klorokwini
JF-Expert Member
- Dec 2, 2009
- 8,647
- 5,145
teh teh halafu message ya ukweli.....kweli tumetoka mbaliwakati huo.............. enzi zetu tunabembelezana.............
ukiondoka Geogina, utaniletea masikitiko................ wa siku hizi wanaambianaKumbe ni kichwa kinamuuma, kishalewa, anajipoza na maji,
Na mimi hata muda sina, nishamkanya, ninasikiza ma melody
Nishamwambia nini wewe, kupenda sana utakuwa chizi
Hayanaga ujuzi yawee, kila mtu analilia mapenzi
Karibu chama la bachala, Ukinipenda, namaliza leo leo tu
Siku hizi kwa kudanganyana, Mvulana msichana ishakuwa poa poa tuu
Hakunaga mapenzi yale, yakugandana ni zama za kale
Money on the table, kinachofata ni mimi na wewe
kazi kwenu mnaokazana kutafuta mapenzi ya kweli siku hizi wakati hayapo, ha haaaaaaaaaaaaaateh teh halafu message ya ukweli.....kweli tumetoka mbali
Dereva kalewa gongo je sawa iyooooo? haaaata hiyo si sawa dereva wacha vituko (Jina la mwimbaji atataja mwengine, sio wimbo nataja mimi na jina pia, not fair)
Mayassa
Ngapulila
na ule wa Kikenya ule unaimba......... ee bwana nipe pesaa, watoto wanaliaaa, lakini mke wangu, mezowea kutangatanga, hata majiranii wamechoka kumuonaaa, huwa wanasema fungeni milango anakujaaaaaaa.
kazi kwenu mnaokazana kutafuta mapenzi ya kweli siku hizi wakati hayapo, ha haaaaaaaaaaaaaa
sasa hapa dawa sijui ndo nini, kuingia kwenye uongo au kujiachia!!!!!!!!!!!!! aha!
Tunatoana roho yarabiii, kwa mali alizoacha Baba , Ama kweli duniani imani imekwisha, kwa msiba wa tajari mambo huwa shwari, lakini kwa fukara ni matatizo . Na kuendelea ......
Mambo ya Msondo.
Kweli we wa juzi..
Kweli we wa juzi..