Wimbo mpya wa Diamond ulionao ni batili

heaven on desert

JF-Expert Member
Joined
Jan 25, 2013
Posts
1,025
Reaction score
393
Kuna nyimbo imeenea kwenye mitandao ya kijamii toka jana, ambayo watu wameibatiza jina la tororondo sijui, ukweli wa nyimbo hiyo siyo nyimbo oficial mana kuna mpaka baadhi ya watu wameileta humu na wameirename as official, ukweli wa nyimbo hiyo haijatolewa rasmi na Diamond, na ni moja ya nyimbo nyingi sana za Diamond ambazo hazijakamilika ama zimekamilika but zinasubiri mda mwafaka, hivyo wimbo huu ninaouzungumzia ulikuwa bado haujakamilika na isitoshe upo kwenye low quarity ya voice note.

Tafadhari usiutumie kwenye media,na taarifa ndiyo hii kuwa siyo official release ya Diamond.

Ahsanteni
 
Ivi hii ni nyimbo ya ngapi ya Diamond ina leak mpaka kufika kwenye media?mnaishia kulalama zina leak na sioni kama kuna hatua za hii kitu kutojirudia na mnashangaza mnalalama ni poor quality after some days utamsikia anai-perform jukwaani mfn:-ukimuona au lala salama just to mention few nimezisahau nyingine kama ni strategy yenu ya promotion mtafeli na dunia ya utandawazi eti unaandika IG na JF eti isimbazwe kwenye media wakati redio za mikoani huku leo nimeisikia wanaipiga siamini kama ni fitna za watu nahisi ni matokeo ya kazi ya mikono yenu kwenye timu yenu huko huko msakeni mtamjua kama kweli imevuja kimakosa otherwise mnafanya makusudi mbona hatusikii wengine zivuje kizembe hivi subiri wengine waje ku-deal na uandishi wako mimi namaliza na hili la ku-leak mara kwa mara simply kiroho safi haina makunyanzi hata kidogo,nikutakie kazi njema ya kuijenga WCB....!
Jipangeni.
 

 

Its a business marketing strategy of testing how a new product is accepted by the Market! Wakikosolewa wanarekebisha kisha wanaingia nayo rasmi jukwaani!
 
Its a business marketing strategy of testing how a new product is accepted by the Market! Wakikosolewa wanarekebisha kisha wanaingia nayo rasmi jukwaani!

Yeah well said mkuu..,i thought so najua nyimbo zina leak mara nyingi ila kwa uyu Diamond kama imekua inajirudia nakumbuka alipishana maneno na Maneck kua ndio source sasa this time kaishia kusema tu sio official realese means no one to blame naweza kuamini ni planned ila honestly nyimbo ina quality mbovu ni voice note flan ivi ryt now nenda blogs na website zote utaikuta still wanasema batili tuisambaze hawawezi kua hawajalewa hawa.
 
Nafikiri hiyo ni mbinu yake Diamond anataka asikilize maoni ya watu then Kama kuna makosa ndio arekebishe....
Maana haiwezekani kila nyimbo yako iwe ina leak tu ..hujifunzi tu
 
Domo na Wanaume Chakula Babies (WCB) style yenu ya kutest wimbo ishastukiwa tumieni njia nyingine,nyimbo zote za domond lazima utasikia anatafuta kick kwamba umelikishwa hata mbagala ilikuwa hvyo hvyo.
 
Tone km nyimbo za kisomali kuna mmoja nilieendaga YouTube na kuona nadhani ni'kharoos'unaitwa nikiupata nitawaletea there s nothing wrong km wimbo ni wako diamond ila beats huyo producer hajatengeneza kakopu nyimbo za kosomali
 
Mbona nyimboa za mastaa wa nje ya tz kote afrika na marekani mbona hazileak zileak za diaomnd tu,kwa kifupi huyu jamaa abadilishe strategy yake bora aendelee na ya scandal lakini hii ya kuleakisha nyimbo sana sana inamuharibu tu
 
Mwambie Bongo Fleva Hailipi ! Aendelee na hizo hizo style za ki Nigerian Fleva !
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…