Wimbo mpya wa Diamond wazimwa na Wema Sepetu

Wimbo mpya wa Diamond wazimwa na Wema Sepetu

Marry Me target yake sio bongo,target ni international hasa US na Europe
 
Nnangoja maajabu aliyotuahidi Baba tifa, kwani sitaki kuamini marry me ni moja ya maajabu yake caz hata haijashobokewa, still waiting........
 
diamond always hakosi wa kumfananisha, sababu kibakuli hajatoa wimbo/video ndio umeamua kumfananisha dai na upuuzi wa sepetu... what a mess!!
 
Safari hii inaweza ikawa ni bad timing kwa mwanamuziki mashuhuli Africa, diamond platinum, baada ya hivi karibuni kuachia video ya wimbo wake mpya huitwao Marry me aliomshirikisha mwanamuziki Ne-yo kutoka marekani. Video hiyo inasemekana kufanyiwa fitina ya coincidence na mwana dada mwenye mvuto na umaarufu wa aina yake nchini,

Wema sepetu ambapo scandal inayomkabili kwa sasa kuhusu utumiaji wa madawa ya kulevya kuvuta hisia kwa mashabiki zake na maadui zake, hali ambayo imefanya kila mmoja kuvutiwa na story ya mrembo hyo asiyekaukiwa na drama kuliko habari za msanii yeyote nchini kwa sasa (akiwemo diamond na zari). Wema kwa sasa amekuwa dhahabu kwa waandishi wa habari,

Kila mtu anataka kuandika habari zake, nadhani ujio wake mpya pamoja na uzinduzi wake wa app yake bila kusahau scandal ya utumiaji madawa ya kulevya, vinatajwa kumuweka msanii huyo kwenye level za juu zaidi kuliko msanii yeyote kwa sasa.
By warumi
dff1f87d5c652ffbb47f7f147508a926.jpg
Unachoamini wew usituaminishe na sisi
 
Jana Mond kasimamisha biashara zote k/koo (CHINA TOWER)Zamani mobil plza.
Duh na kwenye huu wimbo wake kuna ka kinanda katam sana.
Acha unoko..nilipita saa iyo huyo msanii akiwepo hakuna biashara iliyosimama.
Sema nyie mawakala wa halotel kazi zenu za kusajili line ndo zilisimama.
 
Acha unoko..nilipita saa iyo huyo msanii akiwepo hakuna biashara iliyosimama.
Sema nyie mawakala wa halotel kazi zenu za kusajili line ndo zilisimama.
[emoji23] [emoji23] nimecheka km mazurii
Acha unoko..nilipita saa iyo huyo msanii akiwepo hakuna biashara iliyosimama.
Sema nyie mawakala wa halotel kazi zenu za kusajili line ndo zilisimama.
 
Ya wema apewe wema na diamond apewe diamond.....kama ni fitona wema hausiki mana lipo chini ya serikali....mbona iyo ngoma inabamba kitaa
 
Diamond yupo Afica nzima.Mashabiki wake wametapakaa duniani,ambao mpo bize na wema shauri yenu,nendeni You tube mtaona namba
 
Back
Top Bottom