Wimbo Gani Umekukaa Kichwani Leo....

Wimbo Gani Umekukaa Kichwani Leo....

[Zuwena - Dar International (Marijani)]



[Marijani]

Ilikuwa asubuhi iii na mapema aaghaaa jua linachomoza aaa

Siku hiyo nilipatwa na msituko usiosemekana aaa

Niliposikia habari kumetokea na ajali ya kutisha aaa

Kwenye daraja la Salenda magari mwili iii yamegonganaaa



[Wote]

Yakatangazwa majina ya watu waliokuwamo kwenye ajali hiyoooo

Mmoja wapo kati ya watu hao alikuwamo mpenzi Zuwena

Nikatoka bila kujitambua mikono kichwani huku ninalia

Mbio kwenda Hospitali kwenda kumuona mpenzi Zuwena

Sijui kama yuko hai au Zuwena amekwisha kufa

Maringo na mikogo yangu kwa siku hiyo vyote vilikwisha



[Marijani]

Mammy Zuwena

Ooo mpenzi Zuwenaaaa



[Wote]

O mpenzi Zuwena



(repeat Wote)

Yakatangazwa majina ya watu............



(Chorus)



[Wote]

Zuwena ningempata wapi ee

Zuwena mwingine sawa na yeye

Zuwena ningempata wapi ee

Zuwena mwingine sawa na yeye



Mtoto aliyeumbika mwenye tabia za kupendeza

Zuwena Zuwena kweli nampenda



[Marijani kwa masikitiko makubwa]

Moyo ulianza kutulia kukuta Zuwena angali mzima

Ingawa ana majeraha mengi haidhuru mradi namuona

Zuwena Zuwena Zuwena mama aa Zuwena bibi iii kweli nampenda



[Wote]

Zuwena ningempata wapi ee

Zuwena mwingine sawa na yeye

Zuwena ningempata wapi ee

Zuwena mwingine sawa na yeye



Mtoto aliyeumbika mwenye tabia za kupendeza

Zuwena Zuwena kweli nampenda



[Marijani kwa masikitiko]

Sijui mimi ningefanya nini kama Zuwena angenitoweka

Tumeishi kwa muda mrefu wote wawili tumezoweana

Zuwena Zuwena Zuwena mama aa Zuwena bibi iii kweli nampenda



[Wote]

Zuwena ningempata wapi ee

Zuwena mwingine sawa na yeye.............

[Rudi mwanzo]


http://shy.phpbb24.com/forum/viewforum.php?f=20
 
yani nawaza jinsi yakupata pesa ... maisha yamekuwa magumu sikuhizi have no room for songs bwana my brain is full

OHH POLE SANA KWANI WEWE NI MJUZI WA NINI LABDA NAWEZA KUKUPA MAWAZO MBADALA , NYIMBO NI SANAA TU KAMA ZILIVYO NYINGINE KATIKA MAISHA YA KILA MTU KUNA SANAA ANAYOPENDA YEYE
 
All to Jesus I surrender,
All to Him I freely give;
I will ever love and trust Him,
In His presence daily live.

I surrender all,
I surrender all,
All to Thee, my blessed Savior,
I surrender all.

All to Jesus I surrender,
Humbly at His feet I bow,
Worldly pleasures all forsaken;
Take me, Jesus, take me now.

All to Jesus I surrender,
Make me, Savior, wholly Thine;
Let me feel Thy Holy Spirit,
Truly know that Thou art mine.

All to Jesus I surrender,
Lord, I give myself to Thee;
Fill me with Thy love and power,
Let Thy blessing fall on me.

All to Jesus I surrender,
Now I feel the sacred flame.
Oh, the joy of full salvation!
Glory, glory to His name!
huu wimbo umenikaa sana leo!
 
Tamba na Sabah Salum


Japo mbio za maisha, zimetutenganisha
Tamaa mie sijesha, iko siku tutakesha
Iko siku tutakesha, iko siku tutakesha

Nikeshe na wewe, tukitazamana
Nikeshe na wewe, tukiliwazana
Nikeshe na wewe tukiambizana x 2
Nikeshe na wewe tukiambizana x 2

Nitangojea maisha, pendo langu si la kwisha
wanaojishughulisha, kutusema watachoka
Nataka watokwe jasho, mahasidi kwa mipasho

wayaone maonyesho, tuwatie tumbo joto
tuwatie tumbo joto, tuwatie tumbo joto

Tuwaumize waumie, watukome wambea sie
Tuwaumize waumie, watukome wambea sie

Tamba my dia tamba, tamba my dia tamba
Tamba yaa habibi tamba, yaa ayuni tamba

Inshallah inshallah, tutaonana x 4


Iwe London, inshaallah tutaonana
Iwe toronto, inshallah tutaonnana
Iwe Dubai, Inshaallah tutaonana
Iwe Muscat, inshaallah tutaonana


Siku tutakutana eeh, waovu watatafutana eeh
watabaki kunong'ona eeh, sisi yetu yawe ng'ar ngar
Habibi yetu sisi ng'ar ngar, sisi yetu yawe ng'a ng'ar
Habibi yetu sisi ng'ar ngar, Habibi datiya, habibi datiya


part 2....
 
Always on my mind.

Baby Gyal Yuh Kno Yuh Love... Memory
So Right Now Got To Sing This Song Fo' Your Memory
Sean Paul And Daville
Sing!!!

[Verse 1: Daville]
I'm Thinking About You... Ou (Put The Bang Bang)
Girl How I Miss You... Ou (Serious Ting)
Baby Ever Since That Day You Went Away, Yes
I Can't Live Without You... Ou (No Wait Wait Wait Girl)

[Chorus:]
You're Always On My Mind (Woman Mi Tellin Yuh Di Truth)
You're Always On My Mind (Baby Baby Baby Girl)
You're Always On My Mind (Yo)
Girl You're On My Mind (So I'ma Tell Yuh Baby Girl)

[Verse 2: Sean Paul]
Gyal Cah Yuh Always On My Mind
You're Always On My Mind
Inna Mi Thoughts And Inna Mi Words
And Gyal Yuh Eva Inna Mi Rhyme
Gyal Yuh Always On My Mind
You're Always On My Mind
Every Hour Every Minute
Every Second Of My Time
I'am Addicted To Yuha Smell And To Yuha Skin And To Your Smile
Becah The Memories Yuh Left Mi Of Your Touch Is So Fine
Searchin Fo Yuha Tenderness I Keep On Tryin
Mi Haffi Get Di Lovin Don't Deny

[Chorus:]
You're Always On My Mind
You're Always On My Mind
You're Always On My Mind
Girl You're On My Mind

[Verse 3: Daville]
If I Don't See You Today I Hope I'll See You Tomorrow (Well I Not Get Fi Seeh Yuh Girl)
Girl I've Got To Let You Know
How I Feel Yeah Yeah
This Love Is Real
And I Don't Want To Fool Myself, No
It Belongs To You And No One Else (Baby Baby Baby Girl)

[Chorus:]
You're Always On My Mind
You're Always On My Mind
You're Always On My Mind
Girl You're On My Mind

[Verse 4: Sean Paul]
Becah Yuh Always On My Mind
You're Always On My Mind
Inna Mi Thoughts And Inna Mi Words
And Gyal Yuh Eva Inna Mi Rhyme
Gyal Yuh Always On My Mind
You're Always On My Mind
Every Hour Every Minute
Every Second Of My Time
I'm Always Waitin And I'm Anticipatin
An There's No Debatin Gyal It Is Yuh Mi Crazy
I Got To Walk Yuh Every Morning
Miss Yuh Every Evening
But Yuh Walk Yuha Own In Here
 
Make love in this club-the remix feat. R. Kelly

Icadon, umeiskia hii remix? Kells is a beast!! He killt it...not killed...killt....He's the remix killa for real....
 
Make love in this club-the remix feat. R. Kelly

Icadon, umeiskia hii remix? Kells is a beast!! He killt it...not killed...killt....He's the remix killa for real....

Ndio naisikia hapa......

Hii Bust it baby remix nimeipenda...Plies feat T-Pain na Janet Jackson.
 
WESTLIFE -"You Rise Me Up"


When I am down and, oh my soul, so weary;
When troubles come and my heart burdened be;
Then, I am still and wait here in the silence,
Until you come and sit awhile with me.

You raise me up, so I can stand on mountains;
You raise me up, to walk on stormy seas;
I am strong, when I am on your shoulders;
You raise me up... To more than I can be.



You raise me up, so I can stand on mountains;
You raise me up, to walk on stormy seas;
I am strong, when I am on your shoulders;
You raise me up... To more than I can be.

You raise me up, so I can stand on mountains;
You raise me up, to walk on stormy seas;
I am strong, when I am on your shoulders;
You raise me up... To more than I can be.

You raise me up, so I can stand on mountains;
You raise me up, to walk on stormy seas;
I am strong, when I am on your shoulders;
You raise me up... To more than I can be.

You raise me up... To more than I can be.
 
Lizy naipenda huo wimbo, je ni wa west life au celtic...
 
WESTLIFE -"You Rise Me Up"


When I am down and, oh my soul, so weary;
When troubles come and my heart burdened be;
Then, I am still and wait here in the silence,
Until you come and sit awhile with me.

You raise me up, so I can stand on mountains;
You raise me up, to walk on stormy seas;
I am strong, when I am on your shoulders;
You raise me up... To more than I can be.



You raise me up, so I can stand on mountains;
You raise me up, to walk on stormy seas;
I am strong, when I am on your shoulders;
You raise me up... To more than I can be.

You raise me up, so I can stand on mountains;
You raise me up, to walk on stormy seas;
I am strong, when I am on your shoulders;
You raise me up... To more than I can be.

You raise me up, so I can stand on mountains;
You raise me up, to walk on stormy seas;
I am strong, when I am on your shoulders;
You raise me up... To more than I can be.

You raise me up... To more than I can be.

Utafikiri Roho mtakatifu kakutuma uweke huu wimbo hapa!naupenda na umenigusa sana kwa leo!!I think this msg was for me!
Asante
Hollo
 
Take My life (Scott underwood)
[FONT=Georgia,Trebuchet MS,Arial,Helvetica][FONT=Trebuchet MS,Arial,Helvetica][FONT=Trebuchet MS,Tahoma,Verdana,Arial,Helvetica][FONT=Trebuchet MS,Arial,Helvetica][FONT=Trebuchet MS,Arial,Helvetica]Holiness, holiness is what I long for
Holiness is what I need
Holiness, holiness is what You want from me

Faithfulness, faithfulness is what I long for
Faithfulness is what I need
Faithfulness, faithfulness is what You want from me
[/FONT]
[/FONT]
[/FONT]
[/FONT][/FONT]​

  • [FONT=Georgia,Trebuchet MS,Arial,Helvetica][FONT=Trebuchet MS,Arial,Helvetica][FONT=Trebuchet MS,Tahoma,Verdana,Arial,Helvetica][FONT=Trebuchet MS,Arial,Helvetica][FONT=Trebuchet MS,Arial,Helvetica]
    (So) Take my heart and form it
    Take my mind, transform it
    Take my will, conform it
    To Yours, to Yours, Oh Lord
    [/FONT]
    [/FONT]
    [/FONT]
    [/FONT][/FONT]
[FONT=Georgia,Trebuchet MS,Arial,Helvetica][FONT=Trebuchet MS,Arial,Helvetica][FONT=Trebuchet MS,Tahoma,Verdana,Arial,Helvetica][FONT=Trebuchet MS,Arial,Helvetica][FONT=Trebuchet MS,Arial,Helvetica]
Righteousness, righteousness is what I long for
Righteousness is what I need
Righteousness, righteousness is what you want from me
[/FONT]
[/FONT]
[/FONT]
[/FONT][/FONT]
  • [FONT=Georgia,Trebuchet MS,Arial,Helvetica][FONT=Trebuchet MS,Arial,Helvetica][FONT=Trebuchet MS,Tahoma,Verdana,Arial,Helvetica][FONT=Trebuchet MS,Arial,Helvetica][FONT=Trebuchet MS,Arial,Helvetica]
    (So) Take my heart and form it
    Take my mind, transform it
    Take my will, conform it
    To Yours, to Yours, Oh Lord
    [/FONT]
    [/FONT]
    [/FONT]
    [/FONT][/FONT]
[FONT=Georgia,Trebuchet MS,Arial,Helvetica][FONT=Trebuchet MS,Arial,Helvetica][FONT=Trebuchet MS,Tahoma,Verdana,Arial,Helvetica][FONT=Trebuchet MS,Arial,Helvetica][FONT=Trebuchet MS,Arial,Helvetica]
huu wimbo umenikaa sana leo as napenda kuishi maisha yanayompendeza MUNGU.Kama Binadamu ni ngumu ndo maana namwachia MUNGU mwenyewe .
[/FONT]
[/FONT]
[/FONT]
[/FONT][/FONT]
 
Gotta rep the A...
Job For- Young Jeezy
"I'm high as Delta I'm in the clouds roll another bud I aint coming down"
 
WESTLIFE -"You Rise Me Up"


When I am down and, oh my soul, so weary;
When troubles come and my heart burdened be;
Then, I am still and wait here in the silence,
Until you come and sit awhile with me.

You raise me up, so I can stand on mountains;
You raise me up, to walk on stormy seas;
I am strong, when I am on your shoulders;
You raise me up... To more than I can be.

You raise me up, so I can stand on mountains;
You raise me up, to walk on stormy seas;
I am strong, when I am on your shoulders;
You raise me up... To more than I can be.

You raise me up, so I can stand on mountains;
You raise me up, to walk on stormy seas;
I am strong, when I am on your shoulders;
You raise me up... To more than I can be.

You raise me up, so I can stand on mountains;
You raise me up, to walk on stormy seas;
I am strong, when I am on your shoulders;
You raise me up... To more than I can be.

You raise me up... To more than I can be.

Lizy naipenda huo wimbo, je ni wa west life au celtic...

Mama,

Ni Westlife.

Week end njema.

basi upo kama huo wa celtic woman. sijui nani alianza kuimba.
Huu wimbo pia ameuimba Josh Groban. Angalia hapa [media]http://www.youtube.com/watch?v=6VqRlO3wa1A&feature=related[/media]
 
mimi sina wimbo ila kuna mtu kila saa hapa pembeni anaimba
kila kitu na wakati wake
kuna wakati wa kupanda
na wakati wa kuvuna
wakati wa kutapanya
na wakati wa kukusanya
kuna wakati wa kucheka
na wakati wa kulia
wakati wa furaha na wakati wa huzuni.
 
Mimi wimbo wa JB MPiana 'Kipe Ya Yo'.......je voudrais danse le Lopele...

pele pele ya lopele...Pele Pele yaa Lopelee
Le poison a combien de partieee....3 Partiee

Duniani kuna raha, huu wimbo unanikumbusha raha za dunia hahaaa!

Awilo vs MPIANA - You Tube
 
Back
Top Bottom