule, wapeni nafasi watoto wakue kidogo kuzaa watoto wenzao"Rais Samia
Ni kweli kwa sasa wimbi hili ni kubwa sana na pia ni mzizi wa uwapo wa single mothers wengi hapo mbeleni. Je, ni nani wakulaumiwa? Mabinti wenyewe, wazazi na walezi, Vijana wa rika tofauti huko mitaani, serikali au jamii kwa ujumla?
Ikumbukwe; miaka kadhaa ya nyuma kipindi cha JPM ilitoka amri ya kuwa binti akujifungua akiwa anasoma itakuwa ndio mwisho wa safari yake kielimu. Jambo hili lilipingwa vikali na wanaharakati.
Miaka ya hivi karibuni katika awamu ya sita ya serikali; raisi alitoa tamko kuwa mabinti wakipata ujauzito na kujifungua ni ruksa kuendelea na masomo.
Vijana na watu wenye jinsia ME aliyeshukiwa au kuhusika kumpa binti mimba akiwa masomoni, moja kwa moja aliwekewa adhabu ya miaka 30 jela.
Je, hawa mabinti wenyewe wanajizuiaje na kuweka juhudi kiasi gani kwa jambo hili, tofauti na kukingiwa kifua na jamii na seeikali juu ya ujauzito kabla ya wakati? Je, wanapotetewa wanateteleka?
Kwa, upande wa jamii na wazazi kwa maoni ya watu tofauti tofauti huko mitandaoni na mitaani, wameamua kunyoosha mikono juu. Wakijisemea " mabinti wenyewe wameshindikana!"
Je, nani alaumiwe sasa? Je, na hao wanaofungwa miaka 30 huko jela nao wajitetee vipi kwa stahili hii?
View attachment 3042249
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kuna clip moja nmeiona mwanafunzi wa kike under 18
Anakatika,anatingisha kalio linatikisika,show shuleni
Wapo walimu,wanafunzi hapo
Sasa kwa style hyo miuno yake kwann wasimmleeee
Ova
Huko mabwenini si ndo mnasema kunazalisha mashoga? LolWakiume wengi wanakatiza na kuacha kuendelea na masomo.
Ukosefu wa mabweni ni tatizo kubwa sana lenye madhara yakiwemo hayo.
We nae sasa mada ya mashoga imeingiaje tena hukuHuko mabwenini si ndo mnasema kunazalisha mashoga? Lol
Fuatilia mzee wanafunzi wengi nilishuhudia mm wamepata mimba kipindi cha likizo fuatilia vzrWakiume wengi wanakatiza na kuacha kuendelea na masomo.
Ukosefu wa mabweni ni tatizo kubwa sana lenye madhara yakiwemo hayo.
Sikatai kwa % fulani.Fuatilia mzee wanafunzi wengi nilishuhudia mm wamepata mimba kipindi cha likizo fuatilia vzr
Sitaki kukubishia sana maana mm naamini kwenye tafiti ila Sina uhakika kama kuna significant relationshipSikatai kwa % fulani.
Lakini ukweli ni kuwa 100% inasababishwa na ukosefu wa huduma za mabweni na chakula.
Mikoani Shule ziko mbali na makazi ya watu.
Kata moja na nyingine ziko mbali sana kutembea kwa miguu kwenda kurudi nyumbani, hivyo kufanya mabinti kuingia vishawishi vya lifti za Bodaboda na kutiwa mimba.
Wanafunzi wakiume wenyewe wanakataa kabisa kwa kusema sitaki kusoma nitalima.
Kulima kwenyewe hawalimi siku hizi.
You can’t ignore the importance of boarding schools for students under this scattered geopolitical situation.
!Kizaz cha amapiano hiki balaa
Watoto wanaliwa balaa
Ova
Daaah😀TUTALIFANYIA UCHUNGUZI ITAKUWA WAMEJIPA MIMBA WENYEWE
View attachment 3042250