Lyrics Master
JF-Expert Member
- Apr 2, 2016
- 479
- 670
JAMANI EEEH. NYIMBO GANI YA ZAMANI YA HIP HOP BONGO FLEVA HADI LEO HAUJASAHAU MISTARI YAKE?
MIMI KUNA HII HAPA CHINI YA JCB INAITWA SINA TAXI REMIX. HEBU TILILIKA NAYO HUKU UKITUPA NA WEWE LYRICS ZA NYIMBO UNAYOKUMBUKA HADI LEO.
Eni sina,
Wamenipukutisha mapene kichina,
Usiku wa manane after dina,
Chakula cha usiku kwa kina pina,
Nafoka dunia nzima,mpaka good kuokoka jua ni utu uzima,
Mtu mzima sina taxi, toka TZA mpaka basi,
Naomba mchukue nafasi, kusikiliza hizi varsi,
Natafutwa kama Almasi,
nikiwa nime-relax huwezi nikosa na nyasi,
na taxi nakwenda club kwa bwax,
Napata max after mikasi,
Dere usiende kwa kasi,
Kwani tupo pamoja kuenzi hii fani,
Nawarudisheni zamani kwenye remix,
Waliojimix kwa fix wawe karibu nasi,
Wakigongea nyasi, wakitu-discuss,
Kwanini tumekuja na taxi,
Wangekuwa Osama, wangetupiga risasi wamekwama,
Wamebebwa na MO plus,
Anzia tungi mpaka embasi,
Kuanzia mbungi mpaka kuondoka na taxi,
Wana kisasi mpaka waseme basi,
Marashi hayapotezi harufu ya ashiii,
Haina udasi kwa kona kama inasoma kwa fasiii
MIMI KUNA HII HAPA CHINI YA JCB INAITWA SINA TAXI REMIX. HEBU TILILIKA NAYO HUKU UKITUPA NA WEWE LYRICS ZA NYIMBO UNAYOKUMBUKA HADI LEO.
Eni sina,
Wamenipukutisha mapene kichina,
Usiku wa manane after dina,
Chakula cha usiku kwa kina pina,
Nafoka dunia nzima,mpaka good kuokoka jua ni utu uzima,
Mtu mzima sina taxi, toka TZA mpaka basi,
Naomba mchukue nafasi, kusikiliza hizi varsi,
Natafutwa kama Almasi,
nikiwa nime-relax huwezi nikosa na nyasi,
na taxi nakwenda club kwa bwax,
Napata max after mikasi,
Dere usiende kwa kasi,
Kwani tupo pamoja kuenzi hii fani,
Nawarudisheni zamani kwenye remix,
Waliojimix kwa fix wawe karibu nasi,
Wakigongea nyasi, wakitu-discuss,
Kwanini tumekuja na taxi,
Wangekuwa Osama, wangetupiga risasi wamekwama,
Wamebebwa na MO plus,
Anzia tungi mpaka embasi,
Kuanzia mbungi mpaka kuondoka na taxi,
Wana kisasi mpaka waseme basi,
Marashi hayapotezi harufu ya ashiii,
Haina udasi kwa kona kama inasoma kwa fasiii