geniussince95
Member
- Jan 24, 2017
- 55
- 57
Amelewa sifa,, hiyo ngoma ameharibuDarasa ametoa ngoma mpya ambayo kwa kweli imedhihirisha kuwa msanii huyu hana kipaji cha kutunga mashairi mazuri.
Si hivyo tu ngoma hii imetoa picha kuwa msanii huyu siyo mbunifu kwani ngoma hiyo inaelekea kufanana na ngoma ya Muziki.
Hawa wasanii wa kibongo bwana!
------------
Wimbo: Hasara Roho
Msanii: Darassa CMG
Nasikia kuna wasanii walichinja kondoo ili Darasa asitoe hit nyingine...za kunyapia nyapia
we jamaa sikupendi ilitakiwa upewe ban ya mwaka mzimaMkuu
Swissme
Mzee wa njaa uko kama manzi leo huku kesho kule hahaha demuwe jamaa sikupendi ilitakiwa upewe ban ya mwaka mzima
Albam nyingi tu sababu ukali wa nyimbo ni kutokana na mapokeo ya wasikilizaji...hujawahisikia msanii katoa albam alafu haijafanya vizuri? Au wewe hizo nyimbo za nje unazopenda kwa hao wanamuziki umepata kusikia albam zao nzima au unasikiliza single tu? Unaweza nunua albam ya msanii nzima ukapenda wimbo mmoja tu!We jamaa acha uongo...album gani ya nje ina nyimbo kali 3 tu?