Wimbo gani wa Hip Hop/Bongo Flava ambao hujasahau mistari yake?

Wimbo gani wa Hip Hop/Bongo Flava ambao hujasahau mistari yake?

Zawadi lyrics
Ngwair

Intro
Yeah
Moja kwa moja toka chemba
Ngwair na east zou you
Dojo kaya Fero

Verse one
Uzuri wako wako wa tabia
Umbo na sura
Ndo ulinifanya sometimes
Mi nishindwe hata kula
Nshasumbuka sana
Mpaka kukupata
Ushanitukana sana
Lakini tamaa sikukata
Badae ulituma zawadi
Za mapenzi na kadi
Dola kumi za simu
Ndo hazina hata idadi
Mpaka leo hii tunaitana wapenzi
Shopping kila siku au kila weekend
Sikupenda kabisa mi utembee kwa miguu
Ndo maana nkakukabidhi ile benzi yangu ya bluu
Na kuthihirisha kwako yangu mapenzi
Sikuona hatari kukuachia na nyumba yangu ya mbezi
Na Mpaka leo maisha ni safi tu
Sema nini unachotaka utapata boo haa
(Si ulisema tutaenda USA?)
Sure wiki ijayo tripu nkitoka Dubai
Sijasahau
Tutapita na UK
Ila now kajiandae ntwende nzetu sleep way

Chorus
Si ulifurahi mpenzi nilipokupa gari
(Yeah)
Cheni nyumba ya kifahari
(Yeah)
Kuna nyingine moja spesho
(IPI hiyo?)
Nilishakupa H.I.V
×2

Verse 2
Kila nkitoka kazini
Mkononi maua waridi
Kuonesha kiasi gani nakujali waridi
Na imani wote tulipendana kwa dhati
Sema kuna kimeo kimeingia katikati
Kumbuka kwenye swala la kujamiana
Mara ya kwanza ngwair nilitaka nsitumie zana
Ukanionya ukanipinga na kunihusia sana
(Si ulijua mambo ya kuambukizana)
Yaah sa sijui ndo ikawa kuzoeana
Ghafla nhee what! Tukaanza nyama kwa nyama
Mpaka leo usinione nimeinama chini
(Kwanini? Ina maana mpenzi huniamini?)
Noo! Nimegundua tunaishi na virusi
(Vya ngoma? )
Yoo
(Haa! Hiyo sio rahasi)
Sure hata mimi mara ya kwanza ilinishangaza
Ila gage hili hapa sasahivi natokea angaza
Mi ninao na we tu utakua nao
Ila sijui mi nimekupa we
we umenipa mi
Ma ila usijali mambo yatakua mazuri
Sio siri jamaa amenipa bonge la ushauri
Na kesho alfajiri na safari ya mbugani
Sema honey nikirudi nkuletee zawadi gani
(Ya nini)
Sema chochote unachotaka
(Sitaki nadhani ya virusi inanitosha)

Repeat chorus

Outro
Hoo
Hoo hohohooo
Hoo
Hoo hohohoo
Hoo
Amini mpenzi hii ni kama ajali
Iliyotokea katikati ya safari
Mi mwenyewe haya sikutegemea
Kama mbele haya yangaja tokea
Uhusiano wetu umetoka mbali
Na mi moyoni mpenzi bado nakujali
Mpenzi wangu usije nitenga
Pamela but bado mpenzi nakupenda.
 
Zawadi lyrics
Ngwair

Intro
Yeah
Moja kwa moja toka chemba
Ngwair na east zou you
Dojo kaya Fero

Verse one
Uzuri wako wako wa tabia
Umbo na sura
Ndo ulinifanya sometimes
Mi nishindwe hata kula
Nshasumbuka sana
Mpaka kukupata
Ushanitukana sana
Lakini tamaa sikukata
Badae ulituma zawadi
Za mapenzi na kadi
Dola kumi za simu
Ndo hazina hata idadi
Mpaka leo hii tunaitana wapenzi
Shopping kila siku au kila weekend
Sikupenda kabisa mi utembee kwa miguu
Ndo maana nkakukabidhi ile benzi yangu ya bluu
Na kuthihirisha kwako yangu mapenzi
Sikuona hatari kukuachia na nyumba yangu ya mbezi
Na Mpaka leo maisha ni safi tu
Sema nini unachotaka utapata boo haa
(Si ulisema tutaenda USA?)
Sure wiki ijayo tripu nkitoka Dubai
Sijasahau
Tutapita na UK
Ila now kajiandae ntwende nzetu sleep way

Chorus
Si ulifurahi mpenzi nilipokupa gari
(Yeah)
Cheni nyumba ya kifahari
(Yeah)
Kuna nyingine moja spesho
(IPI hiyo?)
Nilishakupa H.I.V
×2

Verse 2
Kila nkitoka kazini
Mkononi maua waridi
Kuonesha kiasi gani nakujali waridi
Na imani wote tulipendana kwa dhati
Sema kuna kimeo kimeingia katikati
Kumbuka kwenye swala la kujamiana
Mara ya kwanza ngwair nilitaka nsitumie zana
Ukanionya ukanipinga na kunihusia sana
(Si ulijua mambo ya kuambukizana)
Yaah sa sijui ndo ikawa kuzoeana
Ghafla nhee what! Tukaanza nyama kwa nyama
Mpaka leo usinione nimeinama chini
(Kwanini? Ina maana mpenzi huniamini?)
Noo! Nimegundua tunaishi na virusi
(Vya ngoma? )
Yoo
(Haa! Hiyo sio rahasi)
Sure hata mimi mara ya kwanza ilinishangaza
Ila gage hili hapa sasahivi natokea angaza
Mi ninao na we tu utakua nao
Ila sijui mi nimekupa we
we umenipa mi
Ma ila usijali mambo yatakua mazuri
Sio siri jamaa amenipa bonge la ushauri
Na kesho alfajiri na safari ya mbugani
Sema honey nikirudi nkuletee zawadi gani
(Ya nini)
Sema chochote unachotaka
(Sitaki nadhani ya virusi inanitosha)

Repeat chorus

Outro
Hoo
Hoo hohohooo
Hoo
Hoo hohohoo
Hoo
Amini mpenzi hii ni kama ajali
Iliyotokea katikati ya safari
Mi mwenyewe haya sikutegemea
Kama mbele haya yangaja tokea
Uhusiano wetu umetoka mbali
Na mi moyoni mpenzi bado nakujali
Mpenzi wangu usije nitenga
Pamela but bado mpenzi nakupenda.
Duuuu kitambo sana
 
Usijiulize mi ni yupi, mi ni nuksi zaidi ya shaka.../
Nabonge la mkuki ndani ya chupi, hii ni boxer.../

Maisha ni menu na muhudumu ni muda, fasta onganisha order zenu kisha hukumu itakuja.../
Mi ni mbishi zaidi ya nyota uzionazo mchana wa jua kali, siishi kwa kukopa naogopa loss itanitosa mbali.../

Itandondosha ngosha ntachoka itakua hatari, nafikiria kutoka ila shoka kosa nishajua hatari.../

Nacho hofia ni kile kioo cha bafuni kwangu, nacho jiangalia kwa ile kazi ya macho yangu.../
Ustaa unalipa tena mnaniombea nisipande, nataka keki nzima nimechoka kuonja vipande.../

Nafanya mziki kwa ajili yako we unapokea kwa shingo upande, kama vipi changanya tako ili mavi yasigande.../

Cypher ya 2012
Fid Q
Daily Nitasimama kama kichwa changu asubuhi
 
Daz Nundaz - Barua
Oya namna gani mzee, ah, mbona leo uko hivi mzee, basi tuuu.
Vipi mchizi wangu mbona naona umesizi, unaonekana kama moyoni una majozi, au dili zako leo haziendi sawa, jinsi unavyoonekana kama umepagawa, niambie ili nielewe ili na mie nisipagawe, kwani tangu nimefika nakuona umepooza, hebu niambie kitugani unachowaza, sema basi, ni nini kinachokusumbua nafsi, niambie basii au kuna kitu kimekuugasi.
Aah we mola acha tuu wangu mkachaa, ni story ndefu nikianza kukupaa, ubongo wangu nahisi kama unazafilika, kwa haya matatizo makubwa yaliyonifika, shemeji yako nadhani unamjuaa, ambaye kichwa changu alikichenguaa,
Baada ya kuishi muda mrefu na wangu lazizii, ikabidi niende kuwataarifu wazazii, kwamba nimeshampata mwenzanguuu, ambaye nitafunga naye pingu za maisha, na nilikuwa na hakika hakuna ambaye atatutenganishaa, basi bwana baada ya kurudi yangu safarii, nikakuta mlango wa gheto umepigwa kufulii, nauliza watu wote sipati jiiibu, niko zangu kwa mwenzako ulionisibuu, nikaanza kusaga tunda langu kwa sanaa, lakini jitihada mwisho zikashindikana, nikaamua basi tu mi kutulizana, nikawasitoki nje nipo ndani tu nalalaa, huku mawazo mengi kichwani yamenitawalaa,

KIITIKIO
Katika mahaba tulishazama dibwnini lakini barua niliopokea nashindwa hata kuamini, ua langu moyo wangu halipo tena na mimi,barua hii, jamani inanihuzunishaa, kila nisomapo moyo unasononekaa,na ufukara ndio uliotutenganishaaaa,
subiri basi story nikumalizie
enhe
mkasa huu mwanangu ulionifika mie
enhe
hususani imepita wiki kadhaa, ndipo hapo nikapokea baruaa, kilichokuwa ndani sikukitambuaa, nikaja kuelewa baada ya kuifunguaaa, nikakuta barua yenye ujumbe mzito, ikiwa imeambatana na kadi ya mwaliko, ndege wangu ameluka hayupo tena namii, sasa hivi sijui mwenzangu mimi nanii, hali yangu duni imenifanya kuelemewa, na hivi karibuni demu wangu anaolewa. barua inanisisitiza Harusini niuruliee, sijui siku hiyo hata wapi mi nianziee, mpenzi umeniacha kwenye nyavu nimenasa, nimebaki kama kipofu sioni pa kupapasa, nikisoma barua hii kumalizia huwa nashindwaa, kwani nahisi kama ulivyonishadundaa,
Shika mwenyewe usome barua eeh, soma mwenyewe uone barua eeh, shika mwenyewe usome barua eeh, soma mwenyewe uone barua eeh
Ikufikie wangu wa enzi mpenzi,mi kiafya mzima, natumai na we kiafya uhai,dhumuni la barua ni kukutaka na wewe kujua, mimi ni Assa na kipi kisa na mkasa, kilichonishawishi bali nawe mpenda kuishi, sio siri mimi binafsi kupenda kuishi maisha duni ya chini sana, kumbuka ufukara umasikini kututenga vimechangia, ila usipinge bwana,sasa nani alaumiwe unadhani, hivi punde tu nataraji kufunga pingu maishani ili niishi maisha ya thamani, yaliyogharama tena adimu na tena adimu kama Almasi, fanya hima usikose harusini ukipata nafasii, katika barua hii nimeambatanisha kadi hii ya mwalikoo ni yakoo.......
Basiii usimalizie kusoma, basiii usimalizie kusoma, Kwani ukiendelea moyo wangu unauchomaa kwa kuondoka wangu huyu mpenzii, moyo wangu umejawa na simanzi, niliamini tutatenganishwa na umauti, sasa nimekubali fukara hana sauti, molla ndiye anayegawa umasikini na utajirii, naye hali yangu mpenzi ameshindwa kuihimilii, na ndio maana unaniona leo nimeshika taama, utadhani kifaranga aliyekosa mama, aliyemgaia yeye ndie aliyenipa mimi ufukaraa, lakini naamini ipo siku nyota yangu itang'araa.
KIITIKIO
Katika mahaba tulishazama dibwnini lakini barua niliopokea nashindwa hata kuamini, ua langu moyo wangu halipo tena na mimi, barua eeh, jamani inanihuzunishaa, kila nisomapo moyo unasononekaa, na ufukara ndio uliotutenganishaaaa.​
Lyrics by Bongo Explosions
 
Back
Top Bottom