Wimbo mpya wa Allykiba uliovuja, wageuka kuwa hit song

Wimbo mpya wa Allykiba uliovuja, wageuka kuwa hit song

na baaaaado hii salam tosha kwa wazee wa mbeleko team chibu
 
SCHOOL BABY. hit of east,west and central africa! wapi chibuuuu
 
huyu ndie msanii anayetoa nyimbo kwa mipango nyimbo tamuuu uchukua muda mrefu kukamilika na ikitoka single moja tu uhesabu tuzo 6 mezani sio unakua unatoa single 20 per week! ovyo
 
hapa MWANA.kule CHEKETUA CHEKECHA uku SCHOOL BABY.wapi davidooooooo
 
Jamaa kaweka tu demo...mapovu yanawatoka eti kavujisha daah wabongo bana
 
Mbona cjaelewa chochote zaid ya wewe ni wangu toka shule kata kiuono naona raha basssss au ndo bado ataongezea vingine
 
Kitu kizuri tuwe tunasifia bila ushabiki. Ngoma ni kali sio siri.
 
Inaonekana huo upuuzi alitunga kipindi anastress za mikopo ya saccoss

Kama ameishiwa mjaribu kumwambia hata anicheki private message naweza nikamconnect na Mbabe wao Chibu dangote Aende akarekodi Studio za wassafi recods bure maana wasanii chipukizi ni bure ila yeye tutamuwekea exception kwakuwa show hakuna

Ila kiufupi WIMBO MBOVU SIKUTEGEMEA NILICHOKIKUTA JAPOKUWA HAJUWI LAKINI THIS IS TOO MUCH
 
Back
Top Bottom