Wimbo mpya wa Darassa CMG umedhihirisha kuwa ile ngoma ya Muziki alibahatisha

Wimbo mpya wa Darassa CMG umedhihirisha kuwa ile ngoma ya Muziki alibahatisha

Wimbo mpya wa darassa 'Hasara Roho'

  • Ni mzuri Sana

    Votes: 15 40.5%
  • Ni mzuri kiasi

    Votes: 5 13.5%
  • Wa kawaida tu

    Votes: 13 35.1%
  • Ni mbaya

    Votes: 4 10.8%

  • Total voters
    37
matokeo ya bandiko hili ni kuwa kati ya watu 12 waliouzungumzia wimbo wa hasara roho moja kwa moja ,watu saba wanaukubali na kuupenda na watu wa5 wameona ni marejeo ya alikotoka na ni wimbo wa kawaida sana+++! fanya tafsiru ya takwimu hizi ndo utajua kuwa darassa ni mkali au la??
wapo waliochelewa kuuelewa wimbo wa MUZIKI huenda hata hawa watano wanachelewa kuilewa hasara roho!+!+
 
matokeo ya bandiko hili ni kuwa kati ya watu 12 waliouzungumzia wimbo wa hasara roho moja kwa moja ,watu saba wanaukubali na kuupenda na watu wa5 wameona ni marejeo ya alikotoka na ni wimbo wa kawaida sana+++! fanya tafsiru ya takwimu hizi ndo utajua kuwa darassa ni mkali au la??
wapo waliochelewa kuuelewa wimbo wa MUZIKI huenda hata hawa watano wanachelewa kuilewa hasara roho!+!+
Ukweli hauamuliwi kwa kura.

Watu wengi wakipiga kura kusema mavi ni chakula kitamu, utakula mavi?
 
Hyo ngoma itakutoa roho mana sio kwa povu hilo...ovyoo
 
Ngoma ya "muziki" ilibebwa na beat na sio mashairi, hii hapa beat yake iko chini ya standard ya beat ya "muziki", ingawa angetoa hii kabla ya ingekuwa iko poa tu, ila baada ya ngoma ya "muziki" ilibidi atulie then atoe kitu cha ukweli zaidi
 
Huu wimbo sio mbovu ila ni wa kawaida sana, hauwezi hata kuupambanisha na "too much". Ni hivyo tu mambo ya game kama ushapata jina watu watakufatilia tu. Hata views atakazopata YouTube sio kwa ajili ya kuwa wimbo ni mkali, la hasha ni ile shauku tu ya watu kutaka kuona mzee wa muziki katuletea nini.
 
'' duniani kungekuwa na tuzo za wachukiaji, bongo watu wana vipaji '' nyimbo nzuri mimi naipa 7/10, alafu siku zote sio jumapili, jamaa bado yupo vizuri. Ila we ndugu yangu Nibozali siku shangai unachokiona kibaya wewe, unazani wote wanakiona hivyo hivyo, mara perfume diamond mbaya, leo umekuja na darassa kesho sijui atakuwa nani. Ila ukae ukijua unajipunguzia siku za kuishi na unaukaribisha uzee, kwa kulimbikiza chuki na unao wachukia wote kila siku wanazidi kutoboa.
mkuu some times inategemea na malezi kuna watu wamelelewa kwa misingi ya kuona vya kwao ni vizuri vya wengine vibaya
 
Hata Diamond alivyokuja kutoa "Nataka Kulewa" alitukanwa sana na kuambiwa eti ndio mwisho wake, et "number one" alibahatisha!! Darasa komaa songa mbele, wimbo mzuri hata kama mimi ni mpenzi wa mabolingo!
 
Sishangai mleta uzi maana hata producer alietengeneza ile ngoma ya muziki alilia sana akasema hajui kama atatoa ngoma kali kama ile so sishangai kuona kama nyimbo yake sio kali ila nikuambie tu ngoma kali balaaaa
 
Humjui Darasa au hujui mziki....au inawezekana umesikia huo wimbo wake mmoja tu
Tusaidie kuna mziki upi wa darasa unatofauti na huu? Ki ufupi hapo hakuna wimbo zaidi ya muendelezo wa bet ktk wimbo wa weka mziki hana uelewa ktk utunzi na ala za mziki.
 
Kweli darasa ameangusha watu wengi,tulitegemea atafunika Maisha na Music lakini Naona hata ngoma ya Young Dee BONGO BAHATI MBAYA imemuacha mbaaali Darassa na track yake mpya Hasara Roho.
 
Kweli darasa ameangusha watu wengi,tulitegemea atafunika Maisha na Music lakini Naona hata ngoma ya Young Dee BONGO BAHATI MBAYA imemuacha mbaaali Darassa na track yake mpya Hasara Roho.
We jamaa una masihara mpaka basi.

Subirini bodaboda waipatee

Darasa HASARA ROHOv/s Yang dee BONGO BAHATI MBAYA.!!!!!!!???


Okkyyy wacha mawazo ya kila mtu yaheshimiwe.
 
ni kwel kabisa me pia nimeon kama mashair dizain ni ile ya mziki hata ile nyimbo yake nyingine zinafanan tu
ni mkal ckatai ila aongez ubunif tu
 
Yaani bonge la ngoma halafu we jamaa unasema mara ya kwanza alibahatisha?! Though melody kimtindo imefanana na Muziki but still kwenye hii ya sasa kuna vitu vipya vya kutosha!! Na Big Up kwa producers vile vile manake chemistry iliyofanywa kwenye beats, ni ya kiwango cha juu!! I like some traditional...
 
Back
Top Bottom