mlekulechoma
JF-Expert Member
- Nov 2, 2014
- 1,366
- 1,059
Karibuni wanajamvi!binafsi nikiwa bar....halafu bendi inapiga mubashara!nisipopigiwa nyimbo hizi 2.......hapatakalika!
1.Nawashukuru wazazi wangu.....wakati wowote
2.Tanzania yetu ni nchi ya kusifiwa....
Je wewe unapenda nyimbo gani?karibu!
1.Nawashukuru wazazi wangu.....wakati wowote
2.Tanzania yetu ni nchi ya kusifiwa....
Je wewe unapenda nyimbo gani?karibu!