klorokwini
JF-Expert Member
- Dec 2, 2009
- 8,647
- 5,145
Dereva kalewa gongo je sawa iyooooo? haaaata hiyo si sawa dereva wacha vituko (Jina la mwimbaji atataja mwengine, sio wimbo nataja mimi na jina pia, not fair)
Mayassa
Ngapulila
na ule wa Kikenya ule unaimba......... ee bwana nipe pesaa, watoto wanaliaaa, lakini mke wangu, mezowea kutangatanga, hata majiranii wamechoka kumuonaaa, huwa wanasema fungeni milango anakujaaaaaaa.
Mayassa
Ngapulila
na ule wa Kikenya ule unaimba......... ee bwana nipe pesaa, watoto wanaliaaa, lakini mke wangu, mezowea kutangatanga, hata majiranii wamechoka kumuonaaa, huwa wanasema fungeni milango anakujaaaaaaa.