Hahahah Kisura,
K-CI is a crackhead....mwembamba utadhani ana utapiamlo
ha!ha! Huyu bwana pamoja na crack, Mary J Blige alikuwa haelewi. K-ci alimtosa Mary J, dada allichanganyikiwa vibaya sana. Karibu apoteze music contract yake, maana she wa snot herself. K-ci messed her head really bad!...Acha mchezo bwana!
Lakini, I still love their music, hata walipokuwa Jodeci! Do you remember, "Forever My Lady"?
Jamani sijui ni weekend au vipi, kwa kweli toka jana haka ka wimbo kamenikaa sana, hivi huyu brazameni kafia wapi siku hizi? hope hes not another crack head.
[media]http://www.youtube.com/watch?v=KrtVDhUkao0[/media]
Jamani Kci & Jojo wameishia wapi? Last I heard walikuwa wanatafutwa na IRS....he he eh! I love their music, Kci is good...
Wewe si umeoa? sasa nyimbo za mabachela zinakuhusu nini?
Duh nimejikuta naanza kusikiliza wimbo wa Kurupt Its over Now,baada ya kumpigia simu wa karibu hapokei😕.
Wewe si umeoa? sasa nyimbo za mabachela zinakuhusu nini?
Sio mbaya kukumbukia enzi Nzoka, afu kama unavyonijua- I keep on acting like a bachelor now and then!
Fafanua pse, hueleweki hapa.Duh! mwisho wanne!