madudeyahatari
Senior Member
- Apr 11, 2017
- 137
- 39
[emoji41][emoji8]maoni yako, ngoja waje zaidi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Maana kweli tumezidi. Vitu vingine bora kukaa kimya. Tuna tofautiana sanaWabongo tuache fitina na wivu jamani!!!! "
Bwana mzee, ile utantoa roho haikuwa official released bali ilivuja. Hivyo akatoa hii hasara roho ambayo ndani yake unaweza ukasikia mistari ya unantoa roho.Ina tofauti gani na hii ya hasara roho?
Pole mkuu kwa banWeka ngoma yako tuone mkikoswa hoja mnabaki kujikanyaga tu
Swissme
Tusiwe wanafiki ukweli wimbo wa kawaida sanaaaaaa tena sanaaaaaa