Wimbo gani unaupenda zaidi?

Wimbo gani unaupenda zaidi?

Mimi napenda ukuuuti ukuuuti wa mnaaaazi wa mnaaazi...
 
Its not easy-luck dube hii nyimbo huwa inanikosha sana
 
Them Belly Full - but we hungry - Robert Nesta Marley (Bob Marley) hususani anaposema - a hungry man is an angry man.......... huo mstari unaweza uandikia paper na uka-publish....
 
Wana Jf<br />
najua kuna wimbo unaupenda kuusikiliza kila siku iwe ofisini, kwenye gari lako au nyumban kwako!<br />
Mimi binafsi &quot;africa unite&quot; wa bob marley.<br />
Unapenda up?
<br />
<br />
nimeusahau huo africa unite, hebu imba kidogo tusikie
 
&lt;br /&gt;<br />
&lt;br /&gt;<br />
nimeusahau huo africa unite, hebu imba kidogo tusikie
<br />
<br />
nitumie no yako kwa PM then nikutwangie nikushikie mistari.
 
Ee Bwana umenichunguza - Christian Shusho
Kwa imani - Bethel
 
Back
Top Bottom