Wimbo Huu unasafisha Na kupandisha nyota haraka Sana . Unatoa Na kufukuza mapepo yote. Unavunja Kila maagano mabaya Na kuharibu Kila madhabahu ovu

Wimbo Huu unasafisha Na kupandisha nyota haraka Sana . Unatoa Na kufukuza mapepo yote. Unavunja Kila maagano mabaya Na kuharibu Kila madhabahu ovu

LIKUD

JF-Expert Member
Joined
Dec 26, 2012
Posts
18,037
Reaction score
33,681
HII Ni kwa waamini tu.

Kuna watu ( wakristo kwa waislamu) huwa wanafikiria kwamba ili kuondokana Na Shari Za Ibilisi Ni lazima wapige Dua nzito, visomo vizito vizito, maombi mazito nakadhalika.

Ni Kweli WaPo sahihi Dua,visomo, maombi vinasaidia Sana katika kupambana Na Shari Za Ibilisi but wanasahau kitu kimoja kikubwa sana.

Zipo nyimbo ( Za kikristo) Na Dua Za kiislamu zilizo ghaniwa Kwa melody nzuri ambazo Zina nguvu kubwa Sana ZA kiroho Na zipo very active katika kupambana Na kuzishinda/kuziharibu Kazi zote ZA Ibilisi.

Ni hivi hakuna maneno yenye nguvu katika ulimwengu WA kiroho kama maneno ya kiroho yanayo tamkwa Kwa NJIA ya melody ( Melodic)
( Hata wachawi huwapiga watu kwenye mahepe Na Ngoma zote ZA KICHAWI Kwa ujumla Kwa Sababu Ina aminika kwamba universe huwa Ina respond very faster to melodic words than to flat words)

Wahindi wanaijua Siri hii, wazulu waliitumia Siri hii kama Moja WaPo Kati ya nyenzo Za kiroho katika kupigania uhuru wao.


Ina aminika kwamba hata Mwenyezi Mungu wakati anauumba ulimwengu Huu Yale maneno aliyo yatamka kwamba liwe Jua, uwe mwezi n.k alikuwa anayatoa Kwa Sauti ambayo Ni Melodic. Haikuwa Sauti flat
Melody Zina nguvu Sana.. Hata kama sura yako imevimba kama korodani Za nguruwe ukisimama mbele za watu ukaimba wimbo wenye melody nzuri utaonekana handsome. Utafunikwa Na utukufu wa hiyo melody nzuri.

Back to my point: zipo nyimbo nzuri Na Dua zilizo ghaniwa vizuri ambazo Zina nguvu kubwa Sana katika ulimwengu wa roho.

Leo nitaanza Na wimbo Huu. Jina la wimbo: SADAKA YANGU.
Mtunzi: Father Amedeus Kauki( Kanisa Katoliki)

Wimbo Huu una nguvu Zaidi ya hizo nilizo zitaja kwenye kichwa cha Uzi Huu..

Jenga tabia ya kuwa unaupiga wimbo Huu nyumbani kwako Kila mara halafu utakuja kuniambia..

N.b : Ni vizuri Zaidi Moyo wako uwe Na same spirit kama maneno ya kwenye wimbo Huu.

Next time( Kesho, INSHA'ALLAH) nita upload " Suratul Yaseen" iliyo ghaniwa Na Sheikh mmoja wa Saud Arabia bingwa WA nyiradi.. Ni Dua yenye nguvu Sana.. Sheikh huyo ameighani kutoka moyoni mwake...
 
Sadaka Yangu:
Sadaka yangu, kwako ee Mungu Ni moyo mnyofu na uliopondeka Tazama wapendezwa na kweli ya moyo nawe wanijulisha hekima kwa siri,
nioshe kabisa na uovu wangu na kinywa changu kitanena sifa zako
1. maana wewe bwana hupendezwi na dhabihu za kuteketezwa ama sivyo mimi ningali kutolea
2.wapendezwa na dhabihu za haki, kutoka kwa moyo mnyoofu zitolewazo juu ya madhabahu yako
3. ee mungu mungu wa wokovu wangu unipe moyo radhi wa utii usiniondolee roho wako Mtakatifu.
 
Sadaka Yangu:
Sadaka yangu, kwako ee Mungu Ni moyo mnyofu na uliopondeka Tazama wapendezwa na kweli ya moyo nawe wanijulisha hekima kwa siri,
nioshe kabisa na uovu wangu na kinywa changu kitanena sifa zako
1. maana wewe bwana hupendezwi na dhabihu za kuteketezwa ama sivyo mimi ningali kutolea
2.wapendezwa na dhabihu za haki, kutoka kwa moyo mnyoofu zitolewazo juu ya madhabahu yako
3. ee mungu mungu wa wokovu wangu unipe moyo radhi wa utii usiniondolee roho wako Mtakatifu.
Kizazi Sana. HII Ni zaburi ya ngapi mkuu? Maana najua wakatoliki nyimbo zao hawatoagi hewani
 
Nikiwa chuoni mwaka wa tatu, nilikuwa nalala kitanda cha juu, ajabu kuhusu nyimbo za ki_Mungu ilikiwa hii.

Kila nikipanda kitandani na kuanza kusikiliza mziki wa dini kwenye simu kupitia earphone tena kwa sauti isiyotoka kumfikia mtu mwingine, jamaa wa kitanda cha chini alikuwa anafungulia mziki wa kidunia kwenye pc yake kwa sauti ya juu sana.

Mpaka leo nilishashindwa kuelewa kilichokuwa kinamfanya afungulie mziki wa kidunia kwa sauti ya juu.
 
wimbo haiwezi kutoa pepo na mashetani hata uimbe vipe humtoi pepo hao wamatoka kwa dua
 
Umenikumbusha mbali sana.
kipindi nikiwa mdogo nadhuria mafundisho ya komunio kulikuwa na wimbi la waganga kutega mapemo kwa watoto wa kike. Kuna katekista mmoja alikuwa kila siku kabla ya kuanza mafundisho anatuimbisha wimbo flani ambao sasa nakumbuka sehemu ya mwisho. Wimbo ukianza tu unaanza kusikia watu wanalipuka mapepo. Baadhi ya maneno ninayoyakumbuka katika wimbo ni haya:-
......Tazama ee shetani anakuja, anataka kuwapoteza watu...
Choma choma,
Choma choma na mkuki wa Bwana,
Piga piga na rozari ya mama
.


Kipindi hicho tulikuwa tunamlaumu sana kwa kuanzisha wimbo huo ukizingatia Melody yake inakaribia na melody ya ngoma walizokuwa wanapiga hao waganga wa majini.
Lakini hivi majuzi uliniokoa kwenye tukio fulani, niliona hali inaashiria uwepo wa nguvu za giza, ghafla huo wimbo ukaniijia kichwani. kwa vile kulikuwa na watu wengi ilibidi niuimbe kimoyomoyo, punde ile hali ikayeyuka.
 
Sadaka Yangu:
Sadaka yangu, kwako ee Mungu Ni moyo mnyofu na uliopondeka Tazama wapendezwa na kweli ya moyo nawe wanijulisha hekima kwa siri,
nioshe kabisa na uovu wangu na kinywa changu kitanena sifa zako
1. maana wewe bwana hupendezwi na dhabihu za kuteketezwa ama sivyo mimi ningali kutolea
2.wapendezwa na dhabihu za haki, kutoka kwa moyo mnyoofu zitolewazo juu ya madhabahu yako
3. ee mungu mungu wa wokovu wangu unipe moyo radhi wa utii usiniondolee roho wako Mtakatifu.
Kizazi Sana. HII Ni zaburi ya ngapi mkuu? Maana najua wakatoliki nyimbo zao hawatoagi hewani
wimbo haiwezi kutoa pepo na mashetani hata uimbe vipe humtoi pepo hao wamatoka kwa dua
Okay
 
Tofauti ni kwamba huo wimbo wako wa kiroma msabato atakuja kuupinga na kutaka awekewe wake, sikwambii walokole hapo,, ila hiyo sura uliyoitaja ambayo utaweka huyo shekhe atakeighani, hakuna muislam yoyote atakaepinga kwa kuwa Quran ndo hiyo hiyo iwe ya shia au sunni, iwe ya mchina au mzaramo, usomaji ni ule ule kama anavyosoma dikupatile jako wa mwanalumango, basi bwana chen lee wa Beijing nae anasoma hivyo hivyo,,
Najua nitatukanwa hapa ila poa tu!
 
Back
Top Bottom