Karibuni wanajamvi!binafsi nikiwa bar....halafu bendi inapiga mubashara!nisipopigiwa nyimbo hizi 2.......hapatakalika!
1.Nawashukuru wazazi wangu.....wakati wowote
2.Tanzania yetu ni nchi ya kusifiwa....
1, Mario by franco/monica seka na
Mamou
3 Okhaman by monica seka
4 Nairobi na esiyo wapi by 2 ya beli
5…Embe dodo by mushroom
6 Dar jazz… song masudi pi makoma wapo na nyimbo nzuri